Ushawahi kunywa na ukapata shida yeyote?Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
Katika vyakula visivyo na hadhi lakini ninavipenda sana ni miguu ya kuku broiller mkuu.Hivi haya makongoro na mikia si tunakula na ngozi pia?
Kuna wanaokula utumbo wa nguruwe, na wa kuku broiler,
Mjini hakitupwi kitu, pia tumbo halioneshi umekula nini, aliekula biriani na aliekula magimbi hawezi kuwatambua
Ngoja nikujibu ni zile pombe wanaita mataputapu mfano ngongo,mabanana na zile za Bei rahisi rahisiMkuu,
Kwa faida ya wengi pombe chafu Ni zipi
Nauliza kwa uzuri TU
Sawa mkuu,Ngoja nikujibu ni zile pombe wanaita mataputapu mfano ngongo,mabanana na zile za Bei rahisi rahisi
Mkuu,Dasilamu watu wanakula kitu chochote tu ilimradi wasife, wengi wao ni waya mkali sema ubishi tu...... iko shida.
Hii Kama chair 🔥
Hapana mkuu mbege itoe huko kabisaSawa mkuu,
nimeelewa Mimi nikajua local beer 🍻 zoote ie. Serengeti,balimi, pombekali cooker,smartgine,kisungura e.t.c
Ndo maana nimesema wengi wao, kwenye misosi ni wanakula kila kitu.Mkuu,
Bare in mind dar es salam Ni haeven na pia Ni Hell kwa baadhi ya watu so be positive
Yes mbege Ni NZURII Sanaa 😊 Kuna kipindi CHIBUKU niliwaigi kunywagaHapana mkuu mbege itoe huko kabisa
Pundamilia mkuu watamkamuaje anavyorusha mateke, hahaaa,naskia hadi maziwa yanayouzwa eneo lile ni haram yani ya pundamilia
Mbege ni nzuri ukinywa kiaskari!!Yes mbege Ni NZURII Sanaa 😊 Kuna kipindi CHIBUKU niliwaigi kunywaga