Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
^The world should be totally back to normal by 2022^ ~ Bill Gates
Ila bill gates nae ana mitizamo yake fulani ya kama imekaa kishetani shetani kuna clip moja anazungumzia maswala ya uzazi wa mpango.

Anadai huko mbele resources zitakuwa chache,alafu watu watakuwa wengi so lazima watu wafanye birth control.

Hilo neno "should back to normal....." unaweza ukasema ugonjwa ana ucontrol yy.

 
A TIMELINE & COUNTDOWN TO A SAD MARCH 17

FEBRUARY 2021

1 MON ---

2 TUE ---

3 WED ---

4 THU ---

5 FRI ---

6 SAT ---

7 SUN ---

8 MON ---

9 TUE ---

10 WED ---

11 THU --- Morogoro Market Officially Opened by JPM

12 FRI --- JPM Opens Hide Factory in Morogoro

13 SAT ---

14 SUN ---

15 MON ---

16 TUE ---

17 WED --- Death of Amb. Kijazi & VP Maalim Seif

18 THU ---

19 FRI --- JPM on Kijazi's Funeral at Karimjee DSM

20 SAT ---

21 SUN --- JPM Last Day in Church

22 MON ---

23 TUE ---

24 WED --- JPM at Kijazi Interchange & Magufuli International Bus Terminal Mbezi Louis

25 THU --- Kisutu Market Opened by JPM

26 FRI --- JPM at Kurasini: His Last Public Speech

27 SAT --- Dr. Bashiru Takes Oath of Office in Place of Late Amb. Kijazi. JPM's Last Public Appearance

28 SUN --- JPM Unusually Misses Church Service



MARCH 2021

1 MON ---

2 TUE ---

3 WED ---

4 THU ---

5 FRI ---

6 SAT --- Speculations Regarding JPM's Sickness Ensue

7 SUN --- JPM Misses Church for the 2ND TIME

8 MON ---

9 TUE ---

10 WED --- Speculations Rise that He Had Been Flown to Kenya for Treatment; Social Media Circulate Tarp-Covered Military Vehicles & Military Band

11 THU --- Speculations that He Had Been Flown to India

12 FRI --- PM in Njombe Says JPM is Well & Active in His Official Work as Usual

13 SAT ---

14 SUN --- JPM Misses Church for the 3RD TIME

15 MON --- VP Samia in Tanga

16 TUE ---

17 WED --- Official Devastating Announcement by the then VP Ms Samia
 
Ila bill gates nae ana mitizamo yake fulani ya kama imekaa kishetani shetani kuna clip moja anazungumzia maswala ya uzazi wa mpango.

Anadai huko mbele resources zitakuwa chache,alafu watu watakuwa wengi so lazima watu wafanye birth control.

Hilo neno "should back to normal....." unaweza ukasema ugonjwa ana ucontrol yy.

..WACHINA ndio hatari zaidi.

..Fuatilia wanachowafanyia jamii ya Waislamu wa Uighur.
 
Ila bill gates nae ana mitizamo yake fulani ya kama imekaa kishetani shetani kuna clip moja anazungumzia maswala ya uzazi wa mpango.

Anadai huko mbele resources zitakuwa chache,alafu watu watakuwa wengi so lazima watu wafanye birth control.

Hilo neno "should back to normal....." unaweza ukasema ugonjwa ana ucontrol yy.
Kumbuka ndiye ^alitabiri^ mapema tu 2016 kwamba kuna pandemic kubwa itakayowaua mamilioni ya watu.

NB: Bill Gates on Ted Talk 2016
 
@mama D stop saying ^siku yake ilifika,^ sawa!??? There are countless deaths that are totally preventable. I hope you know this!??? Huwezi kuacha kufunga safety belt garini ama ukalewa na kuendesha ukidai ^siku ikifika imefika^ Huko ni kudhilimu imani (faith abuse).
Kwa hiyo unachosema hapa ni kwamba ni kifo cha uzembe!? Jasmoni Tegga mambo ya rohoni na mambo ya mwilini yako tofauti sana
 
Kwa hiyo unachosema hapa ni kwamba ni kifo cha uzembe!? Jasmoni Tegga mambo ya rohoni na mambo ya mwilini yako tofauti sana
Mama D please tafuta maana ya ^faith abuse^ halafu uje tuzungumze, our dear marriage counselor. 🙂
 
mkuu tuliza akili. umemhudumia mgonjwa mwenye corona halafu tena unasema corona haipo....
Kwaiyo kwa akili yako fupi hayati amekufa kwa korona!!

