Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Mimi ndio kwanza nimeanza kumla mke wa mjeshi... Wewe demu wake unaogopa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lao wananunua kesi ya mmoja inakuwa ya kikosi kizima😅jamaa mbona wepesi sana, tofauti na mnavyo waogopa.. wale noma wakikujua kama genge ila mmoja mmoja wepesi sana
na yeye aunde kikosi.. unanzisha ugomvi huku huna njia ya kuikabali kama sio kutafuta matatizo ni niniTatizo lao wananunua kesi ya mmoja inakuwa ya kikosi kizima😅
Duu imetokea wapi hiyo mkuu 🤣🤣kuna huyo mwanajeshi alimtegea mtego mwanamke wake kuwa yupo zamu ili awe free ajiachie''kilichowakuta sasa humo ndani ya chumba kwani jamaa alitaka kujitetea alipewa ngumi moja akatulia,akamfanya mke wake kinyume huku jamaa anaangalia halafu yule yamaa alimpitishia panga kama vile anamchonga saluni ndio anapita na ngozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jinasibishe na mazoezi haya
1. Kichurachura
2. Pushup za nakoz
3. Kushika maskio mgongo mbinuko
4. Kujigalagaza uwanja mzima wa mpira siku za mvua kwenye matope tizi linanoga
5. Kuhamisha maji kwenye mapipa kwa kijiko
6. Kusokomozewa hard material
Piga tu tizi mwana kama hyo k ni tamu kias hiko mjeda k2 gan ebo
[emoji28][emoji28]Komaa hadi ufe kiume kama simba
[emoji28][emoji28][emoji28]Magenge yetu ya mtaani huwa mnapanga vizuri, lkn linapotokea tukio hujikuta umebaki peke yako [emoji23][emoji23]
Ugumu unaupata kwasababu unapata mseleleko kwa kupata kitobo bure wewe Kazi yake kukata viuno tu lkn kama ungekuwa unapasuka huduma zote na ukajua mnahudumia wawili lazma ungepata hasira za kwa kufikiria uwekezaji wako kwake.Nipeni mbinu ndugu yenu, maana kila nikijaribu kumkwepa kiaina beauty huyu inashindikana.
This girl she's very beautiful na pia ana sifa muhimu zote ambazo zinamfanya aonekane bora mbele ya bora wengine. Ndio maana mjeshi yupo tayari kumpa kila anachotaka ilimradi asimkose mrembo huyo.
Mimi mwenyewe pamoja na uzoefu wangu wa kung'oa visu, ila kwa huyu nilipata tabu sana kumtengeneza mpaka akatengenezeka, na kunikabidhi mwili wake na maisha yake.
Tatizo ni kwamba beauty huyu anauwa ndege wawili kwa jiwe moja. Yaani anatumiliki mimi namlinda mipaka yetu kwa wakati mmoja, kitu ambacho mimi naona kama ni hatari zaidi kwangu na nikizingatia yakwamba mlinda mipaka huyo ndio mhudiamiaji mkuu kwa binti huyu, huku mimi nikiwa sitoi huduma yoyote ya maana zaidi tu ya kumpa msuguo takatifu hadi anajikuta anamsahau mlinda mipaka yetu na kupelekea kutokuelewana na soja huyo.
Wakati tunaanza uhusiano wetu alikuwa ananiambia kuwa mjeshi huyo ambae ni mkubwa kiumri na kicheo ni baba yake, lakini baadae nikaja kugundua kuwa ni mchepuko wake, na ndio unaompangia, unaomlisha, unaomvalisha, unaompendezesha nk.
Sasa toka nilipogundua kuwa anamilikiwa na mjeshi nimeshajaribu kumwambia demu tuachane ili abaki na huyo mjeshi wake, demu amegoma eti hawezi kukubali niachane nae kwa sababu ya huyo soja.
Anasema pamoja na kwamba mjeshi anatoa huduma zote za malazi, mavazi na kumuonesha upendo wa kweli, lakini bado kuna baadhi ya mambo muhimu kwenye mwili wake huwa hayapati mpaka anapokutana na mimi kwenye 6 kwa 6.
Sasa wakuu hii hali inanikosesha amani, kwa sababu najua siku huyu soja akigundua atafanya jambo baya aidha kwangu au kwa huyu beauty. Ndio maana nimekuja kwenu kuomba ushauri kabla mambo hayajaharibika.
Ni vyema nikawahi kuchukua tahadhari kabla ya hatari.
Nouma sana, unajikuta you stand alone masela jau [emoji28][emoji28]Noma mkuu [emoji23][emoji23]
Nimekosa la kusema 😂😂😂Ugumu unaupata kwasababu unapata mseleleko kwa kupata kitobo bure wewe Kazi yake kukata viuno tu lkn kama ungekuwa unapasuka huduma zote na ukajua mnahudumia wawili lazma ungepata hasira za kwa kufikiria uwekezaji wako kwake.
Ushauri wa kumuacha huyu mwanamke uko ndani ya uwezo wako na kaa ukijua mwanamke aachwi kwa kusema nimekuacha bali vitendo ndio vitapelekea kumuacha