Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Wafuateni makwao maana ni vijana mnaoishi nao.
Mkimkamata ua acha ndugu wazike
 
Miaka 60 ya uhuru bado suala la usalama wa raia ni kitendawili kweli? Si bora wagawe bunduki kwa kila kaya ili ijilinde.
 
Jamaa yangu anaishi Makubuli anasema hawa watu wamerudi kwa kasi kubwa,ari na guvu kubwa sana. Wanaweza pora nyumba mpaka 20 kwa usiku mmoja. Ni vijana wa umri wa miaka 12-30 wanakuwa wengi wakiwa na mapanga ,visu ,magongo na bisibisi. Kiukweli wameuteka mji wa Dar es Salaam. Nadhani kwa hiki kipindi ambacho polisi wapo mapumziko tutapata shida sana. Mpaka wakimaliza likizo Polisi hali itakuwa tete. Tuuombe Mungu sana.

Serikali yetu sikivu yenye kutujali na kutupenda je bado hamjapewa hizi habari? yaani kuna watu washavamiw ana kudhuriwa zaidi ya mara tatu na wakiepeleka taarifa polisi wanawaambia "wewe siyo mtu wa kwanza kushambuliwa na hao vibaka andika maelezo tutafuatilia" inaishia hapo. imekuwa ni jambo la kawaida na polisi haw aamabo tunawalipa mshahara wanaonekana kutoshtushwa kabisa na jambo hili. tunaomba serikali kwa kweli iingilie kati suala hili kwa ajili ya usalama wa wapiga kura wake na wachangia kodi.

Jamani sisi wananchi wote tukiuliwa nchini wakabaki panya road penye yao ninyi viongozi nani atawachangia kodi ambayo ndiyo inawasaidia kuzunguka nchini kwenye helkopta kuhamasisha anuani za makazi? au kwenda kuzinduliwa huko Ulaya na Marekani? Tumsaidie Rais wetu jamani mbona kama kila kitu mmemuachia yeye tu. yeye uzinduzi , yeye kusafiri kujielezea, yeye kila kitu ninyi mnafanya nini?
Mama anaupiga mwingiiiii!
 
Najua kuwachoma moto is extreme and too much lakini lazima itafutwe namna ili wakitaka kufanya tena wajiulize mara mbili, lakini wale mbwa nasikia hawaibi tuu na kupora wanaua watu pia, fire for fire
Hawa wakipatikana,ni kuondoa kiganja cha mkono mmoja. Inakuwa ni life identity kuwa huyu ni kibaka.
 
Polisi wote wamejazana barabarani as if ndio wahalifu wengi walipo!! Afande Sirro atusaidie
 
Kunawakati mwizi anaiba, alafu anakimbizwa,watu wanamuungia tu mtaa hadi mtaa mbaka anakamatwa.

Muhusika alieibiwa hajulikani,mwizi anapigwa sana.
Police wanakuja watu wanatawanyika wote hakuna anaeenda kutoa ushahidi.
Mwizi anafikishwa police' then hakuna mlalamikaji mwisho wasiku mwizi anaachiwa sababu hakuna mlalaikaji na police huenda wanashindwa kumpeleka mahakamani sababu alieibiwa hajulikani.
Mwisho wasiku kamakunapolice mwenye tamaa anachukua kiwiyake anamwachia mwizi mtuhumiwa aendelee namaisha yake.
Raiya tukimuona mtaani tunaanza kuwalaumu police kwamba wameshindwa kumfunga,tunasahau sisi ndio tunaotakiwa kuonyesha ushirikiano police ili kutoaushahidi mahakamani ilimwizi afungwe.

Tusipo badilika majizi tutayaona yana jitamba tu mitaani kilasiku labda tuyanyang'anye silahazao harakaharaka.
 
Hao mnawachekea na kuwalea nyinyi wenyewe sababu wanaishi majumbani mwenu humo humo na mnawafahamu vizuri sana. Sisi mtaani kwetu walijaribu kuanza huo ujinga tulipita nyumba hadi nyumba kuwachomoa mchana kweupe majumbani mwao na kuwapiga kiberiti hadharani wengine wakakimbilia huko Chanika. Mpaka leo hii hawajawahi kuthubutu kukanyaga tena.
 
