Je, safari hii CCM hamjakubaliana?

Samahani kukuambia hivi lakini utakua umevuta bangi iliyo changanywa na mavi ya ngurue 😡😡 yani bila hata aibu unaandika eti uhai wa ccm ndio usalama wa Tanzania hizo ni akili taka taka au matope kabisa 😡😡😡
 
Sio kweli kabisa kuwa bila CCM hakuna Tanzania yenye amani, furaha na usalama.
 
Siwezi kujotokeza kugombea kwenye chaguzi ambazo kutangazwa ni kwa utashi wa mwenyekiti wa ccm na sio kwa kura halali.
kaa utulie sasa uwe unaumiiaaaa......kisha. unaliaaa weeee hii kubwekabweka na kelele mingi hakuna namna unaweza saidika..

wanachukua wanaweka waaaaa
 
Unaweza kuanisha hao wakubwa wenzie ni akina nani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…