Je, Taasisi za Serikali hazina watumishi wenye Sifa hadi Wakurugenzi Wakuu Wateuliwe toka Nje ya Mfumo?

Je, Taasisi za Serikali hazina watumishi wenye Sifa hadi Wakurugenzi Wakuu Wateuliwe toka Nje ya Mfumo?

MIMI NASHAURI BADALA YA KUTEUA NAFASI HIZO ZITANGAZWE WATU WENYE SIFA WATAOMBA MCHUJO UTAFANYIKA ATAKAE KUWA NA VIGEZO NDIO ATEULIWE
Hii point
Raisi apelekewe majina matatu ateue mojawapo

Ila kama hatatokea yeyote ndio ateue
 
MIMI NASHAURI BADALA YA KUTEUA NAFASI HIZO ZITANGAZWE WATU WENYE SIFA WATAOMBA MCHUJO UTAFANYIKA ATAKAE KUWA NA VIGEZO NDIO ATEULIWE
Nadhani pia kuna baadhi ya post tusiogope hata kuwatafuta kimataifa wazoefu

Mfano Tanroads Raia wa Ghana ndie alikuja kuisuka na kuiweka hivyo ilivyo akiwa mkurugenzi mtendaji

Kama skill hazipo tuagize nje lengo nchi isonge mbele
 
Kunahirajika mawazo Mapya na uzoefu mpya

Serikalini wengi kelele tu utasikia toka Miaka hiyo toka enzi za Nyerere tunafanya hivi hivi utaniambia nini

Mfano mzuri ni kitengo cha Passport toka kianzisge enzo Nyerere kuipata lazima ulete barua sijui ya mwaliko 'uthibitisho wa safari nk
Hawajui kuwa Passport inatakiwa hata kufanya mitaani ya nje online na kuombea scholarship nk online

Kuwaambia badilikeni hawasikii ohh kijana utatuambia mini mimi mwaka wa 30 huu anafanya hivi hivi Sehemu kama hizo kuweka mtu wa ndani hapo hapo ni majengo

Uelewa wa private sekta maeneo mengi mkubwa kuliko walioko serikalini

Ofisa biashara wa Serikali unakuta kafanya kazi Miaka 20 kazi yake kusaini leseni za biashara huwezi linganisha na mfanyabiashara aliyeko private sekta.Ukiteua Waziri au katibu mkuu wizara ya biashara kutoka private sekta unakuwa umefanya la maana kuliko kuteua huyo mtia sahihi kwenye leseni kushika hivyo vyeo hajui kitu hata ukimpa ubalozi sijui iwatafute wawekezaji anaanzia wapi kichwani kweupe.Yuko so narrow kichwani

Mabalozi tulionao wengi kichwani kweupe kutarajia sijui watasaidia diplomasia ya uchumi na biashara ni uongo

Teuzi Serikali iangalie na private sekta kuna watu wanajua mavitu hasa kuwazidi hao akina uzoefu Miaka kibao Serikali au taasisi za umma

Ku inject new things vizuri pia kuchukua private sector

Mfano humu tumepiga kelele PayPal iruhusiwe kwa watanzania kupokea pesa serikalini huko hakuna hata mtu anaelewa PayPal ni nini hata huko wizara ya fedha na biashara.Kwa hali hiyo bila kuchukua private sector hatufiki mbali
umeongea points tupu
 
Kuwa CEO sio mchezo jamani. Huku utumishi wa umma tunajuana. Viongozi wetu ni watupu mno na hawana exposure.
Hawajui hata kutumia techniques zaidi ya moja ili kuzifikia targets. Wanafanya mambo kwa mazoea, style zilezile za kizamani. Ukileta jambo jipya unatimuliwa kama nini sijui.
Bora haohao wa private sector wameshaongoza taasisi mbalimbali za kimataifa, zenye targets mahsusi, zinazojali uwajibikaji na delivery sio blaablaa. Hao ndio wanafaa kuongoza haya mataasisi makubwa ya serikali.

Ingekuwa wakuu wa idara za serikali wanafanya vyema kwa kiwango cha kustahili kuwa maCEO au Watendaji wakuu basi tungeona tu kwa kupata huduma nzuri za serikali kupitia vitengo na taasisi zao lakini mpaka leo taasisi nyingi zinatoa huduma mbovumbovu. Sasa hapohapo ndio umchukue mmoja wao eti akawe CEO hakuna jipya atafanya zaidi ya kuloga walio chini wasipande na kumfikia.


