Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

I meant mfano kwa nini wanaume walioumbwa kuwa wanaume watifautiane kiakili. Kwa nini capacity yao kushinda temptation za huyi so called satan zitofautiane?
OK OK hii Kumbe ni Kwa muktadha wa IQ nipe muda niiandalie mada kamili
 
Je wajuwa shetani ni mfalme wa ulimwengu?
 


Huyo kwa avatar yako ndio shetani mwenyewe,, usingejieleza, ungemwambia jamaa aone avatar yko tufunge mjadala
 
Mkuu, we unaamini uwepo wa Majini, Uchawi, au Nguvu za kishirikina zinazotumiwa na baadhi ya waganga wa kienyeji?
 
Hapa duniani hamna cha shetani wala nini na ukuiona mtu kila kitu anamsingizia shetani ujue huyo ni bingwa wa kukwepa majukumu.
 
Mkuu we unashangaa leo? Mwenzio nilishashangaa nikazoea. Na wewe utazoea tu kama utakuwa unatembelea humu JF. Dunia hii acha tu!!!!

Hatari sanaaa!!!! Mdogo mdogo tutafika tu... Thank 4 ur quote
 
Shetan yupo kati yetu, kazi yake kubwa ya kwanza ni kutambua mawazo ya binadam anawaza au anataka kufanya nini, kama unawaza kutenda mema basi hapo atafanya linalowezakana kuvuruga mawazo yako mema, tukumbuke kuwa shetani ni malaika walioasi mbinguni, wakafukuzwa huko, kwa hiyo wana uwezo mkubwa kiakili na nguvu kuliko binadamu na bila msaada wa Mungu hatuwezi kushindana nao, matendo yote maovu yanatambulisha uwepo wa shetan. Shetan tunaishi naye majumbani mwetu, kazini, kwenye starehe, usiku na mchana yupo kati yetu akisababisha majanga mbalimbali kwa wanadam. Mashetani wamegawana kazi, wengine wapo kati yetu na wengine wapo huko msituni, miliman, baharini na kwengineko, kama mashetan wote wangeishi milimani, mtoni au baharini maovu yangekuwa machache sana katika jamii zetu. Tukumbuke kuwa tumejaliwa akili ya kutambua mema na mabaya pia shetan ni kama mmbwa aliyefungwa kamba kwenye mti hawezi kudhuru mpaka binadam ajipitishe karibu yake nikimaanisha kukubali kushawishiwa na kutenda dhambi.
 
Shetani yupo,na anaishi kwa mtu mwenyewe,,kwa upana zaidi,shetani ni ile hali ya mtu kufanya jambo kinyume na Mungu anavoagiza,au kinyume na jamii inavoona, ni kama kinyume cha mambo mema,kwangu Mimi shetan nafikiri sio kiumbe ila ni mawazo tofauti na mawazo mema ambayo humjia mtu
 
Hata uwepo wako ni mpango wa mungu! Na unafuata order bila hata kujua! Sema. Mabaya tunampa shetan wakati mengineyo ni maelekezo toka kwa mungu
 
Kinachotuumiza sana sisi ni kuamini kila tunachoambiwa bila kujua lengo la yule anayetuambia kuwa ni nini. Ukitumia muda mwingi kutafakari juu ya hili suala la uwepo wa mungu, hakika utapata majibu. Tatizo letu tulio wengi tunaogopa kwenda in deep
Et, uwepo wa mwanadamu ni Ku fail kwa mungu au?! Ukinijibu ntakutoa to go machon
 
Et, uwepo wa mwanadamu ni Ku fail kwa mungu au?! Ukinijibu ntakutoa to go machon
Hakuna kitu kinaitwa mungu. Ni mpango wa watu waliutengeneza ili wapate fursa ya kukutawala kiutamaduni. Ndio maana nasema kuamini uwepo wa mungu kwa watu wa sasa ni uvivu wa kufikiri. Tatizo lenu mnaamini msaada kuliko kujitegemea
 
Hakuna kitu kinaitwa mungu. Ni mpango wa watu waliutengeneza ili wapate fursa ya kukutawala kiutamaduni. Ndio maana nasema kuamini uwepo wa mungu kwa watu wa sasa ni uvivu wa kufikiri. Tatizo lenu mnaamini msaada kuliko kujitegemea
Wewe ulitokana na nini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…