Na pia kwenye ofisi zao kuna mizigo ya wasafiri inakuwa imehifadhiwa pale huwezi kuchukua mizigo na abiria walioamua kuja hapo kuwaacha!! Aliyetoa hii mada atakiwa ana matatizo ya afya ya akiliRoho mbaya tu..hao hupeleka kwenye gereji zao..ambapo gari hufanyiwa service kabla ya kuanza safari tena..sasa ulitaka service wafanyie mbezi mwisho stendi?
#MaendeleoHayanaChama
Kwa hiyo unaona ni bora abiria ambaye yupo hapo Shekilango achukue usafiri kwenda stendi ya Magufuli akapande basi lile lile analoliona hapo Sheki ? Watu mna roho mbaya!!Zilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Mwite mpiga debe tu. Mamlaka inatoa ushauri mfanyie kazi unaleta utani na dharau. Ngoja lifanyiwe kazi halafu uendelee kumwita mpiga debe.Asante mpiga debe umesikia, kaanga ksranga na choma mihogo uuze utapata hela nzuri kuliko kupiga debe.
Shemela [emoji12][emoji12] ahsante sana kwa hili jibu lakoWa ushuani wanasafiri kwa ma-V8 yao. Wa uswazi ndo wanaojengewa stendi. Hivyo kusababisha hayo ni sawa kabisa maana ndo wenye stendi hao..
Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
basi linafika kibaha mnaambiwa abiria wanaoenda mbagala mnaweza kubaki tu humuhumu maana basi litaingia stendi ya mbezi ila safari yake itaishia chamanzi ........nakweli watu tunabaki tunakuja kushukia mtaani kwetu au pengine mlangoni kwako ,hapo ubaya uko wapi mkuuAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Acha ujinga tuko kwenye karne ya uchumi huria. Watu hawaendi mbezi sababu ni stendi ya makomeo tu, lazima uangalie na mambo mengineAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Shemela ni nini hasa kimekufurahisha kwenye jibu lile? AhahahaaShemela [emoji12][emoji12] ahsante sana kwa hili jibu lako
Siyo wivu bali inaonekana ana maslahi na stendi ya Magufuli eg ana biashara hivyo anataka watu wasongamane pale ili awapige vizuri. Huu ni ujinga. Tatizo la serikali zetu zinafanya mambo bila kushirikisha wananchi. Ni ujinga wa hali ya juu kuweka msongamano mkubwa sehemu moja eti ni stendi huku wasafiri wakipata tabu.Ukiangalia hoja kwa undani ni wivu tu unamsumbua mleta hoja
Sio hapo tu. Siku hizi kuna bus zinaanzia Chanika, Mbagala nkAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Mfanyabiashara yeyote, huwa anawaza kusogeza huduma kwa wateja wake, hata serikali ina mlengo huo huo wa kusogeza huduma kwa wananchi, vinginevyo TRA,Mahakama, hospitali, Kituo cha Polisi, mabenki n.k vyote hivyo vingekua ni sehem moja tu mkoa mzima, tungeona kungekua na mabalaa ya kutosha hizo huduma ambavyo zingekua. Imagine wote hao wange waza kama ulivyo waza weweAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
[emoji28][emoji28][emoji28] anajikuta matawi na anapanda Luwinzo[emoji1787][emoji1787] wakati wenye pesa zao wanaenda zao airportShemela ni nini hasa kimekufurahisha kwenye jibu lile? Ahahahaa
Kwani wewe unaishi wapi? Isije kuwa unaishi Kibanda cha mkaa unawaonea gele wanaosafiri mikoani wanaanzia Safari zao Shekilango na sehemu nyingine kama Gongolamboto, Mbagala n.kAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Kwani mabasi yakipakia hapo Urafiki hayaingii stendi ya Magufuri? Ukiwa na tiketi ya kusafiria siku hiyo pale getini unapita bure sijui mnalijua hilo.Zilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Afu shemela, ujuwe hata huko airport nako wana matabaka. Kuna LUWINZO zao pia.... We kila siku ATR42/72 au DASH8, au zile za zamani FOKAFIFTY.. au vile vya watu watano to Mafia na si dream liner to Dubai..!!!![emoji28][emoji28][emoji28] anajikuta matawi na anapanda Luwinzo[emoji1787][emoji1787] wakati wenye pesa zao wanaenda zao airport
Kakatwe mbeneki huko