Ipite kura ya siri ya wahalifu!; watu wa.3 tofauti wakimpigia kura x huyo ni muhalifu!
Ndipo ianzishwe Operation Gezaulole na Mwanalilatu haraka, kwa wahalifu woote!
 
Panyaroad ni jukumu la Jamii husika kuwamaliza. Nunueni mishale na speaker za kupigia yowe wazingireni wapigeni mishare yenye sumu nusu wakilala chini hawatorudi tena
 
Usiwalumu police sasa wao wafanye nini panyaroad ni SAwa na magaidi wao uvamia mtaa police wakija wanatawanyika, kuvamiwa na panya KILA mara huo ni uzembe wenu. Vijana wapo 30 hadi 50 wakaazi mpo 300 kweli mnashindwa. Hamna manati, kombeo, pinde mishale yenye sumu, hamna acidi, hamna chupa za bia,hamna mabomu ya mafuta ya taa, Acheni uzembe wanaume wa dar. Panya wanavamia mitaa dhaifu
 
Zile enzi za kutembea na visu na panga kiunoni kama wamasai ili kujilinda zimerudi sasa. Muhimu mtu usikose kutembea na lile bisi bisi refu maana ni bonge la silaha ukilizamisha tumboni kwa mmojawapo hiyo sauti atakayotoa lazima wenzake watimue mbio. Najua kati ya panya road 40+ sitakosa mmoja wa kumuachia kitu cha kwenda kuwaelezea wenzake wakati wanagawana mali za wizi labda tu wawahi kunimaliza kabla sijapata nafasi ya kujitetea.

Ila yote kwa yote jeshi la polisi likiamua ni muda mfupi tu hawa panya road wanapotea. Tatizo lao ni mpaka waambiwe na wakubwa wao waanze operesheni ndio utaona shughuli yao. Hii sio mara ya kwanza hawa panya road kutokea kwani kipinda cha nyuma waliishaibuka mara nyingi na jeshi hili hili la polisa liliwamaliza kabisa.
 
Vitoto hivi visenge sana, vinatembea na viwembe vipya - ukigoma kutoa pochi, walllet, simu / saa / viatu kama umevaa ndula kali unalabwa viwembe vya kutosha. Ni hatari sana.
 
Zile enzi za kutembea na visu na panga kiunoni kama wamasai ili kujilinda zimerudi sasa. Muhimu mtu usikose kutembea na lile bisi bisi refu maana ni bonge la silaha ukilizamisha tumboni kwa mmojawapo hiyo sauti atakayotoa lazima wenzake watimue mbio. Najua kati ya panya road 40+ sitakosa mmoja wa kumuachia kitu cha kwenda kuwaelezea wenzake wakati wanagawana mali za wizi labda tu wawahi kunimaliza kabla sijapata nafasi ya kujitetea.

Ila yote kwa yote jeshi la polisi likiamua ni muda mfupi tu hawa panya road wanapotea. Tatizo lao ni mpaka waambiwe na wakubwa wao waanze operesheni ndio utaona shughuli yao. Hii sio mara ya kwanza hawa panya road kutokea kwani kipinda cha nyuma waliishaibuka mara nyingi na jeshi hili hili la polisa liliwamaliza kabisa.
Ulinzi wako unaanza na wewe kwanza na sio police,maana hadi wafike police washapotea hao watoto.
Mbona mitaa ya wakurya dar awaendi? Ukipata jibu utaelewa kwanini kule hawaendi
 
Jamaa yangu anaishi Makubuli anasema hawa watu wamerudi kwa kasi kubwa,ari na guvu kubwa sana. Wanaweza pora nyumba mpaka 20 kwa usiku mmoja. Ni vijana wa umri wa miaka 12-30 wanakuwa wengi wakiwa na mapanga ,visu ,magongo na bisibisi. Kiukweli wameuteka mji wa Dar es Salaam. Nadhani kwa hiki kipindi ambacho polisi wapo mapumziko tutapata shida sana. Mpaka wakimaliza likizo Polisi hali itakuwa tete. Tuuombe Mungu sana.

