johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe uko nchi gani bwashee?Kwa hiyo hayo mambo yasiyo na muungano yako upande mmoja tu?
Soma Katiba my friend, mambo yasiyo ya muungano ni kwa pande zote mbili.
Iweje Mzanzibari aongoze Bara kwa mambo yasiyo ya Muungano?
Ndio ni sahihi.Hakuna Tanganyika wala Tanzania Bara.Tanzania na Zanzibar ambayo ni semi autonomous.Kama Rais wa JMT anao wajibu kwa upande wa Bara na Visiwani.Regardless of Ametokea wapi.Kama mngrjikita kujibu hoja basi tungefika mbali sana. Je, nimeandika uongo? Au kuna sehemu nimekosea?
Magufuli kaingiaje hapa?
Hoja ni hii, ni sahihi kwa Mzanzibar kuongoza Bara kwa mambo yasiyo ya Muungano??
Tubaki hapa jamani
Sio kweli waziri Mkuu ni appointee wa rais haiwezekani mzanzibar awachagulie kiongozi watanzania bara haimake sense hata kidogoChombo Kipo ni Waziri Mkuu,Mamlaka yake ni ya BARA peke yake.Unataka Waziri Mkuu awe na madaraka sawa na ya Rais wa Zanzibar?
Mfumo huu wa muungano ni wa hovyo sana kuwahi tokea
Aidha tungekuwa Na serikali tatu lakini hii ingemfanya rais wa muungano kuwa powerless kabisa
Au tungefanya complete unification ( of which binafsi naona tukae mezani sasa kufanikisha hili tuvunje Zanzibar Na Tanganyika iwe only Tanzania tuwe Na united states of Tanzania ) yaani tungeua utaifa wa Zanzibar Na Tanganyika ikazaliwa nchi moja tu kusiwe Na mtanganyika ama mzanzibar yaani Zanzibar ingekuwa kama Dodoma ama Mwanza tu.
Ila haiingilii akilini rais mzanzibar aiongoze Tanzania bara kwa mambo ambayo hatukukubaliana ni ya muungano haimake sense kabisa. Sijui mzee wetu alikuwa anafikiria nini with this system yani its illogical in every way possible.
Ndio ni sahihi.Hakuna Tanganyika wala Tanzania Bara.Tanzania na Zanzibar ambayo ni semi autonomous.Kama Rais wa JMT anao wajibu kwa upande wa Bara na Visiwani.Regardless of Ametokea wapi.
Wewe uko nchi gani bwashee?
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Zanzibar?
Tuanzie hapo.
Huo upupu umeshachokwa na watanganyikaTuelewe kwamba Zanzibar ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza 1963 lakini wazalendo walitaka kumuondoa Sultan na walifanikiwa kufanya hivyo mwaka1964.
Sultan alikimbilia Uingereza lakini nchi yake ya asili yaani Oman ilikua tayari kumpa msaada wa kijeshi arudi Zanzibar. Wazalendo waliomba msaada Bara na huu muungano kuzaliwa.
Na huu ndio ukweli wenyewe. Karume aliuhitaji zaidi muungano kuliko Nyerere ndio maana hata kwenye negotiation hakukuwa na mambo mengi.Tuelewe kwamba Zanzibar ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza 1963 lakini wazalendo walitaka kumuondoa Sultan na walifanikiwa kufanya hivyo mwaka1964.
Sultan alikimbilia Uingereza lakini nchi yake ya asili yaani Oman ilikua tayari kumpa msaada wa kijeshi arudi Zanzibar. Wazalendo waliomba msaada Bara na huu muungano kuzaliwa.
Hujajibu swali bwashee.Unadhani J.M.T ni nini? Ni muungano kwa baadhi ya vitu tu, sio kila kitu.
Anapigania nchi ya kufikirika!Mleta mada hiyo Tanganyika yako unayotaka Samia asiguse mambo yake iko wapi? 😁
Mnaleta siasa tu ila mleta mada ana hoja za msingi sana ambazo wakati wa mchakato wa katiba Mpya zilijadiliwa sanaAnapigania nchi ya kufikirika!
Na katika miaka nane ya utawala wa Karume kulikua na majaribio 11 yakutaka mumpindua.Na huu ndio ukweli wenyewe. Karume aliuhitaji zaidi muungano kuliko Nyerere ndio maana hata kwenye negotiation hakukuwa na mambo mengi.
Mfano: Ukitaka leo kuungana na Kenya, kwanza suala la nani atakuwa Rais tu linaweza kukwamisha muungano wenyewe.
Karume aliogopa kubaki mwenyewe, na ishtoshe hata mapinduzi yenyewe hakushiriki kikamilifu. Yaliongozwa na Mjaluo John Okello.
Hizi juhudi za kuuuona uonevu na kutaka kujitawala, zimeanza baada ya mambo kupoa.
Serikali tatu itaondoa contradiction lakini itaenda kuuwa power ya rais wa JMT maana marais wa bara Na Zanzibar watakuwa more powerful.Mdio watu wakadai serikali tatu, Tanganyika Zanzibar na Serikali ya Shirikisho ( jina la nchi mutaamua liwe lipi ) sio lazima Tanzania.
Kakuhadithia nani hili jambo?Sultan alikimbilia Uingereza lakini nchi yake ya asili yaani Oman ilikua tayari kumpa msaada wa kijeshi arudi Zanzibar. Wazalendo waliomba msaada Bara na huu muungano kuzaliwa.
Tanganyika ilishauza haki yake ya uzaliwa wa kwanza!Mnaleta siasa tu ila mleta mada ana hoja za msingi sana ambazo wakati wa mchakato wa katiba Mpya zilijadiliwa sana
Binafsi namkubali maza sana tu sina tatizo nae ata kama ni wa upande wa pili as long as anakuwa fair haina shida but hilo haliondoi hoja za msingi za mleta mada.