Katika hili mama anaupiga mwingi sana kuleta new minded person kwenye seekta ya umma.
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
Networking with payback
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
1. Connection
2. CCM
3. Kujipendekeza.
4. Kamlete.
Unakumbuka yule dogo wa degree moja akapewa ukurugenzi TPDC na akatumbuliwa kabla ya kuapishwa? Wakati kuna watu CV zao wanajaza page 20 Ila wako pale mlimani wanakula vumbi.
Vyeo hivi watu wanapeana wakiwa bar sinza Zuhura Yunus anachapisha tu
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
1. Connection
2. CCM
3. Kujipendekeza.
4. Kamlete.
Unakumbuka yule dogo wa degree moja akapewa ukurugenzi TPDC na akatumbuliwa kabla ya kuapishwa? Wakati kuna watu CV zao wanajaza page 20 Ila wako pale mlimani wanakula vumbi.
Vyeo hivi watu wanapeana wakiwa bar sinza Zuhura Yunus anachapisha tu
 
Hapo umenena!! Sitaki kuwasifia watu au kuwasema vibaya, mheshimiwa Lowassa alishaliona Hilo la loop Holes na alishawahi kupiga marufuku ujenzi WA hizi barabara za Vumbi!! Alishauri watu wajenge Lami nzuri kulingana na budget!! Kama una budget ya km 2 Bora ujenge hapo kuliko km 10 ambazo ni Vumbi na hazidumu hata miezi SITA!!
Mavumbi yabakie Vijijini kuhakikisha passability tuu ila isiwe focus ya Taasisi..

Pili barabara ambazo ni zaidi ya 40 km zichukuliwe na Tanroads
 
Hivi sasa pasipoti ni kama anasa.
Sisi tulio huku mikoani na mbali na mkoa ni changamoto sana.
Nilipokuwa nashughulikia yangu niliambiwa hivyo hivyo kuwa wanahitaji barua ya mwaliko.
Hivi Dunia ya sasa bado watu wanaalikana kwa barua?
Hivi ndugu yangu aliyeko nje ya nchi akiugua ghafla nami nikahitajika kwenda kumuuguza, kumuongezea damu nk itakuwaje? Pasi itapatikana kwa dharula?
Hivi nikitaka kwenda kutalii nani atanipa barua ya mwaliko?

Ofisi ya PSSSF wanakwama wapi kufungua ofisi wilayani [kama NSSF] wakati ndiko waliko maelfu ya wateja wao?
Wakati umefika huduma na uhakiki ufanyike wilayani badala ya mkoani.
Kuna wastaafu walemavu au wagonjwa ambao kusafiri ni lazima wawe na gari MAALUM [binafsi] kwa kuwa hawezi kutembea.
Hawa wanatumia gharama kubwa ambapo hawana pesa.
Vile vile wanalazimika kugharamia watu wawili au zaidi wanaowasindikiza. Ongeza chakula na malazi.
Akili zetu zimeganda na uwezo wetu hafifu. NI WAOGA MNO WA MABADILIKO HATA MARAIS NI WAOGA WA KATIBA MPYA.
 
Ingekuwa wakuu wa idara za serikali wanafanya vyema kwa kiwango cha kustahili kuwa maCEO au Watendaji wakuu basi tungeona tu kwa kupata huduma nzuri za serikali kupitia vitengo na taasisi zao lakini mpaka leo taasisi nyingi zinatoa huduma mbovumbovu. Sasa hapohapo ndio umchukue mmoja wao eti akawe CEO hakuna jipya atafanya zaidi ya kuloga walio chini wasipande na kumfikia.
Tatizo wanataka mivyeo tu lakini utatuzi wa changamoto za watafuta huduma kwa spidi na uzuri na customer care zero kabisa

Ubunifu na kwenda na wakati sifuri

Kuna wakuu wa idara ukimpa hata komputa achape sentence moja hawezi anadonoa keyboard kama kuku anayetafuta punje ingine ya kudonoa iko wapi.o

Utasikia as kuchapa sio kazi yangu ya secretary tumekuwa tukifanya hivyo toka enzi za Nyerere bosi hachapi chochote!!!! Kijana wewe.Wana vichwa vigumu mno kubadilika wanadhani dunia imesimama iko kule kule walikoanzia Miaka hiyo.kazi
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
Hivi vyeo ni ajili ya shukrani kwa makada watiifu ndiyo maana hakuna ufanisi wowote
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
wanapeana ulaji huwajui ccm ww?
 
Wengi hamko exposed na modern organization world, hamna extra mile mko too authoritative kuliko ile expected sense of delivery, hamna ownership na hamna uwezo wa kutengeneza stratergies ambazo zinazaa matunda ya papo kwa hapo. Hongera sana Mh. Rais na team yako kwa kuliona hili vizuri. Nchi yetu itasonga mbele sasa.
 
