Je, nitumie njia gani ili niachane na mchepuko wa mwanajeshi bila matatizo yoyote?

Je, nitumie njia gani ili niachane na mchepuko wa mwanajeshi bila matatizo yoyote?

kuna huyo mwanajeshi alimtegea mtego mwanamke wake kuwa yupo zamu ili awe free ajiachie''kilichowakuta sasa humo ndani ya chumba kwani jamaa alitaka kujitetea alipewa ngumi moja akatulia,akamfanya mke wake kinyume huku jamaa anaangalia halafu yule yamaa alimpitishia panga kama vile anamchonga saluni ndio anapita na ngozi
 
kuna huyo mwanajeshi alimtegea mtego mwanamke wake kuwa yupo zamu ili awe free ajiachie''kilichowakuta sasa humo ndani ya chumba kwani jamaa alitaka kujitetea alipewa ngumi moja akatulia,akamfanya mke wake kinyume huku jamaa anaangalia halafu yule yamaa alimpitishia panga kama vile anamchonga saluni ndio anapita na ngozi
Duu imetokea wapi hiyo mkuu 🤣🤣
 
Mimi ndio kwanza nimeanza kumla mke wa mjeshi... Wewe demu wake unaogopa
Huko kwa mke ndio hakufai kabisa maana ni kama vile unandaa kifo chako mwenyewe 😂😂😂
 
Jinasibishe na mazoezi haya
1. Kichurachura
2. Pushup za nakoz
3. Kushika maskio mgongo mbinuko
4. Kujigalagaza uwanja mzima wa mpira siku za mvua kwenye matope tizi linanoga
5. Kuhamisha maji kwenye mapipa kwa kijiko
6. Kusokomozewa hard material

Piga tu tizi mwana kama hyo k ni tamu kias hiko mjeda k2 gan ebo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipeni mbinu ndugu yenu, maana kila nikijaribu kumkwepa kiaina beauty huyu inashindikana.

This girl she's very beautiful na pia ana sifa muhimu zote ambazo zinamfanya aonekane bora mbele ya bora wengine. Ndio maana mjeshi yupo tayari kumpa kila anachotaka ilimradi asimkose mrembo huyo.

Mimi mwenyewe pamoja na uzoefu wangu wa kung'oa visu, ila kwa huyu nilipata tabu sana kumtengeneza mpaka akatengenezeka, na kunikabidhi mwili wake na maisha yake.

Tatizo ni kwamba beauty huyu anauwa ndege wawili kwa jiwe moja. Yaani anatumiliki mimi namlinda mipaka yetu kwa wakati mmoja, kitu ambacho mimi naona kama ni hatari zaidi kwangu na nikizingatia yakwamba mlinda mipaka huyo ndio mhudiamiaji mkuu kwa binti huyu, huku mimi nikiwa sitoi huduma yoyote ya maana zaidi tu ya kumpa msuguo takatifu hadi anajikuta anamsahau mlinda mipaka yetu na kupelekea kutokuelewana na soja huyo.

Wakati tunaanza uhusiano wetu alikuwa ananiambia kuwa mjeshi huyo ambae ni mkubwa kiumri na kicheo ni baba yake, lakini baadae nikaja kugundua kuwa ni mchepuko wake, na ndio unaompangia, unaomlisha, unaomvalisha, unaompendezesha nk.

Sasa toka nilipogundua kuwa anamilikiwa na mjeshi nimeshajaribu kumwambia demu tuachane ili abaki na huyo mjeshi wake, demu amegoma eti hawezi kukubali niachane nae kwa sababu ya huyo soja.

Anasema pamoja na kwamba mjeshi anatoa huduma zote za malazi, mavazi na kumuonesha upendo wa kweli, lakini bado kuna baadhi ya mambo muhimu kwenye mwili wake huwa hayapati mpaka anapokutana na mimi kwenye 6 kwa 6.

Sasa wakuu hii hali inanikosesha amani, kwa sababu najua siku huyu soja akigundua atafanya jambo baya aidha kwangu au kwa huyu beauty. Ndio maana nimekuja kwenu kuomba ushauri kabla mambo hayajaharibika.

Ni vyema nikawahi kuchukua tahadhari kabla ya hatari.
Ugumu unaupata kwasababu unapata mseleleko kwa kupata kitobo bure wewe Kazi yake kukata viuno tu lkn kama ungekuwa unapasuka huduma zote na ukajua mnahudumia wawili lazma ungepata hasira za kwa kufikiria uwekezaji wako kwake.
Ushauri wa kumuacha huyu mwanamke uko ndani ya uwezo wako na kaa ukijua mwanamke aachwi kwa kusema nimekuacha bali vitendo ndio vitapelekea kumuacha
 
Vijana siku hizi mnatuangusha sana, yani unatunukiwa apple la bure na mrembo alaf unajishtukia shtukia sababu ya huyo sijui ndo mlinda mpaka. Kwani yeye ni nani mpaka umuogope?

Chakachua tu kijana kwa maana chakupewa sio chakuiba.
 
Zibiti nyege zako kijana,wajeda hawatabiriki anaweza akawa ashajua anakulia tu taimin'g,huku akiwaza adhabu atayoanza nayo
 
Ugumu unaupata kwasababu unapata mseleleko kwa kupata kitobo bure wewe Kazi yake kukata viuno tu lkn kama ungekuwa unapasuka huduma zote na ukajua mnahudumia wawili lazma ungepata hasira za kwa kufikiria uwekezaji wako kwake.
Ushauri wa kumuacha huyu mwanamke uko ndani ya uwezo wako na kaa ukijua mwanamke aachwi kwa kusema nimekuacha bali vitendo ndio vitapelekea kumuacha
Nimekosa la kusema 😂😂😂
 
Back
Top Bottom