Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Ishu ya uwepo wa Mungu na pepo au kutokuwepo kwake ngoja libaki kuwa la kibinafsi kwakuwa ni kitu cha kiimani
nimepitia comment zako nyingi kwenye hii thread na nimegundua kuwa unashindwa kuongea ukweli wa kile unachoamini kuwa ni kweli, sababu unaogopa kuleta mjadala wa watu wengi kukupinga na kuanzisha mjadala mpya na watu kukuona wa ajabu
I think you just need to be open so that we can share our ideas na kufungua brain as much as it has to be.
 
ooh unamaanisha kuwa kumbe shetani hayupo mmoja kama tulivoambiwa na vitabu bali wapo wengi?

Kumbe jibu unalo tafsiri ya shetani sivo unavofikiria kiumbe yoyote aliekiuka kuongoka katika njia iliyoonyoka na kufanya maovu yaliyo kidhiri basi huyo ni shetani so hata binaadamu anaeza itwa shetani anapokuwa mfoasi wa mambo yasimpendekeza Mungu ila neno hilo limekuwa common tu kwa majini wakibadilika na kuwa kinyume na wapasavyo kuishi vile anavotaka Mungu basi huitwa shetani.....
 
I beg to differ uwezo wa akili mkuu hauna kikomo tafiti zinasema bongo zetu zinatumika kwa asilimia 10% bado hajatokea mtu alietumia kwa 100% unaweza uka imagine laiti ingetumika 100% tungekua wapi now na saivi its jus 10%....

Tusitoke nje ya mada anyways hilo swali langu linajibikaje nna kiu ya kujua
Hicho unacho kisema knaweza kkawa sawa japo sina uhakika na hcho unachoksema but hebu imagine km uwezo Wa akili (IQ scole ) yako ni 120 alafu ww ukatumia 10% ya 120. Hapo utakuwa umetumia 10% ya120 bt mwisho wako ww utakuwa n 120
 
nimepitia comment zako nyingi kwenye hii thread na nimegundua kuwa unashindwa kuongea ukweli wa kile unachoamini kuwa ni kweli, sababu unaogopa kuleta mjadala wa watu wengi kukupinga na kuanzisha mjadala mpya na watu kukuona wa ajabu
I think you just need to be open so that we can share our ideas na kufungua brain as much as it has to be.
Hapana sio kweli kabisa bado nasisitiza kuwa ishu ya uwepo wa Mungu au kinyume chake ni ishu ya kiimani na itabaki kuwa kitu cha binafsi...huu mjadala si wa leo una miaka na miaka hauishi na hautakaa uishe
 
Shetani, majini, mapepo, mizimu, pepo wachafu, Belzebuli, maruhani, subiani, makata, vibwengo, popobawa........????????
 
tobba.!!!!, hebu tema mate chini haraka.
Mate ya nn mkuu. Mnadanganywa Sema ni ngumu kuelewa kwakua ubongo wako imelishwa hayo mambo tangu unazaliwa. Yaani nyie hamna tofauti na wazee wetu waliofanywa watumwa. Nyie utumwa wenu ni tamaduni
 
Mate ya nn mkuu. Mnadanganywa Sema ni ngumu kuelewa kwakua ubongo wako imelishwa hayo mambo tangu unazaliwa. Yaani nyie hamna tofauti na wazee wetu waliofanywa watumwa. Nyie utumwa wenu ni tamaduni
Tatzo ni kwamba how sure are u, kwamba huyo alowafungua brain au hzo source zipo right? ni kingine ni kwamba inatakiwa mfaham kuwa kama nitakataka(accodng to you) tulimelishwa tangu maelfu ya miaka yaliopita, tena kwa ustadi mkubwa sana na maarifa ya ajabu.

then kwa nin nyie mnataka kutumia vinjia virahisi sana kutufungua tena njia zisizo na mashiko compared to those used in side B, fun enough hamna evidence, and where were you all those passed years kabla hatujadata zaid?
 
Any organism mwenye free will ana uwezo wa kuasi au kukubali...

Shetani pia alikuwa na roho yenye free will

Na binadamu ana free will

Wote wanafree will. Wote tuna uwezo wa kuasi... Shetani ni agents tu kwa vile alipewa uwezo huo.
 
Kama ni mpango wa mungu basi huyo shetani anafanya kazi kwa kufuata order za mungu. Hebu jiulize, kwanini anasema atawaadhibu watu pamoja na shetani wakati yeye ndo mtoa order na shetani anatekeleza
mungu = Mungu
 
shetani ni roho na moja ya sehemu anayoishi ni chooni,Jalalani etc NB: nimesoma gugo
 
Ishu ya uwepo wa Mungu na pepo au kutokuwepo kwake ngoja libaki kuwa la kibinafsi kwakuwa ni kitu cha kiimani
Mshana utaniudhi sasa, nimesoma post zako humu unajaribu kuwa neutral sana, why?
What do you think is the truth?, is there a God?
 
Nilifundishwa kuwa Mungu Mungu alimuumba binadamu ili amjue ampende na amtumikie. Na uwezo wa kumfanya binadamu afanye hayo. Ajabu ni kuwa eti kamruhusu shetani ili atufanye tumkasirishe Mungu na halafu ametuandalia moto viumbe aliotuumba kwa mfano wake. hii adhabu ni kubwa maana angeweza kutugeuza nyani kama nduguze na Adili. Mimi naona mambo haya ni tata kwani haijulikani shetani ni matter au ni roho. siwezi kusema yupo au laa ila naamini Mungu hataniunguza kwa moto!
 
Mungu tunampa sifa kubwa ya pendo na hapohapo tunampa sifa mbaya ya ukatili ambayo hata binadamu hawezi kuwa nayo. hii sifa ya Mungu kumchoma moto kiumbe aliyemuumba kwa mfano wake milele hata asimhurumie. Siamini hata
 
Mshana utaniudhi sasa, nimesoma post zako humu unajaribu kuwa neutral sana, why?
What do you think is the truth?, is there a God?
Mimi binafsi naamini uwepo wa Mungu na mamlaka yake...nimejiridhisha kuwa yupo
 
Tofauti ya wanaume kwa muktadha gani?
I meant mfano kwa nini wanaume walioumbwa kuwa wanaume watifautiane kiakili. Kwa nini capacity yao kushinda temptation za huyi so called satan zitofautiane?
 
Back
Top Bottom