Inawezekana kabisa akakosekana

Nitakupa mfano Serikalini mtu hufaninyi kazi zote Unapewa kakipande kadogo tu.Mfano idara ya Bohari wako 200 nchi nzima kazi zao Bohari tu kufanya kazi Miaka 20 Bohari tu

Idara ingine uhasibu wako 100 kazi yao uhasibu tu Miaka 20

Idara nyi ingine manunuzi wako 100 kazi yao kununua tu uzoefu miaka 20

Private sector unakaa sehemu unapita kazi zote mwenyewe Inakupa uzoefu mkubwa tena mno kwenye level ya management.Serikalini.mgawanyo wa kazi uko shallow sana hampi.mtu uwezo na uzoefu overall wa ki Management kwa high lev


Kiongozi wa juu anatakiwa mwenye combination nyingi kwa mpigo key arrears zinazosumbua eneo husika

Pili. Mtu aweza toka nje kusaidia kutafuta changamoto sugu ambayo watu wa ndani hata wawe maelfu wameshindwa kuitatua pamoja na kupigwa kelele mno

Mfano Tanesco ilikuwa ina matatizo makubwa kifedha na huduma kwa wateja hazina kila siku ilikuwa kupeleka tu pesa Tanesco ruzuku Serikali ikamchukua mchumi toka private sekta Dr Idris Rashid akaenda atajisaidia shirika sana eneo la utendaji na ukusanyaji mapato .Tanesco walivyokuwa wenyewe na hao maelfu ya wafanyakazi wao wenye uzoefu Miaka kibao' umeme ulikuwa ukiomba unaupata baada ya miaka mitatu kupita na kwenda kulipia iwe billi ya umeme ilikuwa unatenga siku nzima kwenda kupanga foleni kulipia na mbili yenyewe ya kutambambikiwa na inakuja imechelewa kufungiwa umeme ukiomba ukibahatika unafungiwa baada ya Miaka mitatu.na hauingii.utapigwa porojo kuwa mita chache hadi uhonge nk

DR Idris ndiye alibadili utendaji kazi na kuleta Luku

Hao wa ndani uwezo wa kufikiri ulishafikia ukomo.wakawa tu wafanyaji kazi wa business as usual hamna jipya!!

Mkuu YEHODAYA Umeongea Vema Sana…
Ila Kuna Mahali naomba Ufafanuzi,
Mfano Umesema Mhasibu amekaa Miaka 10Uhasibu sasa unamuhamishia Wapi ili apate Skills Zingine? Huko si watasema Hajasomea Kazi Ile?Say Umemuhamishia Ugavi au HR?

AU Mhandisi amefanya Uhandisi Kama Mkuu wa Idara for 10yrs,Then Unamuhamishia Say Ugavi au Masoko …

Sasa huko Si watasema Hajasomea mambo hayo na Kuanza Ku mu undermine? Kuwa wameletewa Mkuu wa Idara Mhandisi lakini Sio Mtu wa Masoko?
Pia Kumbuka Kuna Scheme of service…Muundo katika Ukuaji ambao Ndio unaeleza Mkuu wa Idara Flani awe na Sifa Zipi…Hili lipo sana Serikalini.
Nini Mawazo yako?
 
Kunahirajika mawazo Mapya na uzoefu mpya

Serikalini wengi kelele tu utasikia toka Miaka hiyo toka enzi za Nyerere tunafanya hivi hivi utaniambia nini

Mfano mzuri ni kitengo cha Passport toka kianzisge enzo Nyerere kuipata lazima ulete barua sijui ya mwaliko 'uthibitisho wa safari nk
Hawajui kuwa Passport inatakiwa hata kufanya mitaani ya nje online na kuombea scholarship nk online

Kuwaambia badilikeni hawasikii ohh kijana utatuambia mini mimi mwaka wa 30 huu anafanya hivi hivi Sehemu kama hizo kuweka mtu wa ndani hapo hapo ni majengo

Uelewa wa private sekta maeneo mengi mkubwa kuliko walioko serikalini

Ofisa biashara wa Serikali unakuta kafanya kazi Miaka 20 kazi yake kusaini leseni za biashara huwezi linganisha na mfanyabiashara aliyeko private sekta.Ukiteua Waziri au katibu mkuu wizara ya biashara kutoka private sekta unakuwa umefanya la maana kuliko kuteua huyo mtia sahihi kwenye leseni kushika hivyo vyeo hajui kitu hata ukimpa ubalozi sijui iwatafute wawekezaji anaanzia wapi kichwani kweupe.Yuko so narrow kichwani

