Ukilijua hili kwa nini uhangaike,Dunia si uliikuta sasa unataka ushindane nayo au uipeleke wapi sasa, fanya yako subiri kufa
 
Mlitaka tutembee na ma PPE ndo mjue tuko serious au tuwe tunalala na mask? Acheni upumbavu wenu nani hajui corona ipo na inaua? Hizo nchi zilizo apply scientific protocols je watu hawafi? Did corona disappear?
Wamekufa vigogo wa serikali kama huku Africa?
 
Mbona hamkuwahi kusema hivyo kabla ila mlisema ni mzalendo na JK alikuwa vasco dagama,tutajua mengi zaidi na hivi hayuko duniani muda utasema
 
Uchumi gani mkuu,nahifadhi comment yako for future use
 
Unakuga rastaman type ya afande sele
 
Kweli Lissu I kiboko pamoja na kuwa jemadari kuondoka bado Lissu anatajwa kuwa kamwita izraili mtoa roho kuondoa roho ya jemadari!
[emoji867][emoji867][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Baba wa uchumi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ,huwa napenda kuwauliza hili swali.Nambieni mlikuta maskini wangapi na baada ya miaka 5 mumewapunguza wangapi.

Ukipata jibu ni tag
 
Unless unatumia ugoko kufikiri.

Umeambiwa sio kila anaecontract UVIKO 19 anakufa au kuonesha dalili,hii exception iko hata kwenye magonjwa mengineyo

Pia umeambiwa kuwa corona inafanya Kazi nzuri zaidi ya finishing kumpa ushindi israel mtoa roho pindi mtu anakuwa na magonjwa mengine yaliyokomaa kama moyo,kisukari,pumu nk nk
 
Ziara ya Morogoro.

Naamini unaelewa ninachokisema hapo

Hauhitaji to uncode bali unganisha nukta
 
Swali ,UVIKO ipo au haipo?
 
Unadhani alirudi Tanzania kufanya nini na baada ya uchaguzi na kutofanikiwa kwa maandamano alifanya nini?
Akili za kuambiwa...
Nimeisoma thread yako kwa kina sana. Almanusura niamini ulichoandika.... Mpaka nilipokutana na hii post yako ndo nikafunguka akili...

Nyie watu wa ukoo Chattle mna matatizo makubwa sana. Tumejifunza kutokana na makosa.... Hatutawapa tena nchi yetu mazwazwa...

Magu amededi kama alivyodedi Kijazi, babu yangu, Maalim Seif, Pope John Paul II bunadamu wengine wote...

Ukweli ni kwamba kama mabeberu wangemtaka Lissu kama unavyotuaminisha, na hako kapacemaker ndo kalikuwa kikwazo .... wasingesubiri aapishwe, wangeshamdedisha wakati anapiga mapushapu yake wakati akijua ana tatizo la moyo...

Magu kashatangulia, tumeshampata rais mpya... maisha lazima yasonge mbele....
 
Ila Jo Biden amewarudisha tayari USA kwenye WHO baada ya uchizi wa Trump kujitoa..🙂
 
Bora kuwa kibaraka wa mabeberu kuliko kuwa kibaraka wa maccm na vichina
 
Wanatafuta wa kumuangushia jumba bovu kukwepa lawama
 
Sasa kosa lao nini,mkichagua dikteta anawashona huku anakula nao is okay,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…