Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Halafu kuna mtu anakwambia Magufuli aliturudisha nyuma, huwa nabaki kujiuliza kwani tulikuwa mbele kiasi gani? Ukiacha hao panya road Hadi leo et bado kuna mitaa inatambulika kwa uhalifu kwamba ikifika muda fulani usipite.
Magufuli aliwaambia kabisa polisi kwamba usisubiri jambazi au kibaka akunyang'anye siraha, bali wewe polisi ndio uinyanganye ya kwake haraka sana.

Hapa alikuwa ana maanisha ukikutana na jambazi mpe shaba basi!
 
Miaka ya nyuma kwetu mburahati kuna mtindo ulitumika wa kuwa na list ya watoto wote walioshindikana basi walikuwa wanapita kila nyumba na kuwachinja mikono hata kumaliza kabisa ila kipindi hiko mrema alikuwa wazili wa ulinzi.watu mpaka wakakimbia
Lilikuwa ni kundi la Commando Yoso, lilisumbuwa sana mburahati na Magomeni lakini ni wananchi ndio walilikomesha.

Hakuna jipya kwa Panya road, wananchi wakiamuwa litabaki kuwa historia.
 
Serikali ifanye kitu kwenye hili,usalama ni kitu cha muhimu sana,tusipoangalia hizi nguvu tunazotumia kuwavutia watalii na wawekezaji kuja kwetu itakuwa kama kutwanga maji kwenye kinu...
 
Unapaswa kujua kuwa Dar es salaam ni sehemu ambapo Ina kila aina ya watu wanaotoka mikoani

Wababe wapo dar,
Wachezaji wa mpira wazuri wapo dar
Riadha,boxing,wanamuziki wazuri wapo Dar

Wavivu wengi,wapo Dar,watu laini laini wapo hapa

Hivyo niseme tu hakuna mjanja wa mkoa anaweza kushindana na watu wa Dar
mikoa yote watu wa hivyo wapo, acha kujidanganya.
 
Sasa wenye jukumu la kulinda usalama wa raia na mali zao wao wanafanya nini?
Abiria chunga mzigo wako.
Police awafiki hata laki Moja tupo milioni 60 nani watalindwa nani waache, halafu kuondoa Mende mtaani siyo Kazi ya police hio ni ya jamii husika.
 
Nyie endeleeni kulialia mtandaoni hadi mlawitiwe wote na wake zenu wakat hapo mtaani mnaweza kujipanga mkawadhibiti nyie mnawaza tu kufanya scrub na kuvaa suruali fupi na viatu bila soksi mtapakuliwa Hadi akili iwakae sawa, wanaume wa dar bana.

mtaani mko wanaume 100 mnavamiwa na vijana 20 mnashindwa kujipanga ili kukabiliana nao Hadi watokomee? Na mnajua kabisa ni kikundi kinacho fanya matukio Mara kwa Mara? Hivi mkipiga doria ya maana mkakamata hata watatu mkawachinja na kupiga Moto wenzao wakiona mnafikiri wataendelea kuwepo?
 
Nyie endeleeni kulialia mtandaoni hadi mlawitiwe wote na wake zenu wakat hapo mtaani mnaweza kujipanga mkawadhibiti nyie mnawaza tu kufanya scrub na kuvaa suruali fupi na viatu bila soksi mtapakuliwa Hadi akili iwakae sawa, wanaume wa dar bana, mtaani mko wanaume 100 mnavamiwa na vijana 20 mnashindwa kujipanga ili kukabiliana nao Hadi watokomee?
Duuh nmecheka Sana
Kwamba wanasubiri Kila raia awe na police was kumlonda
 
Hamieni huku kwetu OYSTERBAY ili muishi kwa amani kwa sababu huku ni mbali hawafiki.
 
Serikali itoe silaha kwenye uongozi wa serikali za mitaa kwa ajili ya kutengeneza operation ya kuwadhibiti hawa.


Nasema hivyo kwasababu sungusungu wenye marungu na panga ni ngumu kudhibiti kundi la panya road maana kwa hesabu ya haraka wanakuwa hadi 40 afu mmoja kati yao anakuwa na gun

Zipo habari kwamba hawa watoto wanapewa silaha za moto na baadhi ya matajiri kwa hiyo kama unafikiria ku solve hii ishu kwa silaha ya panga utakuwa unajidanganya.

