Kama wazo lako ndo hivyo, kuweka usawa basi tungeanza ns Nyerere, na Mkapa. Tusiruke kwa vile kuna wakiokuwa suspicious over the major causes of their deaths.
I think let bygones be bygones. Na uzembe ndani ya kujiamini sana tuache. Dakitari namba moja ws Rais ni Waziri wa Afya!na siyo yule aliyemtibu pale Mzena! Kwani yeye uliwahi kumsikia akisemaje kuhusu tahadhari kwa viongozi wetu? Hata lile thahiri tuu ya kutosongamana kwenye Makundi? Sasa hivi ukiangalia TBC pale Chato ule mlundikano wa watu with bear precautions against covid unaogopa. Baada ya wiki kadhaa zijazo tunaanza ramli kutafuta mchawi atuambie kulikoni.
 
Kuna kitu unakifahamu ila hautaki kufunguka tuu.
 
Ndio muache kuwekeza kwenye kununua wapinzani bali wekezeni kwenye teknolojia badala ya kusubiria beberu
 
Ndio muache kuwekeza kwenye kununua wapinzani bali wekezeni kwenye teknolojia badala ya kusubiria beberu
Acha kuishi kwa kukariri kama Kasuku,unadhani kila mtu yupo kwenye ushabiki wa kisiasa? halafu hii mada wala haihusiani na mambo ya siasa,

Grow up and get well soon.
 
Hawezi kuingia kwenye mivutano ya kijinga kwa ajili ya marehemu unless yuko dumb kama wewe maana keshaona madhila ya aina ya uongozi wa Marehemu
 
Asante sana Mkuu kwa hii vdo clp,ila ningependa kujua kua Betri yake hudumu kwa muda gani kabla ya kuisha chaji yake?
kuanzia miaka mi5 mpaka 10 kulingana aina ya kifaa ulichofungwa

The battery life of a pacemaker depends on the type of pacemaker and the year it was made. The pacer rate setting and how often the pacemaker is working are factors in how long the battery will last. With that said, the average pacemaker battery lasts for 5 to 10 years.
 
Pesa kiasi gani wakati Tulikuwa tunachangishwa na ccm ilizuia wengine kupata pesa kutoka kwa marafiki au wafanyabiashara kama maccm mlivyopata?
 
Fungulia tv yako uone kama nchi inafurahia . Ni dhahiri mnachokiona kinawachanganya.
Kuna watu wanaoitwa. Wanyonge they never think ndio hao ni bendera lakini elite hawana huo ujinga wa eti kuzimia sijui kulia

Mbona waliotolewa majalalani hatuwaoni wakizimia kama wanyonge? Ushawahi ona wenye pesa wanaanguka mapepo makanisani? How about wanyonge na mapepo? Hayo ndio majibu sasa
 
Unajua kuna watu wanastahili kabisa kufa we kila unalofanya zuri yeye anaforce lionekane baya kwa wananchi mara cjui anapeleka umbeya USA kwamba Tz huko nini kinaendelea huyo msaliti wa nchi yetu [emoji706][emoji706] kabisa
Kununua mandege kwa cash pesa za maskini na kuyaleta yaletage hasara kwako ni jambo zuri?

Kutoheshimu Katiba na sheria ndio jambo zuri? Lisu amekuwepo toka enzi ya Mkapa,JK hadi Magu kote huko hakuwahi fumbia macho upuuzi.

Usitafute cheap popularity au kuhalalisha uharamia.

Binafsi nilichukizwa Sana na sera za Magu ikiwemo kufuta fao la kujitoa
 
Ndo hao unawaona eti wanazimia,kuna mtu aliyejitoa nchi hii kama Nyerere na Lisu?

Hao wengi wao hawajielewi na ni wahanga wa propaganda za maccm na marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…