Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Kiwango cha juu ndio kiwango gani mkuu, ama wawanyang'anye mapangayao harakaharaka.😆😆
KATA MIKONOI NA MIGUU HALAFU WASIMUUE WAMWACHE AENDE ZAKE WENZIE WAKIMUONA HAWATARUDIA HUO UJINGA
 
Mtaa unapaswa uwe na Ulinzi shirikishi,
Kama hauna,
Wanaume wa mtaa huo hasa wababa wa familia waitishe kikao cha dharura kuwakabili hao wahuni.

Itafaa akipatikana mmoja Kati ya kumi WA mfano ambaye mtamuadhibu Kwa kiwango cha juu kabisa ambacho itakuwa funzo Kwa wengine.
Ulinzi shirikishi kama wangapi?

Kikawaida ulinzi shirikishi ambazo nimeziona mimi huwa hawajawhi kuzidi 10

Sasa panya road ni kundi la watu 40+

Haya tuseme ulinzi shirikishi wako outnumbered ila ubora wa silaha yao utawafanya waweze kuwamudu panya road

Ulinzi shirikishi wengi wanatembea na marungu, panga, shoka...hawanaga silaha za moto na sometimes wakitembea nalo (gobole) haliwi na risasi (kama pambo)

Lakini hawa watoto mmoja miongoni mwao hakosi bastola

Kuna mwaka fulani nilisikiaga walienda kituo kidogo cha polisi kupola, na polisi wote walikimbia kuwakwepa.
 
Watu wanakua waoga kusema hivi, "Utawala wa awamu ya tano ujambazi, wizi na vibaka walikoma, walianza kufanya kazi nyingine"

Yaani kwenye makaratasi, utawala wa awamu 5 ulipiga pesa, hali halisi inapingana na makaratasi, wananchi wamechagua kuamini data zao na sio za makaratasi; ushahidi mwingine huo hapo wa panya road
 
Kama mkuu wenu wa Polisi ni huyo huyo aliyeambiwa afute kesi za kubambikiza akamwambia Rais hadi miaka miwili ndio watatekeleza unadhani kuna kipya? wananchi mjilinde wenyewe hakuna usalama tena hapo, Kimsingi mmepigwa na kitu kizito kichwani.
 
Polisi wakiwakamata hamtaki kutoa ushahidi.

Juzi wenzenu Tanga wamewajia juu Polisi eti kwanini wanawazuia kuua mwalifu!

Polisi hawa wametelekezwa na WANANCHI pamoja na Serikali Yao ningekuwa Mimi Kuna kitu ningefanya ili iwe fundisho Kwa jamii.
Kiukweli Kwa kukosa mtu wa kuwasemea wanahukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea eti kwasababu wanalipwa kupitia kodi! fuatilia uone huo mshahara na makazi Yao vitendea kazi vyao magari Yao kwakweli lazima wawe na msongo wa mawazo unaopelekea wawe watazamaji.
 
Mtaa unapaswa uwe na Ulinzi shirikishi,
Kama hauna,
Wanaume wa mtaa huo hasa wababa wa familia waitishe kikao cha dharura kuwakabili hao wahuni.

Itafaa akipatikana mmoja Kati ya kumi WA mfano ambaye mtamuadhibu Kwa kiwango cha juu kabisa ambacho itakuwa funzo Kwa wengine.
Hence, proved.
 
Panya rodi tunaishi nao mitaani, vibaka, wezi, majambazi na wavuta bangi wote tunaishi nao mitaani kwetu,

ni jamaa zetu, ndugu zetu, rafiki zetu, watoto wetu, wajomba zetu, wadogo zetu tunawafahamu tabia zao, tutoe taarifa tusiwalinde wahalifu halifu tukabaki kulilaumu Jeshi letu la Polisi.

Tuwafichue wahalifu.
 
jamaa yangu anaishi Makubuli anasema hawa watu wamerudi kwa kasi kubwa,ari na guvu kubwa sana. wanaweza pora nyumba mpaka 20 kwa usiku mmoja. ni vijana wa umri wa miaka 12-30 wanakuwa wengi wakiwa na mapanga ,visu ,magongo na bisibisi. kiukweli wameuteka mji wa Dar es Salaam. Nadhani kwa hiki kipindi ambacho polisi wapo mapumziko tutapata shida sana...

BIASHARA YA POLISI HII
 
Jilindeni kwa mtindo wa kuchukua sheria mkononi, maana polisi wako kuilinda ccm ili ibaki madarakani kwa shuruti. Viongozi wa ccm waliowekwa madarakani kibabe na Magufuli, ndio wanaoshirikiana na hao vibaka ili wakati wa uchaguzi wawaagize kuwateka wapinzani. Hakikisheni kila kibaka mnachoma moto huenda polisi wakaamka vibaka wengi wakichomwa moto, kwani hao vibaka huwa wanawapa hela ili wawaache wapige show.
 
Undeni vikundi vyenu vya ulinzi shirikishi mjilinde wenyewe acheni uoga.

Halafu hao ni vijana wenu mnaishi nao huko kwenu huenda hayo ni matokeo ya malezi mliyowapa, jiulizeni mlikosea wapi.

Haujawahi kuibiwa wewe
 
Panya rodi tunaishi nao mitaani, vibaka, wezi, majambazi na wavuta bangi wote tunaishi nao mitaani kwetu,

ni jamaa zetu, ndugu zetu, rafiki zetu, watoto wetu, wajomba zetu, wadogo zetu tunawafahamu tabia zao, tutoe taarifa tusiwalinde wahalifu halifu tukabaki kulilaumu Jeshi letu la Polisi.
Tuwafichue wahalifu.

Umeambiwa polisi wakiripotiwa hao vibaka wanaishia kuandika jalada bila kuchukua hatua yoyote. Kimsingi polisi hawana uwezo wala nia ya kupambana na vibaka wenye silaha, wao kazi yao kubwa ni kupambana na wafuasi wa cdm wasio na silaha, ili wapate sifa kwa viongozi wa ccm wanaowalipa mshahara. Yaani vibaka wajae mtaani kila mtu anajua intelijensia ya polisi isifahamu hadi isiburi kuletewa taarifa tu? Ila cdm wakitaka kufanya mkutano wa amani wanawazuia kwa kisingizio cha intelijensia yao inaonyesha kutakuwa na vurugu!
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yeye kusafiri kwenda kujielezea.
 
KATA MIKONOI NA MIGUU HALAFU WASIMUUE WAMWACHE AENDE ZAKE WENZIE WAKIMUONA HAWATARUDIA HUO UJINGA
Sazingine ndio maana nawaelewaga warabu na adhabuzao.
Hawa panya nitatizo sana.
 
Back
Top Bottom