Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Wizkid star boy ni mwana muziki mzuri afrika japo hafanyi hip hop ni afro pop, namkubali Sana. 🌚🌚🌚
 
Koh Koh Koh....
yaw yaw yaw....
JESHIIIIIIIIII......
konde boyyyyy.....

harmonize ni mwana hip hop bora afrika 2050. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji276][emoji276][emoji276][emoji1782][emoji1782][emoji1782]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaaaa!!!!!!
 
Kontawa ndio msanii bora wa hip hop. 🀑🌚🀒
 
True fan wa joh...umesahau kuongezea Tanzanite mkuu kwenye list yako
 
Alafu hizo nyimbo zilikua kubwa kuliko kawaida, zilipigwa na kila radio, clubs hadi uchochoroni.
Hakuna msanii wa hiphop mwenye hit somga nyingi kuliko Joh, wengi huwa na 3 au 4. Joh anazo 10
Sikumbuki kutoa nyimbo mi natoaga hit
 
Huyo jamaa anapenda kuwapa promo watu wa Kaskazini haijalishi ni mbovu kiasi gani
Sio kweli. Fidovato ni wa kaskazini lakini mbona ni msanii mbovu sana, hawezi kumfikia hata manengo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwiiiiiii!!! Bro mbavu zinauma bas inatosha
Cute wife.....
ALIVYO niona aliwaka ila mwisho alizima,
Bana niliomba mechi akanipatia mtima,
Yaani niliomba nusu akanipatia nzima,
Safari ilianzia Mwanza naimalizia China. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…