Serikali yetu sikivu yenye kutujali na kutupenda je bado hamjapewa hizi habari? yaani kuna watu washavamiw ana kudhuriwa zaidi ya mara tatu na wakiepeleka taarifa polisi wanawaambia "wewe siyo mtu wa kwanza kushambuliwa na hao vibaka andika maelezo tutafuatilia" inaishia hapo. imekuwa ni jambo la kawaida na polisi haw aamabo tunawalipa mshahara wanaonekana kutoshtushwa kabisa na jambo hili. tunaomba serikali kwa kweli iingilie kati suala hili kwa ajili ya usalama wa wapiga kura wake na wachangia kodi.

Jamani sisi wananchi wote tukiuliwa nchini wakabaki panya road penye yao ninyi viongozi nani atawachangia kodi ambayo ndiyo inawasaidia kuzunguka nchini kwenye helkopta kuhamasisha anuani za makazi? au kwenda kuzinduliwa huko Ulaya na Marekani? Tumsaidie Rais wetu jamani mbona kama kila kitu mmemuachia yeye tu. yeye uzinduzi , yeye kusafiri kujielezea, yeye kila kitu ninyi mnafanya nini?
Muliro Jumanne Muliro kazi yake kubwa ni kuhudhuria mechi katika dimba la Mkapa hakosagi mechi yaani
 
Jamaa yangu anaishi Makubuli anasema hawa watu wamerudi kwa kasi kubwa,ari na guvu kubwa sana. Wanaweza pora nyumba mpaka 20 kwa usiku mmoja. Ni vijana wa umri wa miaka 12-30 wanakuwa wengi wakiwa na mapanga ,visu ,magongo na bisibisi. Kiukweli wameuteka mji wa Dar es Salaam. Nadhani kwa hiki kipindi ambacho polisi wapo mapumziko tutapata shida sana. Mpaka wakimaliza likizo Polisi hali itakuwa tete. Tuuombe Mungu sana.

Serikali yetu sikivu yenye kutujali na kutupenda je bado hamjapewa hizi habari? yaani kuna watu washavamiw ana kudhuriwa zaidi ya mara tatu na wakiepeleka taarifa polisi wanawaambia "wewe siyo mtu wa kwanza kushambuliwa na hao vibaka andika maelezo tutafuatilia" inaishia hapo. imekuwa ni jambo la kawaida na polisi haw aamabo tunawalipa mshahara wanaonekana kutoshtushwa kabisa na jambo hili. tunaomba serikali kwa kweli iingilie kati suala hili kwa ajili ya usalama wa wapiga kura wake na wachangia kodi.

Jamani sisi wananchi wote tukiuliwa nchini wakabaki panya road penye yao ninyi viongozi nani atawachangia kodi ambayo ndiyo inawasaidia kuzunguka nchini kwenye helkopta kuhamasisha anuani za makazi? au kwenda kuzinduliwa huko Ulaya na Marekani? Tumsaidie Rais wetu jamani mbona kama kila kitu mmemuachia yeye tu. yeye uzinduzi , yeye kusafiri kujielezea, yeye kila kitu ninyi mnafanya nini?
Wakati wa Magufuri mambo haya ya panya road yalikwisha kabisa,wameona nini na kurudi kwa kasi?,IGP ni yule yule
 
Undeni vikundi vyenu vya ulinzi shirikishi mjilinde wenyewe acheni uoga.

Halafu hao ni vijana wenu mnaishi nao huko kwenu huenda hayo ni matokeo ya malezi mliyowapa, jiulizeni mlikosea wapi.
Utadhani wewe unaishi mbinguni. Haya umesomeka
 
Unaongea tu kwakuwa mdomo Mali yako ,juzi nimewaona kwa mbali yaani hali inatisha lile kundi
hawa madogo hawaelewi hali ya hawa watu. wanafikiria ni watoto wadogo wa umri wa chekechekea. hili linakuwa kundi la watu zaidi ya 30 sometimes wamebeba kila silaha wanayoweza kuwa nayo. wako organized na hawasemi leo tunakuja kwenu. watu mnakuwa kazini mnakuja kushtukia matukio kama hayo mmerudi au kila mmoja kwa wakati wake.
 
Back
Top Bottom