Hii pointMIMI NASHAURI BADALA YA KUTEUA NAFASI HIZO ZITANGAZWE WATU WENYE SIFA WATAOMBA MCHUJO UTAFANYIKA ATAKAE KUWA NA VIGEZO NDIO ATEULIWE
Nadhani pia kuna baadhi ya post tusiogope hata kuwatafuta kimataifa wazoefuMIMI NASHAURI BADALA YA KUTEUA NAFASI HIZO ZITANGAZWE WATU WENYE SIFA WATAOMBA MCHUJO UTAFANYIKA ATAKAE KUWA NA VIGEZO NDIO ATEULIWE
umeongea points tupuKunahirajika mawazo Mapya na uzoefu mpya
Serikalini wengi kelele tu utasikia toka Miaka hiyo toka enzi za Nyerere tunafanya hivi hivi utaniambia nini
Mfano mzuri ni kitengo cha Passport toka kianzisge enzo Nyerere kuipata lazima ulete barua sijui ya mwaliko 'uthibitisho wa safari nk
Hawajui kuwa Passport inatakiwa hata kufanya mitaani ya nje online na kuombea scholarship nk online
Kuwaambia badilikeni hawasikii ohh kijana utatuambia mini mimi mwaka wa 30 huu anafanya hivi hivi Sehemu kama hizo kuweka mtu wa ndani hapo hapo ni majengo
Uelewa wa private sekta maeneo mengi mkubwa kuliko walioko serikalini
Ofisa biashara wa Serikali unakuta kafanya kazi Miaka 20 kazi yake kusaini leseni za biashara huwezi linganisha na mfanyabiashara aliyeko private sekta.Ukiteua Waziri au katibu mkuu wizara ya biashara kutoka private sekta unakuwa umefanya la maana kuliko kuteua huyo mtia sahihi kwenye leseni kushika hivyo vyeo hajui kitu hata ukimpa ubalozi sijui iwatafute wawekezaji anaanzia wapi kichwani kweupe.Yuko so narrow kichwani
Mabalozi tulionao wengi kichwani kweupe kutarajia sijui watasaidia diplomasia ya uchumi na biashara ni uongo
Teuzi Serikali iangalie na private sekta kuna watu wanajua mavitu hasa kuwazidi hao akina uzoefu Miaka kibao Serikali au taasisi za umma
Ku inject new things vizuri pia kuchukua private sector
Mfano humu tumepiga kelele PayPal iruhusiwe kwa watanzania kupokea pesa serikalini huko hakuna hata mtu anaelewa PayPal ni nini hata huko wizara ya fedha na biashara.Kwa hali hiyo bila kuchukua private sector hatufiki mbali
Networking with paybackThread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.
Tatizo linatokea hapa.
1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?
2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?
3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.
Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.
Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?
HII NI AJABU.
1. ConnectionThread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.
Tatizo linatokea hapa.
1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?
2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?
3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.
Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.
Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?
HII NI AJABU.
1. ConnectionThread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.
Tatizo linatokea hapa.
1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?
2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?
3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.
Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.
Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?
HII NI AJABU.
Mavumbi yabakie Vijijini kuhakikisha passability tuu ila isiwe focus ya Taasisi..Hapo umenena!! Sitaki kuwasifia watu au kuwasema vibaya, mheshimiwa Lowassa alishaliona Hilo la loop Holes na alishawahi kupiga marufuku ujenzi WA hizi barabara za Vumbi!! Alishauri watu wajenge Lami nzuri kulingana na budget!! Kama una budget ya km 2 Bora ujenge hapo kuliko km 10 ambazo ni Vumbi na hazidumu hata miezi SITA!!
Akili zetu zimeganda na uwezo wetu hafifu. NI WAOGA MNO WA MABADILIKO HATA MARAIS NI WAOGA WA KATIBA MPYA.Hivi sasa pasipoti ni kama anasa.
Sisi tulio huku mikoani na mbali na mkoa ni changamoto sana.
Nilipokuwa nashughulikia yangu niliambiwa hivyo hivyo kuwa wanahitaji barua ya mwaliko.
Hivi Dunia ya sasa bado watu wanaalikana kwa barua?
