Je, nitumie njia gani ili niachane na mchepuko wa mwanajeshi bila matatizo yoyote?

Mimi ndio kwanza nimeanza kumla mke wa mjeshi... Wewe demu wake unaogopa
 
kuna huyo mwanajeshi alimtegea mtego mwanamke wake kuwa yupo zamu ili awe free ajiachie''kilichowakuta sasa humo ndani ya chumba kwani jamaa alitaka kujitetea alipewa ngumi moja akatulia,akamfanya mke wake kinyume huku jamaa anaangalia halafu yule yamaa alimpitishia panga kama vile anamchonga saluni ndio anapita na ngozi
 
Duu imetokea wapi hiyo mkuu 🀣🀣
 
Mimi ndio kwanza nimeanza kumla mke wa mjeshi... Wewe demu wake unaogopa
Huko kwa mke ndio hakufai kabisa maana ni kama vile unandaa kifo chako mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ugumu unaupata kwasababu unapata mseleleko kwa kupata kitobo bure wewe Kazi yake kukata viuno tu lkn kama ungekuwa unapasuka huduma zote na ukajua mnahudumia wawili lazma ungepata hasira za kwa kufikiria uwekezaji wako kwake.
Ushauri wa kumuacha huyu mwanamke uko ndani ya uwezo wako na kaa ukijua mwanamke aachwi kwa kusema nimekuacha bali vitendo ndio vitapelekea kumuacha
 
Vijana siku hizi mnatuangusha sana, yani unatunukiwa apple la bure na mrembo alaf unajishtukia shtukia sababu ya huyo sijui ndo mlinda mpaka. Kwani yeye ni nani mpaka umuogope?

Chakachua tu kijana kwa maana chakupewa sio chakuiba.
 
Zibiti nyege zako kijana,wajeda hawatabiriki anaweza akawa ashajua anakulia tu taimin'g,huku akiwaza adhabu atayoanza nayo
 
Nimekosa la kusema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…