Hilo ndilo swali la msingi
1. Je Raisi anataka kukumbukwa maisha kwa kujenga mifumo na kutupa katiba bora Tanzania
2. Atasahaulika kwa kuiba kura na kugushi uchaguzi na kujipa 80% ya ushindi ambayo ni fake?
Haya ni maamuzi yake. Mafisadi wote wanataka achague namba 2 kwani wanajali matumbo tu
Sawa kwenye namba moja ni lazima wapinzani kwa hali halisi watapata 45% na wabunge wengi lakini hawatakuwa majority. Lakini kuna wabunge wengi watakosa viti kwenye uchaguzi huru na wa haki. Lakini ndiyo nchi ilipo. Hili sio taifa la chama kimoja!
Kwa namba 2 ni kama 2020
Mama ngoma iko kwako. Lakini nakushauri uende na namba 1 kwani wapinzani wameshikiliwa na Mbowe tu. Mbowe akikata tamaa hii nchi itakuwa hatarini huo ndiyo ukweli
Watanzania wengi wanafikiri mwenye sikio la Raisi Samia ni Kikwete hili sio la kweli. Mwana siasa wa kumwangalia sana Tanzania kwa sasa ni Kinana. Kinana na Mbowe ndiyo wanasiasa ambao wataamua mwelekeo wa nchi yetu kwa miaka mingi ijayo. Ndiyo maana niliuliza kuhusu Kinana na Uzalendo wake. Je kinana wa sasa ambaye ni mzee anataka kukumbukwa kwa lipi yule Mzalendo wa 1980’s au fisadi na majigambo ya 1990’s . Tuombe Kinana wa sasa arudi kuwa wa 1980’s. Kwa connection ya Arusha Raisi Samia kamchagua Kinana kwasababu ana waelewa Chadema kuliko yeye na hata kikwete. Hawa wa pwani anawajuwa sana wasiwasi ni hawa wafanyabiashara kama Mbowe ambao ni wagumu sana kuwasoma ndiyo maana Raisi kamleta kinana. Tuombee mikutano yao ya vyama iwe na tija kwa taifa
1. Je Raisi anataka kukumbukwa maisha kwa kujenga mifumo na kutupa katiba bora Tanzania
2. Atasahaulika kwa kuiba kura na kugushi uchaguzi na kujipa 80% ya ushindi ambayo ni fake?
Haya ni maamuzi yake. Mafisadi wote wanataka achague namba 2 kwani wanajali matumbo tu
Sawa kwenye namba moja ni lazima wapinzani kwa hali halisi watapata 45% na wabunge wengi lakini hawatakuwa majority. Lakini kuna wabunge wengi watakosa viti kwenye uchaguzi huru na wa haki. Lakini ndiyo nchi ilipo. Hili sio taifa la chama kimoja!
Kwa namba 2 ni kama 2020
Mama ngoma iko kwako. Lakini nakushauri uende na namba 1 kwani wapinzani wameshikiliwa na Mbowe tu. Mbowe akikata tamaa hii nchi itakuwa hatarini huo ndiyo ukweli
Watanzania wengi wanafikiri mwenye sikio la Raisi Samia ni Kikwete hili sio la kweli. Mwana siasa wa kumwangalia sana Tanzania kwa sasa ni Kinana. Kinana na Mbowe ndiyo wanasiasa ambao wataamua mwelekeo wa nchi yetu kwa miaka mingi ijayo. Ndiyo maana niliuliza kuhusu Kinana na Uzalendo wake. Je kinana wa sasa ambaye ni mzee anataka kukumbukwa kwa lipi yule Mzalendo wa 1980’s au fisadi na majigambo ya 1990’s . Tuombe Kinana wa sasa arudi kuwa wa 1980’s. Kwa connection ya Arusha Raisi Samia kamchagua Kinana kwasababu ana waelewa Chadema kuliko yeye na hata kikwete. Hawa wa pwani anawajuwa sana wasiwasi ni hawa wafanyabiashara kama Mbowe ambao ni wagumu sana kuwasoma ndiyo maana Raisi kamleta kinana. Tuombee mikutano yao ya vyama iwe na tija kwa taifa