Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunampa kiki hasizokuwa nazoSlaa alienda Mapumziko.. Halafu baadae ikawaje? Na case ya Wakenya unataka kuifananisha na Tz kweli?
Je kama alienda kwenye Tamasha la kiswahili imekuwaje akazamia? Afrika unaweza ku temper na visa sio Marekani
Jr[emoji769]
Kishatoa kitabuWapi Mzee wa maswali magumu? Nini kimemsibu kiasi cha kubaki kimya muda wore guy licha ya madhuruba yanayotukia pande hizi.
Huko Finland Kuna maswaiba gani yamekutokea Ansebert ngurumo, maswali magumu yameishia wapi?
Sijui tatizo ni lugha siielewi au ni sheria? Hii habari naona kama inawahusu marekani na ICC na siyo Tanzania na ICC.
Mkuu amaweza kuwa mbumbu wa sheriaYes Mbumbumbu wa international Law specifically international criminal Law! Ndo maana amethubutu kuandika hiki alichokiandika!
Wewe ndiye tueleze, usianze kurukaruka!Mkuu alipaswa aeleze aliyeleta hizi habari, na huu ndo ubaya wa kurukia vitu usivyoelewa!
Maana yake hiyo ni kuwa Roma atafichwa je huko ili kuandaa ICC wakati wenyewe hawaitambui?
Hana ajualo,anawatoa kwenye reli ya mjadala.Huyu mwaJF ni pandikizi kuwapotezea mtiririko wa hoja ya msingi na wapo wengi.Wametumwa.
Hana ajualo,anawatoa kwenye reli ya mjadala.Huyu mwaJF ni pandikizi kuwapotezea mtiririko wa hoja ya msingi na wapo wengi.Wametumwa.
Absolutely yes! Ili kutenda haki alipaswa kusema how Roma anaweza kuwa shahidi angainst whom and under which chareges na kwa misingi ipi? Sasa kuropoka tu bila hata kujua ABC ya ICC huo nao ni uzwazwa!
Mleta maada alipaswa adadavue, ndio maana nikwakwambia ni Ngumbalu wa hizi mambo by just looking on what he just wrote!
hao mabeberu ujue......
naam, wacha tusonge mbele.....[emoji23][emoji23][emoji23]kule nimeona umesoma ile report ya UNDP
Jr[emoji769]