Unafikir ww? Kama unashule ya medical sorry hii syo mahali pake lakin kama una shule ya intelligencia basi tunaeza anza kukusikiliza!!...
 
Acheni ujinga nyie Magu ana kipi cha maana hadi mataifa makubwa yaache kujadili mambo ya maana wajadili ujinga wenu maana mnamezeshana upuuzi kesho mko kwao kutembeza bakuli

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app

Ujinga n ww unaefikiri wazungu kwa kumuangalia magu!!
Wazungu wanafikiri africa kwa kupitia magu watapitaje!!

Hujui ulaya n marekan bila africa na asia hawana cha kufanya??
Nchi zao hazina chochote zaidi ya man power
 
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.

Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa mwaka 2019 linaloonya makampuni yanayotengeneza pacemaker/defibrillator kuhusu hatari ya kifaa hicho kudukuliwa na wataalam wa udukuzi na kupelekea hata kifo kwa watu waliopandikizwa kifaa hicho.

Ukitaka kusoma onyo hilo unaweza kugonga hapa;
Link>>> Pacemakers and Hacker Dangers

Wizara hiyo ilibainisha kuwa wadukuzi wanaweza kuingilia mifumo ya pacemaker/defibrillator na kuweza kubadilisha mawasiliano yake ambapo inaweza kupelekea mtu aliyewekewa kifaa kufariki.

Wizara hiyo ilienda mbali zaidi na kusema hata wadukuzi ''mwenye uwezo mdogo'' wanaweza kudukua pacemaker/defibrillator na kufanikiwa kuleta madhara makubwa kwa watu waliopandikizwa vifaa hivyo kwa sababu vifaa hivyo havina mfumo wa uhakiki au idhini (authentication or authorization) ambao ni kinga ya mwanzo dhidi ya udukuzi.

Onyo hili lilipelekea watoa huduma ya afya nchini Marekani kuwaita wananchi wa Marekani zaidi ya nusu milioni waliopandikizwa vifaa hivyo na kuwaeleza ukweli wake.

Kama kifaa hiki kinaweza kudukuliwa hata na wadukuzi wenye uwezo mdogo na kuleta madhara au kifo, inafikirisha sana kusikia kifo cha Rais Magufuli kimesababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator. Bear in mind, Rais Magufuli amekuwa na hii pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. Why now?

Inafikirisha zaidi baada ya kusoma makala iliyoandikwa na Tundu Lissu kupitia gazeti la Afrika ya Kusini liitwalo Maverick akidai alidokezwa kuhusu hali ya Rais Magufuli na chanzo cha ''uhakika'' kutoka Marekani tarehe 6 Machi.

Ukitaka kusoma makala hiyo gonga hapa;
Link>>> OP-ED: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

Ukiyachanganua maelezo ya Tundu Lissu utagundua kuwa chanzo cha ''uhakika'' walijua wamefanikiwa ''mission'' ya kudukua hasa baada ya Rais Magufuli kwenda katika hospitali ya Muhimbili tarehe 6 Machi kutibiwa ambapo inaonekana daktari/madaktari walitoa siri hiyo nje lakini baada ya kutoka Muhimbili siku ya pili hawakujua yuko wapi kutokana na usiri wa hali ya juu wa ulinzi wa Rais Magufuli.

Hata gazeti ya Kijasusi liitwalo Africaintelligence halikuweza kujua aliko na likadai habari zinazosema yuko Kenya au India sio za kweli kwa sababu limefanya uchunguzi na kugundua sio kweli.

