Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

Ni kweli mkuu, hii inaleta maswali kadha wa kadha... Usikute duniani kulikua na maisha fulani ambayo yalifikia katika level za juu sana za technology ila kwa sababu fulani yake maisha yaliharibiwa kisha tukaja sisi kuanza maisha mengine upya kabisa.
Kabisa kumbuka mwanzo 11 katka Bibilia mnara wa babeli ujenzi wake hata Mungu akasema natushuke tuwavurugie mipango na lugha Yao vinginevyo tukiwaacha wamedhamiri kufikisha mnara hadi huku tulipo
 
Kabisa kumbuka mwanzo 6 katka Bibilia mnara wa babeli ujenzi wake hata Mungu akasema natushuke tuwavurugie mipango na lugha Yao vinginevyo tukiwaacha wamedhamiri kufikisha mnara hadi huku tulipo
Hii puzzle inachanganya sana akili, ila hilo andiko ni uthibitisho mwingine wa kutuambia kwamba Dunia ilishawahi kuwa na ustaarabu wa hali ya juu hapo awali... Kuna michoro niliwahi kuiona ya kale ilikua inaonesha helicopter.
 
nacho maanisha ni kwamba mchina atatumia teknolojia ya kisasa ndo utofauti huo, hizo wamisri walijenga miaka hiyo kwa vifaa wanavyojua wao
usiseme walijenga wamisri sema piramids zilizopo misri ukisema walijenga wamisri utakuwa unapotosha na kuudanganya umma.
 
Hii puzzle inachanganya sana akili, ila hilo andiko ni uthibitisho mwingine wa kutuambia kwamba Dunia ilishawahi kuwa na ustaarabu wa hali ya juu hapo awali... Kuna michoro niliwahi kuiona ya kale ilikua inaonesha helicopter.
Ndomaana tunasema hakunajipya chini ya jua
 
Hii puzzle inachanganya sana akili, ila hilo andiko ni uthibitisho mwingine wa kutuambia kwamba Dunia ilishawahi kuwa na ustaarabu wa hali ya juu hapo awali... Kuna michoro niliwahi kuiona ya kale ilikua inaonesha helicopter.
Well said
 
ni mtu asiyekuwa na maarifa na asiyejua historia na vitabu vya dini ndiye atakayesema waisrael waliotoka misri idadi yao walikuwa hawafiki mia, ngoja nikufundishe na nikupe somo kidogo, waisrael walioingia egypt idadi yao inaweza kuwa watu 50,lakini ndani ya miaka hiyo 400 walizaliana na kuongezeka hadi kuwazidi wenyeji wa eneo husika,ilifikia hatua watawala wa egypt wakawa wanaua watoto wadogo wasije wakaendeleza kizazi hicho na kuwapindua. Ila hao mafarao walikuwa wanafaidika na waisrael hasa ktk ujenzi wa piramids. Mkuu naongea haya nikiwa kama mbobezi wa history na nimetembea nchi nyingi za kihistoria kukuletea haya.
 
Hiyo michoro ilichorwa kama miaka mingapi iliyopita
Inakadiriwa kuwa na takriban miaka 3,000 hadi 3,200 kwa kuwa inahusiana na enzi ya Farao Seti I, aliyewahi kutawala Misri kati ya 1290 na 1279 KK.
 
Siku zinavyozidi kwenda uwezo wa mwanadamu unazudi kupungua kutokana na sababu mbalimbali zakimazingira, na ndio maana mambo kama haya tunaona mambo makubwa..

Dunia ya sasa kuna AI ambayo tunaona sisi ni msaidizi kwetu lakini anatufanya tushindwe hata kufikiri kwa jambo dogo ambalo tungeweza kulifanya, lakini twaona aaaah! Nisijichoshe ngoja nitumie AI.
 
Inakadiriwa kuwa na takriban miaka 3,000 hadi 3,200 kwa kuwa inahusiana na enzi ya Farao Seti I, aliyewahi kutawala Misri kati ya 1290 na 1279 KK.
Na helicopter ziligunduliwa kama miaka mingapi iliyopita
 
Na helicopter ziligunduliwa kama miaka mingapi iliyopita
Mwanzoni mwa karne ya 20 ndio helicopter zilianza kufanya kazi, ingawa wazo la tekinolojia ya ndege kwa ujumla lilianzia karne za nyuma zaidi ya hapo.
 
Uwezo wa kusoma vizuri ukaelewa unakushinda, hayo mengine utaweza kweli kuyaelewa.

Umeambiwa waliongia hawakufika 100 walipotoka baada ya miaka 400 walikuwa zaidi ya 600,000 hata hiki kidogo kinakushinda kuelewa. Uwe unajaribu kuelewa kilichoandikwa kwanza kabla ya kujibu.

