Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Leo asubuhi nememsikia mtangazaji mmoja wa East Africa Radio (kwenye kipindi cha 12:00- 04:00) akisema Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan ni Rais wa awamu ya sita. Yawezekana wengi wakawa na mtazamo huo, au wengi wakafuata mtazamo huo baada ya kumsikia mtangazaji huyo. Je, kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, toleo la 20 Juni 2005, Rais wa sasa anamalizia awamu ya tano au anaanza awamu nyingine, yaani ya sita?
Je, awamu ya tano (phase 5) imekuwa na Marais wawili? Mmoja ameshika kipindi cha kwanza (1st term) na mwingine karibu kipindi cha pili (2nd term) kwa sababu yule wa kwanza amefariki dunia?
Ikumbukwe kuwa awamu moja ina vipindi viwili (one phase has two terms).
Je, mwanahabari huyo aliptitia katiba ya nchi kabla ya kuongelea facts?
Je, ibara ya 40 (4), inatoa jibu sahihi la swali juu ya kuanza kwa awamu ya sita au la, ni kuwa Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan amefungua awamu ya sita?
Rejea ibara ya 37, kifungu cha 5.
Je, awamu ya tano (phase 5) imekuwa na Marais wawili? Mmoja ameshika kipindi cha kwanza (1st term) na mwingine karibu kipindi cha pili (2nd term) kwa sababu yule wa kwanza amefariki dunia?
Ikumbukwe kuwa awamu moja ina vipindi viwili (one phase has two terms).
Je, mwanahabari huyo aliptitia katiba ya nchi kabla ya kuongelea facts?
Je, ibara ya 40 (4), inatoa jibu sahihi la swali juu ya kuanza kwa awamu ya sita au la, ni kuwa Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan amefungua awamu ya sita?
Rejea ibara ya 37, kifungu cha 5.