Hivi ndugu yangu aliyeko nje ya nchi akiugua ghafla nami nikahitajika kwenda kumuuguza, kumuongezea damu nk itakuwaje? Pasi itapatikana kwa dharula?
Hivi nikitaka kwenda kutalii nani atanipa barua ya mwaliko?
Ofisi ya PSSSF wanakwama wapi kufungua ofisi wilayani [kama NSSF] wakati ndiko waliko maelfu ya wateja wao?
Wakati umefika huduma na uhakiki ufanyike wilayani badala ya mkoani.
Kuna wastaafu walemavu au wagonjwa ambao kusafiri ni lazima wawe na gari MAALUM [binafsi] kwa kuwa hawezi kutembea.
Hawa wanatumia gharama kubwa ambapo hawana pesa.
Vile vile wanalazimika kugharamia watu wawili au zaidi wanaowasindikiza. Ongeza chakula na malazi.
Tatizo wanataka mivyeo tu lakini utatuzi wa changamoto za watafuta huduma kwa spidi na uzuri na customer care zero kabisaIngekuwa wakuu wa idara za serikali wanafanya vyema kwa kiwango cha kustahili kuwa maCEO au Watendaji wakuu basi tungeona tu kwa kupata huduma nzuri za serikali kupitia vitengo na taasisi zao lakini mpaka leo taasisi nyingi zinatoa huduma mbovumbovu. Sasa hapohapo ndio umchukue mmoja wao eti akawe CEO hakuna jipya atafanya zaidi ya kuloga walio chini wasipande na kumfikia.
Hivi vyeo ni ajili ya shukrani kwa makada watiifu ndiyo maana hakuna ufanisi wowoteThread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.
Tatizo linatokea hapa.
1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?
2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?
3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.
Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.
Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?
HII NI AJABU.
wanapeana ulaji huwajui ccm ww?Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.
Tatizo linatokea hapa.
1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?
2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?
3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.
Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.
Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?
HII NI AJABU.
Inawezekana kabisa akakosekana
Nitakupa mfano Serikalini mtu hufaninyi kazi zote Unapewa kakipande kadogo tu.Mfano idara ya Bohari wako 200 nchi nzima kazi zao Bohari tu kufanya kazi Miaka 20 Bohari tu
Idara ingine uhasibu wako 100 kazi yao uhasibu tu Miaka 20
Idara nyi ingine manunuzi wako 100 kazi yao kununua tu uzoefu miaka 20
Private sector unakaa sehemu unapita kazi zote mwenyewe Inakupa uzoefu mkubwa tena mno kwenye level ya management.Serikalini.mgawanyo wa kazi uko shallow sana hampi.mtu uwezo na uzoefu overall wa ki Management kwa high lev
Kiongozi wa juu anatakiwa mwenye combination nyingi kwa mpigo key arrears zinazosumbua eneo husika
Pili. Mtu aweza toka nje kusaidia kutafuta changamoto sugu ambayo watu wa ndani hata wawe maelfu wameshindwa kuitatua pamoja na kupigwa kelele mno
Mfano Tanesco ilikuwa ina matatizo makubwa kifedha na huduma kwa wateja hazina kila siku ilikuwa kupeleka tu pesa Tanesco ruzuku Serikali ikamchukua mchumi toka private sekta Dr Idris Rashid akaenda atajisaidia shirika sana eneo la utendaji na ukusanyaji mapato .Tanesco walivyokuwa wenyewe na hao maelfu ya wafanyakazi wao wenye uzoefu Miaka kibao' umeme ulikuwa ukiomba unaupata baada ya miaka mitatu kupita na kwenda kulipia iwe billi ya umeme ilikuwa unatenga siku nzima kwenda kupanga foleni kulipia na mbili yenyewe ya kutambambikiwa na inakuja imechelewa kufungiwa umeme ukiomba ukibahatika unafungiwa baada ya Miaka mitatu.na hauingii.utapigwa porojo kuwa mita chache hadi uhonge nk
DR Idris ndiye alibadili utendaji kazi na kuleta Luku
Hao wa ndani uwezo wa kufikiri ulishafikia ukomo.wakawa tu wafanyaji kazi wa business as usual hamna jipya!!
