Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Umechanganya madesa. Yesu Masihi ni mwingine na Isa ibn Maryam ni mwingine.
ubwabwa na wali ni kitu kile kile tofauti maeneo ya kutamka. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Acha ujuaji weeee ni mbwaaaa in kicheche voice.
 
Ndiwoooo!! Wewe lete vitu me fan wako usiniangushe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nikale mabangi nije hapa kufoka foka atakimbia mwenyewe πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
nimelewa nimetoka kunywa belaire πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ndo maana unacheka cheka sana. Uwe makini tu maana naona hali yako si nzuri. Kama upo Pemba, Mombasa, Lamu,Tanga, Dar mitaa ya Kinondoni, Ilala, Magomeni etc uwe makini au uwe na mtu wa karibu sana. Otherwise sijui kama utakuwa na uwezo wa kujulisha umma
 
CUTE Umeona ushauri alio pewa leftyie worldie πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaendeleza ulipoishia bro [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule mjinga ata nitesaaπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚ na kunicheka juuuπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
πŸ‘‰Imagine akini leteaga tu vitu ninavyo penda, Basi utasikia we kenge una experience ya kumfanyia mtu massageπŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Cute Wife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…