Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwani hadi sasa mnazuiwa kufanya mikutano?
Si dhalimu wenu kafa?
Kataza lipo na sisi tunaendelea huku kwenye mitandao kama kawaida, au unaona hatari sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hadi sasa mnazuiwa kufanya mikutano?
Si dhalimu wenu kafa?
Ni mchongo wa Jeshi la Police,kuna kitu wanavutana wenyewe kwa wenyewe huko ndani ya Jeshi,wakielewani amani itarejea kama kawa!!Basi hili ni genge kamili la uhalifu wa kupanga.
Robert Heriel:Mtaa unapaswa uwe na Ulinzi shirikishi,
Kama hauna,
Wanaume wa mtaa huo hasa wababa wa familia waitishe kikao cha dharura kuwakabili hao wahuni.
Itafaa akipatikana mmoja Kati ya kumi WA mfano ambaye mtamuadhibu Kwa kiwango cha juu kabisa ambacho itakuwa funzo Kwa wengine.
Hapa ni msoga ndo wamerudi ofisini Sasa wameachiwa wameambiwa Kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.Sungusungu ndio dawa yao, hao polisi wa Siro wanajua kupiga na kuzuia mikutano ya wapinzani ,kuiba kura na rushwa tuu msipoteze muda wenu
tatizo la wananchi kukimbia unaijua. rushwa ubambikaji wa makosa mpaka utoke! si bora ukimbieKunawakati mwizi anaiba, alafu anakimbizwa,watu wanamuungia tu mtaa hadi mtaa mbaka anakamatwa.
Muhusika alieibiwa hajulikani,mwizi anapigwa sana.
Police wanakuja watu wanatawanyika wote hakuna anaeenda kutoa ushahidi.
Mwizi anafikishwa police' then hakuna mlalamikaji mwisho wasiku mwizi anaachiwa sababu hakuna mlalaikaji na police huenda wanashindwa kumpeleka mahakamani sababu alieibiwa hajulikani.
Mwisho wasiku kamakunapolice mwenye tamaa anachukua kiwiyake anamwachia mwizi mtuhumiwa aendelee namaisha yake.
Raiya tukimuona mtaani tunaanza kuwalaumu police kwamba wameshindwa kumfunga,tunasahau sisi ndio tunaotakiwa kuonyesha ushirikiano police ili kutoaushahidi mahakamani ilimwizi afungwe.
Tusipo badilika majizi tutayaona yana jitamba tu mitaani kilasiku labda tuyanyang'anye silahazao harakaharaka.
Sawa kabisa kaka, kumbuka, panya rodi wako na siraha, na raia haruhusiwi kuwa na siraha, siraha ziko police,Unadhani polisi wapo wengi sana kiasi cha kutosha kulinda kila mtu?
....jukumu la usalama lianzie kwenu
Couldn't help..nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie endeleeni kulialia mtandaoni hadi mlawitiwe wote na wake zenu wakat hapo mtaani mnaweza kujipanga mkawadhibiti nyie mnawaza tu kufanya scrub na kuvaa suruali fupi na viatu bila soksi mtapakuliwa Hadi akili iwakae sawa, wanaume wa dar bana.
mtaani mko wanaume 100 mnavamiwa na vijana 20 mnashindwa kujipanga ili kukabiliana nao Hadi watokomee? Na mnajua kabisa ni kikundi kinacho fanya matukio Mara kwa Mara? Hivi mkipiga doria ya maana mkakamata hata watatu mkawachinja na kupiga Moto wenzao wakiona mnafikiri wataendelea kuwepo?
Kwanini kukimbia kutoa ushahidi ili muhalifu apate adhabu.tatizo la wananchi kukimbia unaijua. rushwa ubambikaji wa makosa mpaka utoke! si bora ukimbie
Kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake.Jamaa yangu anaishi Makubuli anasema hawa watu wamerudi kwa kasi kubwa,ari na guvu kubwa sana. Wanaweza pora nyumba mpaka 20 kwa usiku mmoja. Ni vijana wa umri wa miaka 12-30 wanakuwa wengi wakiwa na mapanga ,visu ,magongo na bisibisi. Kiukweli wameuteka mji wa Dar es Salaam. Nadhani kwa hiki kipindi ambacho polisi wapo mapumziko tutapata shida sana. Mpaka wakimaliza likizo Polisi hali itakuwa tete. Tuuombe Mungu sana.
Serikali yetu sikivu yenye kutujali na kutupenda je bado hamjapewa hizi habari? yaani kuna watu washavamiw ana kudhuriwa zaidi ya mara tatu na wakiepeleka taarifa polisi wanawaambia "wewe siyo mtu wa kwanza kushambuliwa na hao vibaka andika maelezo tutafuatilia" inaishia hapo. imekuwa ni jambo la kawaida na polisi haw aamabo tunawalipa mshahara wanaonekana kutoshtushwa kabisa na jambo hili. tunaomba serikali kwa kweli iingilie kati suala hili kwa ajili ya usalama wa wapiga kura wake na wachangia kodi.
Jamani sisi wananchi wote tukiuliwa nchini wakabaki panya road penye yao ninyi viongozi nani atawachangia kodi ambayo ndiyo inawasaidia kuzunguka nchini kwenye helkopta kuhamasisha anuani za makazi? au kwenda kuzinduliwa huko Ulaya na Marekani? Tumsaidie Rais wetu jamani mbona kama kila kitu mmemuachia yeye tu. yeye uzinduzi , yeye kusafiri kujielezea, yeye kila kitu ninyi mnafanya nini?
Kwanini yanatokea sasa.Mtaa unapaswa uwe na Ulinzi shirikishi,
Kama hauna,
Wanaume wa mtaa huo hasa wababa wa familia waitishe kikao cha dharura kuwakabili hao wahuni.
Itafaa akipatikana mmoja Kati ya kumi WA mfano ambaye mtamuadhibu Kwa kiwango cha juu kabisa ambacho itakuwa funzo Kwa wengine.
Nimeliwaza hili tuwe Tu kama enclosed gated communities za kule Sauzi!Vumilieni Sasa au kodisheni kampuni binafsi za ulinzi.
Dah!..wale jamaa noma aisee, utakuta mtaa mzima wa kitajiri unalindwa na kampuni ya ulinzi (wale ni mabepari hasa).Nimeliwaza hili tuwe Tu kama enclosed gated communities za kule Sauzi!
Gharama ya kukipata kitu chako ni bora uchange ukanunue kipya.tatizo la wananchi kukimbia unaijua. rushwa ubambikaji wa makosa mpaka utoke! si bora ukimbie
Umetoka kazini umechoka,unawacha kulala unaenda kukesha kupigwa na baridi unalinda sungusungu?Undeni vikundi vyenu vya ulinzi shirikishi mjilinde wenyewe acheni uoga.
Halafu hao ni vijana wenu mnaishi nao huko kwenu huenda hayo ni matokeo ya malezi mliyowapa, jiulizeni mlikosea wapi.
Jamii ikijichukulia sheria mkononi na njia hiyo ikaonekana ni kawaida na ndio suluhisho sijui mwisho wake itakuaje.Abiria chunga mzigo wako.
Police awafiki hata laki Moja tupo milioni 60 nani watalindwa nani waache, halafu kuondoa Mende mtaani siyo Kazi ya police hio ni ya jamii husika.