Ni kweli kabisa Mkuu.Kunahirajika mawazo Mapya na uzoefu mpya
Serikalini wengi kelele tu utasikia toka Miaka hiyo toka enzi za Nyerere tunafanya hivi hivi utaniambia nini
Mfano mzuri ni kitengo cha Passport toka kianzisge enzo Nyerere kuipata lazima ulete barua sijui ya mwaliko 'uthibitisho wa safari nk
Hawajui kuwa Passport inatakiwa hata kufanya mitaani ya nje online na kuombea scholarship nk online
Kuwaambia badilikeni hawasikii ohh kijana utatuambia mini mimi mwaka wa 30 huu anafanya hivi hivi Sehemu kama hizo kuweka mtu wa ndani hapo hapo ni majengo
Uelewa wa private sekta maeneo mengi mkubwa kuliko walioko serikalini
Ofisa biashara wa Serikali unakuta kafanya kazi Miaka 20 kazi yake kusaini leseni za biashara huwezi linganisha na mfanyabiashara aliyeko private sekta.Ukiteua Waziri au katibu mkuu wizara ya biashara kutoka private sekta unakuwa umefanya la maana kuliko kuteua huyo mtia sahihi kwenye leseni kushika hivyo vyeo hajui kitu hata ukimpa ubalozi sijui iwatafute wawekezaji anaanzia wapi kichwani kweupe.Yuko so narrow kichwani
Mabalozi tulionao wengi kichwani kweupe kutarajia sijui watasaidia diplomasia ya uchumi na biashara ni uongo
Teuzi Serikali iangalie na private sekta kuna watu wanajua mavitu hasa kuwazidi hao akina uzoefu Miaka kibao Serikali au taasisi za umma
Ku inject new things vizuri pia kuchukua private sector
Mfano humu tumepiga kelele PayPal iruhusiwe kwa watanzania kupokea pesa serikalini huko hakuna hata mtu anaelewa PayPal ni nini hata huko wizara ya fedha na biashara.Kwa hali hiyo bila kuchukua private sector hatufiki mbali
Hawa Tanroads Wala Sio malaika kihivyo!! Ukiangalia report ya CAG nao wamo!!!Mavumbi yabakie Vijijini kuhakikisha passability tuu ila isiwe focus ya Taasisi..
Pili barabara ambazo ni zaidi ya 40 km zichukuliwe na Tanroads
Kifupi kuvunja hiyo vicious circle yenye too much specialization ya Serikali acha kazi join private sector ujenge uwezo utashangaaMkuu YEHODAYA Umeongea Vema Sana…
Ila Kuna Mahali naomba Ufafanuzi,
Mfano Umesema Mhasibu amekaa Miaka 10Uhasibu sasa unamuhamishia Wapi ili apate Skills Zingine? Huko si watasema Hajasomea Kazi Ile?Say Umemuhamishia Ugavi au HR?
AU Mhandisi amefanya Uhandisi Kama Mkuu wa Idara for 10yrs,Then Unamuhamishia Say Ugavi au Masoko …
Sasa huko Si watasema Hajasomea mambo hayo na Kuanza Ku mu undermine? Kuwa wameletewa Mkuu wa Idara Mhandisi lakini Sio Mtu wa Masoko?
Pia Kumbuka Kuna Scheme of service…Muundo katika Ukuaji ambao Ndio unaeleza Mkuu wa Idara Flani awe na Sifa Zipi…Hili lipo sana Serikalini.
Nini Mawazo yako?
Uko sahihi mtu akitoka private sector ni fast learner kwanza itachukua siku maximum tatu tu kujua taasisi kuna shida gani kwa sababu anakuwa na KPI yaani key performance indicators za taasisi kama hiyo bila hata kumpa atakuwa nazo akipitia kimoja baada ya kingine atajua shida iko wapi na kuweka modern strategy za how to turn around the situation.Wengi hamko exposed na modern organization world, hamna extra mile mko too authoritative kuliko ile expected sense of delivery, hamna ownership na hamna uwezo wa kutengeneza stratergies ambazo zinazaa matunda ya papo kwa hapo. Hongera sana Mh. Rais na team yako kwa kuliona hili vizuri. Nchi yetu itasonga mbele sasa.