Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Yule mjinga ata nitesaa[emoji1787][emoji23][emoji23] na kunicheka juuu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji117]Imagine akini leteaga tu vitu ninavyo penda, Basi utasikia we kenge una experience ya kumfanyia mtu massage[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Cute Wife

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Huyo ana akili robo km zangu! Mimi napenda mpenzi rafiki maana nina maujinga mengi
 
Naona unadanganya raia kuwa wewe ndio huyu.
Wanaokuamini wakafanyiwe overhaul ya kichwa.
Demu aina hii masela hawawezi kumpa nafasi alale na kuamkia JF wewe!
Fanya urudishe mzigo wa jamaa sio poa.
Halafu tu fanya watu wajue ID ya CW ni yako pia.
Ba mdogo unazingua sana.
Cute Wife kumbe we mzuri hivi😂

na katacle ka uchokozi😬
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Huyo ana akili robo km zangu! Mimi napenda mpenzi rafiki maana nina maujinga mengi
Ushawai nuniana na best ako, halafu mka rudiana kisa ujinga na wivu wa kijinga🤣😂😂😂
 
Mara nyingi mpk sometimes tunasuluhishwa na familia zetu, tunapigana mikausho mikali. Ugomvi ukiisha tunajicheka alafu tunasimuliana tulivyokuwa tunaumia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nilishawai ambiwa ukipata RAFIKI ka Mimi, come and sleep with me🤣😂😂😂.
👉Nikavunga mwezi mzima, kumbe naliwa timing tu😂🤣🤣.
👉Siku niliyo muingelesha nilijuta, maana niliulizwa mbona hauongeii na fulani.

SI nikamtaja jina na kisa😂🤣, niliwakiwa hatari, Nika ambiwa kuwa niache shobo nikimuonaaa😂🤣🤣.
👉Kama nime miss, nitengeneze wa kufananisha na🤣😂😂
 
Back
Top Bottom