Serikali ikitoa hizo silaha naamini haitakuwa tena jambo la kuwasubiri wapite ndio muwashambulie, hiyo itakuwa ni special operation ya kuwafata kokote walipo na pindi unapomkamata mmoja bana pumbu na prise mpaka ataje kikosi kizima.
Hao mbona huwa hawadhibitiwi kwa silaha,sisi tuliwapeleleza,tukawajua...tukaua mmoja baada ya mwingine hata Kama hajafanya uhalifu siku hiyo,wengine walikimbia....hii mwananyamala walitumia pia
 
Duuh nmecheka Sana
Kwamba wanasubiri Kila raia awe na police was kumlonda
Polisi wako elfu 40 tu Tz nzima na Raia tuko Million 60 bado tu wanaume na ndevu zao wanasubiri polis ndo waje wawasaidie na wakat wanaendelea kudhurika.

Mtaani mko watu wazima 40+, vijana 50+ kikundi kinacho vamia mitaa ni vikundi vya watu 15-20 na wanatumia silaha za jadi, hivi kweli wanaume mtaani mnashindwa kujipanga kukabiliana nao kwa kununua hata mishale? Mkiwapiga mishale ya sumu hata vijana 9 na wenzao wakaona na kusikia alaf mkaendelea kuwapigia misako had huko wanapoishi hao vijana wataendelea tu kuwepo?

Wanaume wa Dar wanajiendekeza sana kweli naamini sasa mtoto wa kiume akilakila chips sana na kushindia vipande vya mihogo anaweza kugeuka kigori Kama hawa vijana wenzetu wa Dar
 
Unadhani kodi yako inafanya kazi ipi sasa na wakati police ni jeshi la kulinda watu na Mali zao

Kipindi cha JPm mbona walipotea?
Unadhani polisi wapo wengi sana kiasi cha kutosha kulinda kila mtu?

....jukumu la usalama lianzie kwenu
 
Polisi wako elfu 40 tu Tz nzima na Raia tuko Million 60 bado tu wanaume na ndevu zao wanasubiri polis ndo waje wawasaidie na wakat wanaendelea kudhurika.

Mtaani mko watu wazima 40+, vijana 50+ kikundi kinacho vamia mitaa ni vikundi vya watu 15-20 na wanatumia silaha za jadi, hivi kweli wanaume mtaani mnashindwa kujipanga kukabiliana nao kwa kununua hata mishale? Mkiwapiga mishale ya sumu hata vijana 9 na wenzao wakaona na kusikia alaf mkaendelea kuwapigia misako had huko wanapoishi hao vijana wataendelea tu kuwepo?

Wanaume wa Dar wanajiendekeza sana kweli naamini sasa mtoto wa kiume akilakila chips sana na kushindia vipande vya mihogo anaweza kugeuka kigori Kama hawa vijana wenzetu wa Dar
Oya hivi unaongea haya kwa experience au kwa masimulizi?

Madogo wako full combat yani hadi silaha za moto mmoja wao lazima kasishika

Halafu kundi la watu 15-20 ni dogo sana labda kama limejichanua kwa kujigawa kimtaa ila kikaaida ni complete ya package 40 fully armed

Elewa kwamba hakuna anayeogopa mapanga wala visu, hizi ni silaha common ambazo tunazona hata kwenye ugomvi wa kawaida zikitumika na watu haziwatishi

Lakini manati ya mzungu sio tu raia anayeogopa, bali hata polisi mwenyewe akiambiwa kuna kibaka ana bunduki lazima ajifikirie mara mbili.

We unafikiri kwasababu gani Hamza hata baada ya kuangushwa chini lakini mapoti walikuwa wanategeana kumfata kuhakikisha?
 
Hao mbona huwa hawadhibitiwi kwa silaha,sisi tuliwapeleleza,tukawajua...tukaua mmoja baada ya mwingine hata Kama hajafanya uhalifu siku hiyo,wengine walikimbia....hii mwananyamala walitumia pia
Nimeona milard ayo akpost kuonesha baadhi ya madogo wamekamatwa na wanawa press kuwafanya wawataje na wenzao, hiyo inaweza kuwa mwanzo wa ku eliminate the whole gang kama polisi wataweka mkazo

Kwasababu kupitia hao 9 nahakika wanaweza taja kila member ambaye yupo kwenye makundi ya panya road kila mitaa
 
Back
Top Bottom