klins
JF-Expert Member
- Feb 8, 2012
- 602
- 207
Mchango wangu ni huu kwa leo kwa Emmanuel Eni, history yake ya Uchawi...
Delivered from the powers of Darkness
Delivered from the powers of Darkness
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK OK hii Kumbe ni Kwa muktadha wa IQ nipe muda niiandalie mada kamiliI meant mfano kwa nini wanaume walioumbwa kuwa wanaume watifautiane kiakili. Kwa nini capacity yao kushinda temptation za huyi so called satan zitofautiane?
Je wajuwa shetani ni mfalme wa ulimwengu?shetani anaumbo na anaakili kama wewe na anakaa katika watu kama hauna Mungu basi ujue unashetani ndani yako! anakaaje mtafute Mungu atakuonyesha shetani anakaaje ndani ya binadamu! huyo shetani makao yao ya kukutania au makao makuu ni kuzimu lakini makao ya kufanyia kazi ni duniani!
Mkuu nimesoma icho kitabu chote. Kwa hakika, Mungu ni mkubwa.Mchango wangu ni huu kwa leo kwa Emmanuel Eni, history yake ya Uchawi...
Delivered from the powers of Darkness
Mkuu we unashangaa leo? Mwenzio nilishashangaa nikazoea. Na wewe utazoea tu kama utakuwa unatembelea humu JF. Dunia hii acha tu!!!!Daah Uko serious au!!!?
Ndio shetani wapo wanaishi hapahapa duniani wanapatikana milimani, kwenye magofu, sehemu za majalala na kwengineko ndio ameachwa Mungu km nimtihan kwa binaadamu.
Kudhibitisha bila vitabu vya dini ni ngumu kwa sababu ndo kwenye evidence tosha.
Kinyume na hapo utadanganywa karibu simba wanga, Tanga , kilwa migodini na pemba utapata jibu kwa kuwahisi, kuwaona na maskan zao utaskia njia flan usipite ikifika jion.
Mkuu, we unaamini uwepo wa Majini, Uchawi, au Nguvu za kishirikina zinazotumiwa na baadhi ya waganga wa kienyeji?Kikubwa tunachokitaka sisi ni kuokoa muda wa vizazi vyetu. Hakuna kitu kinapoteza wakati na kufanya watu masikini kama kuamini kuna kitu kinaitwa mungu. Walio masikini wengi wanaamini maisha mazuri watakuja kuishi mbinguni. Na wanaaminishwa kuwa maisha ya duniani hayana thamani. Hiki ndo kitu ambacho mm sikupendi. Lazima tuwaambie ukweli watu wetu ili tuwe na vizazi vyenye kujielewa
Me nlijua anataniaDaah Uko serious au!!!?
Mkuu we unashangaa leo? Mwenzio nilishashangaa nikazoea. Na wewe utazoea tu kama utakuwa unatembelea humu JF. Dunia hii acha tu!!!!
Asante, nimesoma kitabu yote,kumbe shetani ni complexMchango wangu ni huu kwa leo kwa Emmanuel Eni, history yake ya Uchawi...
Delivered from the powers of Darkness
Ahsnt mkuuMkuu nimesoma icho kitabu chote. Kwa hakika, Mungu ni mkubwa.
Shukran jazeelanAsante, nimesoma kitabu yote,kumbe shetani ni complex
Hata uwepo wako ni mpango wa mungu! Na unafuata order bila hata kujua! Sema. Mabaya tunampa shetan wakati mengineyo ni maelekezo toka kwa munguHata nikirejea kwote huko, bado swali litajirudi kuhusu uwepo wa shetani. Maana shetani ndo alimlaghai hawa. Maana yake ni kwamba shetani alifuata order ya mungu kutokana na jibu lako kuwa uwepo wa shetani ni mpango wake. Kwahiyo uovu wote alionao shetani sio wakwake kwakua yeye ni mfuata order tu zinazotolewa na mungu
Et, uwepo wa mwanadamu ni Ku fail kwa mungu au?! Ukinijibu ntakutoa to go machonKinachotuumiza sana sisi ni kuamini kila tunachoambiwa bila kujua lengo la yule anayetuambia kuwa ni nini. Ukitumia muda mwingi kutafakari juu ya hili suala la uwepo wa mungu, hakika utapata majibu. Tatizo letu tulio wengi tunaogopa kwenda in deep
Hakuna kitu kinaitwa mungu. Ni mpango wa watu waliutengeneza ili wapate fursa ya kukutawala kiutamaduni. Ndio maana nasema kuamini uwepo wa mungu kwa watu wa sasa ni uvivu wa kufikiri. Tatizo lenu mnaamini msaada kuliko kujitegemeaEt, uwepo wa mwanadamu ni Ku fail kwa mungu au?! Ukinijibu ntakutoa to go machon
Wewe ulitokana na nini?!Hakuna kitu kinaitwa mungu. Ni mpango wa watu waliutengeneza ili wapate fursa ya kukutawala kiutamaduni. Ndio maana nasema kuamini uwepo wa mungu kwa watu wa sasa ni uvivu wa kufikiri. Tatizo lenu mnaamini msaada kuliko kujitegemea