Mkuu mambo mengine ni ya kuacha tu yapite
 
Pia tusisahau kuchunguza wauaji waliokusudia kuondoa uhai wa Lisu, waliowapoteza AzoryGwanda, Ben saanane, Kanguye, maiti kukutwa kwenye viroba ufukweni mwa bahari, wauaji wa Alphonce Mawazo nk nk nk
 
Mfano angejufa kwa miwaya pia tungeitaji uchunguzi maana mbona kitaa wapo wengi wanadunda uongo?
 
Attackers wanaweza kutumia radio signals au mobile phone ambayo unaweka kwenye mfuko wa shati!
kwamba hizi njia zote usalama walikua hawazijui ama inakuaje mtu apite/akae karibu na rais na aachiwe simu?

kama itakua mobile phones basi mishen imekamilishwa na moja ya wakuu wanaomtembelea rais,wale VIP wasiokaguliwa.
 
Kullu nafsi dhaaikatul mauwt!.
Every soul shall taste a death!.
Not quite true. The Messiah will find the living; the saints -- dead and alive -- will commence a blisful life eternal in Paradise.
 
Kuna haja yakufanya hivo, ata mimi nina mashakha sana na kifo chake, ukifatilia kwa makini wanafamilia wanasema aliomba mpaka maaskofu waje kumfanyia kitubio sijui na Muft akamuombea, pia kama haitoshi alimpigia dimu askofu Gwajima tarehe 6 ambapo inasemekana alienda MOI lakini mwisho kabisa nasaha zake kwa Taifa ambazo zilisomwa juzi na familia japo moja wanasema hawajaikumbuka lakini naamini inajulikana ila imefichwa kutokana na usalama labda kuna vitu kaviongea ambavyo si vya kawaida.
 
Mwanangu lolote linawezekana hasa unapokaa kwenye ulaji wa juu na mkubwa kama huu hasa ukawa noma kwa washenzi
 
Adui wa ndani anaekubali kutumika na beberu ni mbaya kuliko beberu mwenyewe.
Naunga mkono uchunguzi ufanyike tumtafute yuda isakariote.
 
Jikumbushe walipouawa akina Eddie Moringe Sokoine ole Severe na Horace Kolimba. Hakuna kilichofanyika. Ukishafukiwa kila kitu kinafukiwa na kufutika. Hata JFKennedy alipotea hivyo ukiachia mbali Patrice Lumumba, Samora na wengine wengi tu.
 
Yaani hao mabeberu wanaotuonea wivu wa kibiashara walioshindwa kutupata hadi kutumia mbinu za kuweka virusi kwenye barakoa badala ya kwenye misaada lukuki wanayotupa ndio waweze kumfikia kiongozi wa nchi ?

Ukitumia logic mambo mengi hayatakupa shida (husasan propaganda za ajabu ajabu)....
 
Walisema ni maradhi ya Moyo. Case closed.
 
Haina umuhimu wowote make kifo chake ni ahueni kwa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…