Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili swali mbona kama halinihusu sijazungumzia maswala ya bibilia mmUpagani ndio nini sasa, hivi unajua hata wahindu na wabudha au wale wanaoabudu Dragon China wanakuona wewe unayetumia Bible ni mpagani? Jibu swali, usiogope
Ndio shetani wapo wanaishi hapahapa duniani wanapatikana milimani, kwenye magofu, sehemu za majalala na kwengineko ndio ameachwa Mungu km nimtihan kwa binaadamu.
Kudhibitisha bila vitabu vya dini ni ngumu kwa sababu ndo kwenye evidence tosha.
Kinyume na hapo utadanganywa karibu simba wanga, Tanga , kilwa migodini na pemba utapata jibu kwa kuwahisi, kuwaona na maskan zao utaskia njia flan usipite ikifika jion.
Mkuu kwanza hapo kwenye swali lako tu kuna makosa, kitendo tu cha kusema KUFELI KWA MUNGU, tayar ni kosa.... Kwa kuwa mungu hakuwahi KUFELI wala kushindwa.Ndio maana nikauliza. Je, uwepo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu?
Ndo ujibu hilo swali. Uwepo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu? Nahitaji majibu. Ili kupima uwezo wa mtu wa kufikiria lazima maswali yawepoMkuu kwanza hapo kwenye swali lako tu kuna makosa, kitendo tu cha kusema KUFELI KWA MUNGU, tayar ni kosa.... Kwa kuwa mungu hakuwahi KUFELI wala kushindwa.
Naomba nijibu kwa kadri ninavyo elewa mimi, shetan ni malaika walio hasi kwa Mungu, before walikuwa malaika wema tu wakifanya kazi tofauti kulingana na division za kaz na uwezo wao huko kwa Mungu, but baada ya kuhasi kiongoz wao Lucifer, Mungu aka waalani na kuwa tupa duniani na hata hilo ziwa la moto wali andaliwa wao..... Km haitosh nao wakasema hatuto kwenda pekeetu bali tutawatafuta wafuasi wa kwenda nao huko...Ndo ujibu hilo swali. Uwepo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu? Nahitaji majibu. Ili kupima uwezo wa mtu wa kufikiria lazima maswali yawepo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] yeah mshana jr yupo vzurMshana huwa nakukubali sana ukiwa kwenye uwanja wako wa kujidai kama huu
Kwa kuongezea kila kitu huko ni ROHO tu hakuna mwili wa nyama, Kila kitu kina tenda kazi ktk uli mwengu wa rohoHuko mbinguni hakuna chochote physical form iliyo solid kama huku duniani
Kwa nini Mungu hakuwazuia mashetani kuwarubuni watu wake?Naomba nijibu kwa kadri ninavyo elewa mimi, shetan ni malaika walio hasi kwa Mungu, before walikuwa malaika wema tu wakifanya kazi tofauti kulingana na division za kaz na uwezo wao huko kwa Mungu, but baada ya kuhasi kiongoz wao Lucifer, Mungu aka waalani na kuwa tupa duniani na hata hilo ziwa la moto wali andaliwa wao..... Km haitosh nao wakasema hatuto kwenda pekeetu bali tutawatafuta wafuasi wa kwenda nao huko...
Cjui kama ulshawahi kujua km Akili (uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo) nao unaukomo na ndio maana kuna kitu kinaitwa IQ, IQ ina scale zake na scale zake hizid 200. Kwa maana hyo kuna wakati utafikiria na kutafakari na kuwaza sana lakn hautapata majibu na hapo ndio ukomo akili yako inapofikia mwisho. Ndo maana hapo ulipo unajiuliza kama kuhusu huyu mungu kama yupo kweli kwasababu kuna maswali mengi ukijiuliza na uliulza watu wengine hupati majibu na hakuna atakayekupa jibu sahihi na kila jbu utakalopewa litazaa swali.
Shetani ni mhusika feki katika vitabu vya kaleNi dhahiri asilimia kubwa ya wanaofanya makosa huyahusianisha na kitu kisichoonekana na kinachokinzana na Mungu kiitwacho shetani. Je, shetani kweli yupo? Anaishi mazingira yapi na kwa nini Mungu anashindwa kumdhibiti ili binadamu waishi kwa ustaarabu na kutotenda dhambi kabisa? Je, nani anaweza kuzithibitisha theologies za huyo shetani kiumbo, mtazamo, mnyumbuliko na kiakili bila kuhusianisha imani?
Learning has no boundaries......
ooh unamaanisha kuwa kumbe shetani hayupo mmoja kama tulivoambiwa na vitabu bali wapo wengi?Ndio shetani wapo wanaishi hapahapa duniani wanapatikana milimani, kwenye magofu, sehemu za majalala na kwengineko ndio ameachwa Mungu km nimtihan kwa binaadamu.
Kudhibitisha bila vitabu vya dini ni ngumu kwa sababu ndo kwenye evidence tosha.
Kinyume na hapo utadanganywa karibu simba wanga, Tanga , kilwa migodini na pemba utapata jibu kwa kuwahisi, kuwaona na maskan zao utaskia njia flan usipite ikifika jion.
tobba.!!!!, hebu tema mate chini haraka.Mshana tuache uongo. Hilo swali halijibiki. Hapo ndipo unapokuja kutambua kuwa hakuna kitu kinaitwa mungu