Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Stand ya Magufuli Mbezi ulikuwa ubunifu usiokuwa na tija. Kwenda kurundika mabasi zaidi ya 300 yanayotakiwa kuondoka kwenda mikoani kwa wakati mmoja ni kituko. Dsm inahitaji stendi nyingi kulingana na eneo ambako magari yanaelekea.
Hapo Mbezi kwenyewe kutafuta gari linalohusika upande ni vurugu na mbinde.
Watu hawasemi lakini Stendi ya Mbezi haina tija kwa wananchi. Labda makusanyo ya serikali tu. Ndio maana mwanzishaji three hii kaona eneo moja tu la ukusanyaji mapato.
Hapo Mbezi kwenyewe kutafuta gari linalohusika upande ni vurugu na mbinde.
Watu hawasemi lakini Stendi ya Mbezi haina tija kwa wananchi. Labda makusanyo ya serikali tu. Ndio maana mwanzishaji three hii kaona eneo moja tu la ukusanyaji mapato.