DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
- #21
Kwahiyo serikali ina uwezo wa kulisha hao watu wote? Kama mtu hawezi kununuliwa mwanae madaftari wewe unategemea ataweza kumnunulia chakula kweli kila siku?
Wewe Kama msomi usitoe mitazamo ambayo haipo kwa kulinganisha , Mtu na ntu , unabidi kusoma between the lines ili uelewe what I mean, lengo ni kuandaa mfumo ili mzazi kupitia hand to mouth yake ya kila siku Basi aweze kuchangia elfu nne kwa mwezi na miambili kwa siku na Serikali iweke support Yake ,na mtoto Apate chakula
Watz Msiwe wabinafsi