Mabalozi tulionao wengi kichwani kweupe kutarajia sijui watasaidia diplomasia ya uchumi na biashara ni uongo

Teuzi Serikali iangalie na private sekta kuna watu wanajua mavitu hasa kuwazidi hao akina uzoefu Miaka kibao Serikali au taasisi za umma

Ku inject new things vizuri pia kuchukua private sector

Mfano humu tumepiga kelele PayPal iruhusiwe kwa watanzania kupokea pesa serikalini huko hakuna hata mtu anaelewa PayPal ni nini hata huko wizara ya fedha na biashara.Kwa hali hiyo bila kuchukua private sector hatufiki mbali
Ni kweli kabisa Mkuu.
Sekta binafsi kuna watu makini na wenye weledi usio na shaka.
Hats hivyo kazi/Ajira/teuzi za Serikalini ni za Wananchi wote.
 
Mkuu YEHODAYA Umeongea Vema Sana…
Ila Kuna Mahali naomba Ufafanuzi,
Mfano Umesema Mhasibu amekaa Miaka 10Uhasibu sasa unamuhamishia Wapi ili apate Skills Zingine? Huko si watasema Hajasomea Kazi Ile?Say Umemuhamishia Ugavi au HR?

AU Mhandisi amefanya Uhandisi Kama Mkuu wa Idara for 10yrs,Then Unamuhamishia Say Ugavi au Masoko …

Sasa huko Si watasema Hajasomea mambo hayo na Kuanza Ku mu undermine? Kuwa wameletewa Mkuu wa Idara Mhandisi lakini Sio Mtu wa Masoko?
Pia Kumbuka Kuna Scheme of service…Muundo katika Ukuaji ambao Ndio unaeleza Mkuu wa Idara Flani awe na Sifa Zipi…Hili lipo sana Serikalini.
Nini Mawazo yako?
Kifupi kuvunja hiyo vicious circle yenye too much specialization ya Serikali acha kazi join private sector ujenge uwezo utashangaa

Ukienda ukipewa idara yeyote waweza imudu barabara sema private sector areas kubwa zinazofanya watu wawe competent wanajikita kwenye customer care,kuongeza masoko,kuongeza mapato ya taasisi na kujenga image nzuri ya taasisi ndani na nje ,kasi ya utendaji kazi na ubunifu

Wafanyakazi Serikalini wanachoangalia ni mishahara tu inayoingia mwisho wa mwezi hayo mengine yote hawajali.Mfano mkandarasi waweza kuwa kila kitu kiko vizuri unapeleka invoice kwa mhasibu malipo atalipa siku akijisikia hajali kuwa mkataba una penalty malipo yakichelewa no.Sekta binafsi wote mnafanya kazi kama team kuhakikisha vyote hivyo vinatimia

Ndio maana mtu akitoka private Sekta aweza kuendesha taasisi ya umma vizuri kuliko wa ndani mfano ni National Housing ,TBC,CRDB,Tanesco no hata kama hakusomea kinachofanywa na hiyo taasisi ! Hata iwe ya umeme ukapeleka HR

Ukishakuwa private ukaenda serikalini utashangaza watu utendaji wako

Kukaa sana kazi serikalini kunadumaza akili unakuwa mweupe kichwani

Mfano unaenda afisa Madini kazi yake kusaini leseni tu za Madini ana Miaka 20 kitengo cha leseni hapo hakuna mtaalamu wa Madini.Elimu yote inakufa!!
 
Wengi hamko exposed na modern organization world, hamna extra mile mko too authoritative kuliko ile expected sense of delivery, hamna ownership na hamna uwezo wa kutengeneza stratergies ambazo zinazaa matunda ya papo kwa hapo. Hongera sana Mh. Rais na team yako kwa kuliona hili vizuri. Nchi yetu itasonga mbele sasa.
Uko sahihi mtu akitoka private sector ni fast learner kwanza itachukua siku maximum tatu tu kujua taasisi kuna shida gani kwa sababu anakuwa na KPI yaani key performance indicators za taasisi kama hiyo bila hata kumpa atakuwa nazo akipitia kimoja baada ya kingine atajua shida iko wapi na kuweka modern strategy za how to turn around the situation.

Serikalini Unapiga simu tu ofisini haipokelewi nusu saa ukiuliza nilikuwa nakunywa chai!! Samahani !!! Aisee bull shitt!! Yaani hapo anajiona ndie kiboko kwenye customer care.
 
Back
Top Bottom