Uwanja ndio huu mkuu waambie watu thamani ya maisha ya dunia,kama hutumii nafasi kama hizi kueleza ukweli unafikiri huo ukweli utajulikana vp?Kikubwa tunachokitaka sisi ni kuokoa muda wa vizazi vyetu. Hakuna kitu kinapoteza wakati na kufanya watu masikini kama kuamini kuna kitu kinaitwa mungu. Walio masikini wengi wanaamini maisha mazuri watakuja kuishi mbinguni. Na wanaaminishwa kuwa maisha ya duniani hayana thamani. Hiki ndo kitu ambacho mm sikupendi. Lazima tuwaambie ukweli watu wetu ili tuwe na vizazi vyenye kujielewa
Ni lugha tu imebadilikaVp na huyu Lucifer?
Satan is the state of mind...ibilisi wa mtu ni mtu....
Mnachanganya baina ya majinni na mashetani.
Wapo shetani majinni na wapo shetani binadamu.
Huko mbinguni hakuna chochote physical form iliyo solid kama huku dunianiJe, wakati ibilis\ shetan anamuasi mungu kule mbinguni alikuwa ktk physical form au roho?
Je ni ipi asili ya ushetani?
Ishu ya uwepo wa Mungu na pepo au kutokuwepo kwake ngoja libaki kuwa la kibinafsi kwakuwa ni kitu cha kiimaniKikubwa tunachokitaka sisi ni kuokoa muda wa vizazi vyetu. Hakuna kitu kinapoteza wakati na kufanya watu masikini kama kuamini kuna kitu kinaitwa mungu. Walio masikini wengi wanaamini maisha mazuri watakuja kuishi mbinguni. Na wanaaminishwa kuwa maisha ya duniani hayana thamani. Hiki ndo kitu ambacho mm sikupendi. Lazima tuwaambie ukweli watu wetu ili tuwe na vizazi vyenye kujielewa
sio wale wanaoshawishi wenzao wakaabudu kaburi la mfu kule makka na kuhimiza kujitoa mhanga kuwahi mabikra?Shetani wa kibinadamu ni yule anayeweza kuwarubuni watu kuacha kumuabudu Mungu na kuanza kuliabudu sanamu la mzungu lililovishwa nepi.
sio wale wanaoshawishi wenzao wakaabudu kaburi la mfu kule makka na kuhimiza kujitoa mhanga kuwahi mabikra?
nimebugi wapi boko haram wewe! na huo utu uzima wote ulokujaa unakosa busara kuvamia nyuzi za watu na kueneza chuki za kidini...Huna heri kabisa..Na unahitaji hekima muombe mungu akupe!Kafanye homework yako upya. Umebuugi.
aah wapi?Dhambi ni kutotii maangizo ya Mwenyezi Mungu. Maagizo hayo yako kwenye vitabu vitakatifu. Full stop.
Ujue tatizo letu sisi wabongo ni wavivu sana wa kufikiria. Yaani hapo wewe unaona sawa tu mtu kupoteza mudaIshu ya uwepo wa Mungu na pepo au kutokuwepo kwake ngoja libaki kuwa la kibinafsi kwakuwa ni kitu cha kiimani
uwongo huuDhambi ni kufanya kinyume na matakwa ya amri kumi za MUNGU.
nimebugi wapi boko haram wewe! na huo utu uzima wote ulokujaa unakosa busara kuvamia nyuzi za watu na kueneza chuki za kidini...Huna heri kabisa..Na unahitaji hekima muombe mungu akupe!
Hakuna shetani,hakuna Mungu!Shetani wa kibinadamu ni yule anayeweza kuwarubuni watu kuacha kumuabudu Mungu na kuanza kuliabudu sanamu la mzungu lililovishwa nepi.