Kama chanzo cha kifo cha Rais Magufuli kitakuwa ni kudukuliwa kwa pacemaker/defibrillator, hii itakuwa ni aibu na udhaifu mkubwa kwa vyombo vilivyopewa mamlaka ya ulinzi na usalama wa taasisi ya Urais nchini Tanzania. Taasisi ya Ulinzi na Usalama inawezekana ilikuwa imejikita katika ulinzi wa mwili(Physical security ) pekee bila kujiandaa kwenye ulinzi wa saibenetiki(cybersecurity).

Kuna baadhi ya watu watajiuliza, kwa nini pacemaker/defibrillator ya Rais Magufuli idukuliwa kwa sasa?

Mtu mwenye upeo mkubwa atajua muda huu ndio ulikuwa ni muda mwafaka kiujasusi baada ya uchaguzi mkuu 2020 kwa sababu nguvu zilizokuwa zimewekezwa katika Uchaguzi Mkuu 2020 ili kumuondoa Rais Magufuli madarakani kwa njia ya sanduku la kura au maandamano kupitia kwa Tundu Lissu kutofanikiwa.

Ukisikiliza sauti ya tatu utagundua kuwa Tundu Lissu aliwaaminisha ''majasusi'' ana uwezo wa kumtoa Rais Magufuli madarakani kwa kura au maandamano.

Ieleweke kuwa, katika baadhi ya misheni hasa za kijasusi zenye changamano na tata huwa kuna mpango(plan) zaidi ya mmoja. Baada ya mpango wa kwanza kushindwa, mpango wa pili ulichukua nafasi yake na kufanikiwa!

Nadhani hoja za kinadharia kutoka kwa baadhi ya wanasiasa hasa wabunge za kutaka kubadilisha katiba ya Tanzania ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa Urais pia zimeharakisha sana ''mission'' hii kabla hawajaanza kuandika ''miswaada binafsi'' na kupeleka bungeni kwa sababu ungepitishwa bila kikwazo chochote!

Mission accomplished, the rest is history!

NOTA BENE.
Kwa wasiojua, pacemaker/defibrillatorni ni kifaa kidogo cha umeme chenye ukubwa kama kiberiti ambacho hufuatilia na kudhibiti wimbo wa moyo ambacho huingizwa kwenye kifua ili kufuatilia na kudhibiti sauti ya moyo isiyo ya kawaida ili kusukuma damu kwa kiwango kinachotakiwa.
View attachment 1733899
Kwa kifupi sana MOLA aliyajua hayo yote ndio maana akaruhusu iwehivyo kwa makusudi yake mwenyewe, laa sivyo angemponya na hayo majaribu. Anyway tushukuru kwa kila jambo kama sayansi ya biblia inavyo elekeza.
 
Habari zenu wakuu poleni Sana na majukumu ya kulijenga hili Taifa .

Kwa haya Mambo yanayoendelea katika kila Kona ya Tanzania nachelea kusema kuna watu inawezekana kabisa wamehusika na kumzima mkuu wa nchi.

40 haijaisha mmeanza kutoka porini kusaka tonge mlilopokwa zamani

Magu baba ungeamka mara moja ungeona hawa wanafiki waliokuzunguka usingesamehe hata mmoja.

Nchi inaenda Gizani sasa kwa tamaa za viongozi wachumia tumbo

Nani mwingine wa kulikomboa Taifa ??
 
Habari zenu wakuu poleni Sana na majukumu ya kulijenga hili Taifa .

Kwa haya Mambo yanayoendelea katika kila Kona ya Tanzania nachelea kusema kuna watu inawezekana kabisa wamehusika na kumzima mkuu wa nchi.

40 haijaisha mmeanza kutoka porini kusaka tonge mlilopokwa zamani

Magu baba ungeamka mara moja ungeona hawa wanafiki waliokuzunguka usingesamehe hata mmoja.

Nchi inaenda Gizani sasa kwa tamaa za viongozi wachumia tumbo

Nani mwingine wa kulikomboa Taifa ??

Tuzingatie Miongozo iliyotolewa na WHO ,taratibu ni zile zile hazijabadilika..
 
Back
Top Bottom