Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Kama wewe unaamini kuwa kuna malaika walimuasi mungu wakafukuzwa ndiyo mashetani,basi utagundua kwamba baada ya wao kuasi ndipo walipopata hiyo sifa mbaya ya ushetani,hivyo hata binadamu aweza kuwa na sifa ya kishetani. Majini ni viumbe nao kama walivyo binadamu.
Kwahyo ile kauli yakusema kama shetani aliletwa dunia kuja kupooteza ulimwengu kwa wakuwashawishi wanadamu kutenda maovu km vnavyosema vtabu vya dini tuiondoe. Kwasababu vtabu vya dini vnasema baada ya ibilisi kuasi na kufukuzwa mbinguni alimuomba mungu ampe nafac ya kuishi had siku ya mwisho na akaweka ahad yakuwapoteza watu ili awezekupata wafuasi watakao muasi mungu. Sasa ikiwa hvyo ndvyo iweje tena tuseme shetani Wa MTU mi MTU?
 
Kwahyo ile kauli yakusema kama shetani aliletwa dunia kuja kupooteza ulimwengu kwa wakuwashawishi wanadamu kutenda maovu km vnavyosema vtabu vya dini tuiondoe. Kwasababu vtabu vya dini vnasema baada ya ibilisi kuasi na kufukuzwa mbinguni alimuomba mungu ampe nafac ya kuishi had siku ya mwisho na akaweka ahad yakuwapoteza watu ili awezekupata wafuasi watakao muasi mungu. Sasa ikiwa hvyo ndvyo iweje tena tuseme shetani Wa MTU mi MTU?
Hakuna niliposema shetani wa mtu ni mtu.
 
Kwahyo ile kauli yakusema kama shetani aliletwa dunia kuja kupooteza ulimwengu kwa wakuwashawishi wanadamu kutenda maovu km vnavyosema vtabu vya dini tuiondoe. Kwasababu vtabu vya dini vnasema baada ya ibilisi kuasi na kufukuzwa mbinguni alimuomba mungu ampe nafac ya kuishi had siku ya mwisho na akaweka ahad yakuwapoteza watu ili awezekupata wafuasi watakao muasi mungu. Sasa ikiwa hvyo ndvyo iweje tena tuseme shetani Wa MTU mi MTU?
Kwa nini Mungu asituangamize mwenyewe mpaka amtegemee shetani? Si hawana ushirika?
 
Ila nilchojfunza mm n kuwa mambo ya mungu hupimwa na iman na sio akil. Ndo maana ukiwa muumini kuna kipind inabd ulifuate jambo hata kama akil yako inapngana nalo. Ukitumia akili katka mambo yanayohusiana na mungu kuna sehemu utakwama tu

Kwanini swala zito kama la kiimani na mungu kiujumla ukitumia akili unaharibu mantiki?

Je ni sawa kusema watu wenye mungu hawana akili?
 
Kwanini swala zito kama la kiimani na mungu kiujumla ukitumia akili unaharibu mantiki?

Je ni sawa kusema watu wenye mungu hawana akili?
Cjui kama ulshawahi kujua km Akili (uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo) nao unaukomo na ndio maana kuna kitu kinaitwa IQ, IQ ina scale zake na scale zake hizid 200. Kwa maana hyo kuna wakati utafikiria na kutafakari na kuwaza sana lakn hautapata majibu na hapo ndio ukomo akili yako inapofikia mwisho. Ndo maana hapo ulipo unajiuliza kama kuhusu huyu mungu kama yupo kweli kwasababu kuna maswali mengi ukijiuliza na uliulza watu wengine hupati majibu na hakuna atakayekupa jibu sahihi na kila jbu utakalopewa litazaa swali.
 
cc; kiranga
cc; einstein newton
Mkuje hapa maana huwa nawaelewa sana sio siri
 
Unataka kusema hao uliyowataja huwa wanatoa hoja humu ambazo zaweza kubadilisha msimamo wa mtu?
Hata nao ukiwafuatilia huwa wanatoa majibu ambayo nayo msingi wake ni wa kufikirika kuhusu Mungu na mambo yahusuyo Mungu....


Unahitaji kuamini ulichoshikilia.....
 
Hapana linajibika vizuri tu Inategemea una mtazamo gani
Hilo swali linajibika ila anayeuliza tayari anajibu lake ambalo analiamini ndio maana inakuwa vigumu kubadili mtazamo wake,,, kuna mzungu mmoja aliwahi kusema mtu hawezi kujifunza kitu anachohisi anakijua tayari hivyo mshana ni bora u relax tu kwa sababu umeshatoa majibu yanayojieleza kabisa
 
Mkuu hongera kwanza kama kweli umedhamiria kupata majibu.

Pasco wa jf na walimu wengine kadhaa walishawahi sema kuwa when you are ready,teacher will come/appear. Hiyo ni sahihu kabisa kaka,utapata mwalimu kama kweli uko tayari.

Mwalimu mwingine kutoka galilaya alishawahi sema seek and you shall find.

All the best
 
Ni dhahiri asilimia kubwa ya wanaofanya makosa huyahusianisha na kitu kisichoonekana na kinachokinzana na Mungu kiitwacho shetani. Je, shetani kweli yupo? Anaishi mazingira yapi na kwa nini Mungu anashindwa kumdhibiti ili binadamu waishi kwa ustaarabu na kutotenda dhambi kabisa? Je, nani anaweza kuzithibitisha theologies za huyo shetani kiumbo, mtazamo, mnyumbuliko na kiakili bila kuhusianisha imani?

Learning has no boundaries......
swali hili watauliza wapaganitu, lakini kama wewe unamjua Mungu basi hutauliza swali hili, lakini kwa kukusaidia kasome kitabu cha (mwanzo 4:
1-7)
 
swali hili watauliza wapaganitu, lakini kama wewe unamjua Mungu basi hutauliza swali hili, lakini kwa kukusaidia kasome kitabu cha (mwanzo 4:
1-7)
Hapa unataka kunilimit sasa ktk kujifunza. Kwani wanaoamini nje ya dini hawana elimu zaidi ya kujifunza? Je, hakuna majibu nje ya dini?
 
Back
Top Bottom