Walikuja kama wakimbizi wakikimbia njaa. Walipofika Egypt walikuta nchi iliyostaarabika na iliyoendelea kwenye kila sekta kama kilimo, afya,elimu,miundombinu, lugha, philosophy na sophisticated culture na mifumo thabiti ya kiutawala. Ndipo hapo walijifunza mambo mengi baada ya miaka 400 walikuwa wameiga mengi na kuyafanya sehemu ya utamaduni wao pia.

Walikaribishwa vizuri, ili baadaye namba zao zikipoongezeka sana ndio wakafanywa kuwa watumwa, sababu mazingira mazuri, chakula cha kutosha walizaliana sana kabla ya hapo kufika Misri walikuwa karibu wafe kwa njaa. Ukiwa na njaa, maskini huwezi kufikiria hata kujenga majengo ya kifahari kama pyramids.
 
mnara wa babeli according to bible haikujengea ili kimfikia Mungu, ulijengwa ili watu wasitawanyike yaani wasiende mbali nao uwekama sehemu ya kupatambua hapo ila moango wa Mungu ulikua ni wat
mkuu, kuhusu lengo la ujenzi wa mnara wa babeli nakushauri ukasome tena historia hasa biblia utaelewa, nakupa mfano tena, umemkaribisha mtu katika shamba lako,ana tamaduni zake tofauti na wewe, akaishi humo,akajenga nyumba nzuri kukuzidi wewe, je utamuacha aje akujengee na wewe ya kufanana naye? ndivyo ilivyokuwa,na ukae ukijua miaka 400 ni zaidi ya vizazi vinne, waisrael waliongezeka na kuwazidi wenyeji hivyo baadhi ya wenyeji walifuata tamaduni za kiisrael kama vile mummification,na ustaarabu mwingine. piramid ya kwanza ilijengwa na waisrael kama sehemu ya kuwahifadhi(sio kuzika) na waegpt walipoona piramids hiyo wakabidi wawatumie hao waisrael kujenga piramid kwa ajiri yao.
 
Mwanzoni mwa karne ya 20 ndio helicopter zilianza kufanya kazi, ingawa wazo la tekinolojia ya ndege kwa ujumla lilianzia karne za nyuma zaidi ya hapo.
Kwa hiyo hao waliozichora hizo helicopter walikuwa na helicopter zao kabla
 
wewe utakuwa hujui lolote mkuu, fuatilia chanzo cha utumwa wa waisrael misri halafu urudi hapa, usaidizi soma Bible, kuanzia GENESIS 37 ndipo utajua hawa waisrael ilikuwaje wakajikuta watumwa,ukiweza sana endelea hadi kitabu cha kutoka uone walikuwa wanafanya nini,harakati zao za ukombozi na ikikupendeza uendelee kusoma biblia uone hali ilikuwaje wakiwa njiani mpaka wakafika CAANAN ni hayo tu.
 
Kwa hiyo hao waliozichora hizo helicopter walikuwa na helicopter zao kabla
Hilo ndio halijulikani ila mtu hawezi kuchora kitu ambacho hajawahi kukiona, so kuna possibility kubwa ya kwamba tekinolojia ya hayo mambo ilikuwepo nyakati hizo.
 
Walkuwa watumwa sababu ya njaa,walipigwa njaa huko na wakakimbilia misri kwa ndgu yao Yusuph then ndo wakaanza zaliana huko had kizaz cha Mussa.! Sa jamii yenye nguvu na maarifa itapigwa njaa na ikimbie ishndwe tatua hilo tatzo?!
 
Walkuwa watumwa sababu ya njaa,walipigwa njaa huko na wakakimbilia misri kwa ndgu yao Yusuph then ndo wakaanza zaliana huko had kizaz cha Mussa.! Sa jamii yenye nguvu na maarifa itapigwa njaa na ikimbie ishndwe tatua hilo tatzo?!
vizuri,umeanza kuja katika maana yangu, kwa hiyo mkuu unamaanisha jamii isiyo na nguvu haiwezi kujiimalisha na kuwa jamii yenye nguvu?
 
vizuri,umeanza kuja katika maana yangu, kwa hiyo mkuu unamaanisha jamii isiyo na nguvu haiwezi kujiimalisha na kuwa jamii yenye nguvu?
case ya wa israel ni tofauti,kwa maana huko misri walikua watumwa na wasindikizaji tu sababu hawakuweza kufanya lolote la maana na ilkua ni jamii iliyoparanganyika….obviously hawawezi kuleta positive impact kwamba wao ndo wajenge hayo mapyramid!..Walkula na kulala kwa shida hua mda wa kua hzo akili hawakuw nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…