Thibitisha kupita shaka Kwamba Russia walihaki uchaguzi wa USA.
 
usiwe haraka mkuu wazee wa Gamboshi wakikaa watu wote watajitokeza wenyewe.
 
W
Bajeti deficit yote unatarajia kupewa na hao mabeberu halafu unawatukana. Una akili wewe.

Usifikiri jamaa ameandika akiwa hajui ana maanisha nn. Ametaka ufikiri nje ya box. Ndiyo maana kaweka alama ya kuuliza kwamba mabeberu ni hao?

Na kama Ni hao na wanafanya hayo yte kwa nchi yko unakuwa na akili gani kuwatukana?
 
Alipata kama nani..?
 
Kumbe Ni Mungu ameruhusu.Basi Mungu wetu Ni wa haki sana .Na kazi ya Mungu haina makosa.Jina la Mungu lihidimiwe.

Nb
Mwana wa adamu aliyetamkwa KTK andiko lako ni Yesu Kristo siyo Magufuli. Tafuta andiko linalofanana na hilo linalomhusu Magufuli km binadamu wa kawaida.

Mazingira/Muktadha wa neno hilo ulimhusu Yesu Krusto.
 
Waswahili kila Msiba kuna mkono wa mtu.🤷‍♀️

Hivi haiwezekani kuwa ni Mungu tu kaamua kuchukua kiumbe chake?
 
Kumbuka amekuwa na pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. why now!
JIWE died of heart attack.Corona inatumika na opposition, vyombo vya habari vya nje na bloggers kwa manufaa yao wenyewe kupata views na mileage kisiasa.Yeye kama mkemia anataka uhakika kwanini mbuzi na papai vinatest positive lakini bado hakupewa jibu kamili zaidi ya kumtangaza kama Trump wa East Africa.
 
Usimuingize Mungu kwenye vitendo vyenu vya ki HALIFU, Ben Saanane mlimzika wapi? Unadhani ndugu zake, mtoto na mke wanauchungu kiasi gani?
 
Wewe ni mke wa huyo Bujibuji? au ni kiherehere tuu? au unawashwa?
 
Hakuna ktu ka hiki
 
Note:
Na nimemjibu aliyesema kwamba kama ni hivyo hakuna linalotokea bila Mungu kuachilia.... na ni kwa sifa na utukufu wake.
Na sijasema kwamba Magufuli ni Yesu ila Yesu Kristo alizaliwa na kuishi kama binadamu, alifanya miujiza mingi na hawakuona mwisho wakamuuwakamuu wakiamini ni mtu wa kawaida tuu......,

Kumbuka huyohuyo Mungu alivyoruhusu mnadhiri wake Samson auwawe na wafilisti, pamoja wazazi kujaribu kuzuia Samson alimuoa Delilah ila tunaambia kulikua na sababu toka kwa Mungu na

"Wazazi wake hawakujua kwamba huo ulikuwa mpango wa Mwenyezi-Mungu ambaye alikuwa anatafuta kisa cha kuchukua hatua dhidi ya Wafilisti. Wakati huo, Wafilisti waliwatawala Waisraeli." Waamuzi 14:4​

 
Umebalance vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…