Je, Rais Samia anayo haki na misingi ya kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) kwa mambo yasiyo ya Muungano?

Je, Rais Samia anayo haki na misingi ya kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) kwa mambo yasiyo ya Muungano?

Kwa hiyo hayo mambo yasiyo na muungano yako upande mmoja tu?

Soma Katiba my friend, mambo yasiyo ya muungano ni kwa pande zote mbili.

Iweje Mzanzibari aongoze Bara kwa mambo yasiyo ya Muungano?
Wewe uko nchi gani bwashee?

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Zanzibar?

Tuanzie hapo.
 
Mfumo huu wa muungano ni wa hovyo sana kuwahi tokea
Aidha tungekuwa Na serikali tatu lakini hii ingemfanya rais wa muungano kuwa powerless kabisa

Au tungefanya complete unification ( of which binafsi naona tukae mezani sasa kufanikisha hili tuvunje Zanzibar Na Tanganyika iwe only Tanzania tuwe Na united states of Tanzania ) yaani tungeua utaifa wa Zanzibar Na Tanganyika ikazaliwa nchi moja tu kusiwe Na mtanganyika ama mzanzibar yaani Zanzibar ingekuwa kama Dodoma ama Mwanza tu.

Ila haiingilii akilini rais mzanzibar aiongoze Tanzania bara kwa mambo ambayo hatukukubaliana ni ya muungano haimake sense kabisa. Sijui mzee wetu alikuwa anafikiria nini with this system yani its illogical in every way possible.
 
Kama mngrjikita kujibu hoja basi tungefika mbali sana. Je, nimeandika uongo? Au kuna sehemu nimekosea?
Magufuli kaingiaje hapa?

Hoja ni hii, ni sahihi kwa Mzanzibar kuongoza Bara kwa mambo yasiyo ya Muungano??
Tubaki hapa jamani
Ndio ni sahihi.Hakuna Tanganyika wala Tanzania Bara.Tanzania na Zanzibar ambayo ni semi autonomous.Kama Rais wa JMT anao wajibu kwa upande wa Bara na Visiwani.Regardless of Ametokea wapi.
 
Chombo Kipo ni Waziri Mkuu,Mamlaka yake ni ya BARA peke yake.Unataka Waziri Mkuu awe na madaraka sawa na ya Rais wa Zanzibar?
Sio kweli waziri Mkuu ni appointee wa rais haiwezekani mzanzibar awachagulie kiongozi watanzania bara haimake sense hata kidogo
 
Mfumo huu wa muungano ni wa hovyo sana kuwahi tokea
Aidha tungekuwa Na serikali tatu lakini hii ingemfanya rais wa muungano kuwa powerless kabisa

Au tungefanya complete unification ( of which binafsi naona tukae mezani sasa kufanikisha hili tuvunje Zanzibar Na Tanganyika iwe only Tanzania tuwe Na united states of Tanzania ) yaani tungeua utaifa wa Zanzibar Na Tanganyika ikazaliwa nchi moja tu kusiwe Na mtanganyika ama mzanzibar yaani Zanzibar ingekuwa kama Dodoma ama Mwanza tu.

Ila haiingilii akilini rais mzanzibar aiongoze Tanzania bara kwa mambo ambayo hatukukubaliana ni ya muungano haimake sense kabisa. Sijui mzee wetu alikuwa anafikiria nini with this system yani its illogical in every way possible.

Safi sana, nimekuelewa boss
 
Ndio ni sahihi.Hakuna Tanganyika wala Tanzania Bara.Tanzania na Zanzibar ambayo ni semi autonomous.Kama Rais wa JMT anao wajibu kwa upande wa Bara na Visiwani.Regardless of Ametokea wapi.

Hiyo regardless ametokea wapi ni logically correct au kwa kuwa inatambulika kikatiba tu?
 
Tuelewe kwamba Zanzibar ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza 1963 lakini wazalendo walitaka kumuondoa Sultan na walifanikiwa kufanya hivyo mwaka1964.

Sultan alikimbilia Uingereza lakini nchi yake ya asili yaani Oman ilikua tayari kumpa msaada wa kijeshi arudi Zanzibar. Wazalendo waliomba msaada Bara na huu muungano kuzaliwa.
Huo upupu umeshachokwa na watanganyika

Zanzibar isepe kama itatawaliwa na waomani ni kivyao
 
Tuelewe kwamba Zanzibar ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza 1963 lakini wazalendo walitaka kumuondoa Sultan na walifanikiwa kufanya hivyo mwaka1964.

Sultan alikimbilia Uingereza lakini nchi yake ya asili yaani Oman ilikua tayari kumpa msaada wa kijeshi arudi Zanzibar. Wazalendo waliomba msaada Bara na huu muungano kuzaliwa.
Na huu ndio ukweli wenyewe. Karume aliuhitaji zaidi muungano kuliko Nyerere ndio maana hata kwenye negotiation hakukuwa na mambo mengi.

Mfano: Ukitaka leo kuungana na Kenya, kwanza suala la nani atakuwa Rais tu linaweza kukwamisha muungano wenyewe.

Karume aliogopa kubaki mwenyewe, alijua atapinduliwa maana hakuwa na uwezo wa kujilinda na ishtoshe hata mapinduzi yenyewe hakushiriki kikamilifu. Yaliongozwa na Mjaluo John Okello.

Hizi juhudi za kuuuona uonevu na kutaka kujitawala, zimeanza baada ya mambo kupoa.
 
Na huu ndio ukweli wenyewe. Karume aliuhitaji zaidi muungano kuliko Nyerere ndio maana hata kwenye negotiation hakukuwa na mambo mengi.

Mfano: Ukitaka leo kuungana na Kenya, kwanza suala la nani atakuwa Rais tu linaweza kukwamisha muungano wenyewe.

Karume aliogopa kubaki mwenyewe, na ishtoshe hata mapinduzi yenyewe hakushiriki kikamilifu. Yaliongozwa na Mjaluo John Okello.

Hizi juhudi za kuuuona uonevu na kutaka kujitawala, zimeanza baada ya mambo kupoa.
Na katika miaka nane ya utawala wa Karume kulikua na majaribio 11 yakutaka mumpindua.
 
Sultan alikimbilia Uingereza lakini nchi yake ya asili yaani Oman ilikua tayari kumpa msaada wa kijeshi arudi Zanzibar. Wazalendo waliomba msaada Bara na huu muungano kuzaliwa.
Kakuhadithia nani hili jambo?

Unajua kuwa Zanzibar na Oman walivunja undugu baada ya kifo cha Seyyid Said? Wapi na wapi Oman walitaka kumsaidia Jemshid? Kakaa miaka na miaka Uingereza hakurudi Oman ila majuzi tu halafu useme alitaka kumsaidia?

Tuseme tu, Karume alikuwa na khofu matokeo yake kajiingiza mtegoni maskini, nchi ndo imeenda kudidimia kwenye Muungano.
 
Mnaleta siasa tu ila mleta mada ana hoja za msingi sana ambazo wakati wa mchakato wa katiba Mpya zilijadiliwa sana

Binafsi namkubali maza sana tu sina tatizo nae ata kama ni wa upande wa pili as long as anakuwa fair haina shida but hilo haliondoi hoja za msingi za mleta mada.
Tanganyika ilishauza haki yake ya uzaliwa wa kwanza!
 
Back
Top Bottom