Je, Serikali inazungumziaje suala la wanafunzi kukaa na njaa shuleni hadi usiku?

Je, Serikali inazungumziaje suala la wanafunzi kukaa na njaa shuleni hadi usiku?

Kuna waraka ulitoka kwamba wanafunzi wale chakula cha mchana shuleni kwa shule za msingi za serikali nina mtoto wa Dada yangu anaishi kwangu namlea mimi nilihudhuria kwenye kikao !! Makubaliano ilikua ni sh 500 atakula ubwabwa na maharage !! Changamoto wazazi walilalamika sana !! 😂😂

Ila mwisho wa siku waliosupport walikua wengi ! Japo hicho chakula kwa kweli bado ni kupumbaza njaa tu
Nilishaweka utaratibu kabla ya mtoto kutoka lazima ale chakula na kingine anabeba kidogo !! Unampa na 1000. Na hakikisha unapompa anakula kweli kwa sababu watoto wana tabia anaweza asile chakula hela yote akanunua barafu za ukwaju au chama.
Japo wanahitaji kuboresha zaidi ila angalau hiki wanachokula kinawapunguzia effect za vidonda vya tumbo !!
 
Naomba Serikali itengeneze Mfumo rafiki wa either Mzazi/mlezi kuchangia kiasi kidogo Cha pesa ili mtoto wake Apate chakula mashule mbona nyie wana-siasa watoto wenu wanakula vizuri tu wana Afya nzuri tu.

Hapo wazazi ndo huwa hawaelewi kitu
Si mlikataa ubwabwa, sasa kuleni tozo.
Hashim Rungwe
 
Sio rahisi sana kama unavyoiweka. Hata shule wanazotoa chakula shuleni, michango ni kizungumkuti.
Kweli kabisa , ila wazazi pia tujue elimu ni gharama ! Baada ya ile sentensi ya elimu bure wazazi wanabweteka sana hawataki hata kuambiwa chochote kila kitu wanalalamika mtoto unakataa hata kumwekea mazingira asishinde njaa ! Au kama kuna ugumu basi hakikisha muda wa kutoka asubuhi atoke amekula na saa sita mkadirie umpelekee chakula aendelee na masomo.
 
Kuna waraka ulitoka kwamba wanafunzi wale chakula cha mchana shuleni kwa shule za msingi za serikali nina mtoto wa Dada yangu anaishi kwangu namlea mimi nilihudhuria kwenye kikao !! Makubaliano ilikua ni sh 500 atakula ubwabwa na maharage !! Changamoto wazazi walilalamika sana !! 😂😂

Ila mwisho wa siku waliosupport walikua wengi ! Japo hicho chakula kwa kweli bado ni kupumbaza njaa tu
Nilishaweka utaratibu kabla ya mtoto kutoka lazima ale chakula na kingine anabeba kidogo !! Unampa na 1000. Na hakikisha unapompa anakula kweli kwa sababu watoto wana tabia anaweza asile chakula hela yote akanunua barafu za ukwaju au chama.
Japo wanahitaji kuboresha zaidi ila angalau hiki wanachokula kinawapunguzia effect za vidonda vya tumbo !!
Imagine suala tu la kumlisha mtoto wake, mzazi anaona ni mzigo. Tena ni kwa gharama ndogo tu ambayo angeshinda nae nyumbani asingeweza kumlisha kwa gharama hiyo.

Kwakweli huwa ni kupunguza njaa tu tu ili angalau kumuepusha na vidonda vya tumbo na vishawishi vingine.
 
Kweli kabisa , ila wazazi pia tujue elimu ni gharama ! Baada ya ile sentensi ya elimu bure wazazi wanabweteka sana hawataki hata kuambiwa chochote kila kitu wanalalamika mtoto unakataa hata kumwekea mazingira asishinde njaa ! Au kama kuna ugumu basi hakikisha muda wa kutoka asubuhi atoke amekula na saa sita mkadirie umpelekee chakula aendelee na masomo.
Hapo ndio unaona watanzania wengi tunazaa kujaza tu dunia, kulea hatutaki kabisa.
 
Imagine suala tu la kumlisha mtoto wake, mzazi anaona ni mzigo. Tena ni kwa gharama ndogo tu ambayo angeshinda nae nyumbani asingeweza kumlisha kwa gharama hiyo.

Kwakweli huwa ni kupunguza njaa tu tu ili angalau kumuepusha na vidonda vya tumbo na vishawishi vingine.
i
Ni aibu sana !!!
 
Back
Top Bottom