Asante mpiga debe umesikia, kaanga ksranga na choma mihogo uuze utapata hela nzuri kuliko kupiga debe.Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Nadhani OFISI na STENDI ni vitu viwili tofauti.
"Ofisi zetu zinapatikana stendi ya Magufuli, chumba namba 37".
Kitu kibaya ni pale "ofisi" zinapoifanya kampuni ya mabasi isitumie huduma za "stendi".
Kwa ufahamu wangu najua mabasi yote yanatumia huduma za stendi bila kujali wana ofisi Shekilango, Magomeni, Manzese au eneo lolote lile.
Mimi sioni ubaya maana lengo kusudiwa la kujengwa kwa stendi bado linatimizwa.
Labda tu uwe umeamua kuwafanyia UKATILI hawa watu wa usafirishaji.
Stand ya Magufuli Mbezi ulikuwa ubunifu usiokuwa na tija. Kwenda kurundika mabasi zaidi ya 300 yanayotakiwa kuondoka kwenda mikoani kwa wakati mmoja ni kituko. Dsm inahitaji stendi nyingi kulingana na eneo ambako magari yanaelekea.
Hapo Mbezi kwenyewe kutafuta gari linalohusika upande ni vurugu na mbinde.
Watu hawasemi lakini Stendi ya Mbezi haina tija kwa wananchi. Labda makusanyo ya serikali tu. Ndio maana mwanzishaji three hii kaona eneo moja tu la ukusanyaji mapato.
Kwan lazima upande Dar lux...panda mengine yanayoenda unakoenda...acha ghiliba!Alichoandika mleta mada kina mantiki...
Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...
Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...
Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
Kwan lazima upande dar lux...panda mengine yanaenda unakoenda...acha giliba!
Bro kule Magufuli terminal Abood na Al saedy tu wakipeleka gari zao zote pale hapatoshi MbeziZilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa.. Money talk my brother
Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Acha uchochezi fazaaaAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Sijui kwa hayo uliyotaja.. Ila Njombe express yetu inaingia Mbezi kisha inaenda urafikiAlichoandika mleta mada kina mantiki...
Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...
Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...
Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
Sijui kwa hayo uliyotaja..ila Njombe express yetu inaingia mbezi kisha inaenda urafiki
Atoke Kigamboni au Vikindu aende kukata ticket Mbezi huu ni usumbufu tu. Kampuni kuwa na ofisi muhimu sana popote pale kuharahisisha huduma kama ambavyo wamerahisishiwa watu wa Kimara na Mbezi kwa stend ya Magufuli.We unataka kila anayetaka kukata ticketi aende huko porini Mbezi [emoji23][emoji23][emoji23]
Una expose upumbavu wako na kwa jinsi gani ulivyo na wivu na roho mbayaAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Mtu atoke Kigamboni akapandie gari Mbezi acha uzwazwaAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Umeshaenda pale Magufuli stand siku za karibuni au umeambiwa tu?Hoja yako ya stendi kukosa mapato naona kama haina nguvu kwa sababu abiria mwenye tiketi halipi hicho kiingilio.
Na pia ofisi za kukatia tiketi pale stendi ya Magufuli zipo sehemu ambayo unaenda bure bila kulipa hicho kiingilio.
Mkuu, au wewe ni "mpiga debe" (wale wa 'usafiri wa leo blaza') pale stendi ? Samahani lakini.