Mkuu
YEHODAYA Umeongea Vema Sana…
Ila Kuna Mahali naomba Ufafanuzi,
Mfano Umesema Mhasibu amekaa Miaka 10Uhasibu sasa unamuhamishia Wapi ili apate Skills Zingine? Huko si watasema Hajasomea Kazi Ile?Say Umemuhamishia Ugavi au HR?
AU Mhandisi amefanya Uhandisi Kama Mkuu wa Idara for 10yrs,Then Unamuhamishia Say Ugavi au Masoko …
Sasa huko Si watasema Hajasomea mambo hayo na Kuanza Ku mu undermine? Kuwa wameletewa Mkuu wa Idara Mhandisi lakini Sio Mtu wa Masoko?
Pia Kumbuka Kuna Scheme of service…Muundo katika Ukuaji ambao Ndio unaeleza Mkuu wa Idara Flani awe na Sifa Zipi…Hili lipo sana Serikalini.
Nini Mawazo yako?