Je, Taasisi za Serikali hazina watumishi wenye Sifa hadi Wakurugenzi Wakuu Wateuliwe toka Nje ya Mfumo?

Je, Taasisi za Serikali hazina watumishi wenye Sifa hadi Wakurugenzi Wakuu Wateuliwe toka Nje ya Mfumo?

Kunahirajika mawazo Mapya na uzoefu mpya

Serikalini wengi kelele tu utasikia toka Miaka hiyo toka enzi za Nyerere tunafanya hivi hivi utaniambia nini

Mfano mzuri ni kitengo cha Passport toka kianzisge enzo Nyerere kuipata lazima ulete barua sijui ya mwaliko 'uthibitisho wa safari nk
Hawajui kuwa Passport inatakiwa hata kufanya mitaani ya nje online na kuombea scholarship nk online

Kuwaambia badilikeni hawasikii ohh kijana utatuambia mini mimi mwaka wa 30 huu anafanya hivi hivi Sehemu kama hizo kuweka mtu wa ndani hapo hapo ni majengo

Uelewa wa private sekta maeneo mengi mkubwa kuliko walioko serikalini

Ofisa biashara wa Serikali unakuta kafanya kazi Miaka 20 kazi yake kusaini leseni za biashara huwezi linganisha na mfanyabiashara aliyeko private sekta.Ukiteua Waziri au katibu mkuu wizara ya biashara kutoka private sekta unakuwa umefanya la maana kuliko kuteua huyo mtia sahihi kwenye leseni kushika hivyo vyeo hajui kitu hata ukimpa ubalozi sijui iwatafute wawekezaji anaanzia wapi kichwani kweupe.Yuko so narrow kichwani

Mabalozi tulionao wengi kichwani kweupe kutarajia sijui watasaidia diplomasia ya uchumi na biashara ni uongo

Teuzi Serikali iangalie na private sekta kuna watu wanajua mavitu hasa kuwazidi hao akina uzoefu Miaka kibao Serikali au taasisi za umma

Ku inject new things vizuri pia kuchukua private sector

Mfano humu tumepiga kelele PayPal iruhusiwe kwa watanzania kupokea pesa serikalini huko hakuna hata mtu anaelewa PayPal ni nini hata huko wizara ya fedha na biashara.Kwa hali hiyo bila kuchukua private sector hatufiki mbali
Umezunguka sana kuwaponda watumishi wa umma lakini huelewi kuwa serikalini kazi nyingi zinafanywa kwa compliance ya either sheria ya bunge na kanuni zake au miongozo na nyaraka mbalimbali kutoka kwa wakubwa juu...
Hakuna mawazo binafsi serikalini
Hayo ni kwa Bakhresa na Mo huko ambao wakiamua asubuhi wanatoa maelekezo jinsi ya kufanya uhasibu...
 
Twende kilichosababisha taasisi za biashara za umma na mabenki na viwanda kufa zilikuwa nini ? Hawakuwa na wakurugenzi? Wakati mashirika yalikuwa na monopoly hayana mshindani
Wanasema sababu ni Nyerere na Mkapa
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
Ndio jibu hilo,watu wasio na ufanisi na wezi huwa hawategemewi.

Nikiangalia kesi ya NHC ilivyokufa na TIC ilivyokuwa imesinsia au hata TBC ni dhahiri Serikalini kuna watu wasiojitambua wengi Sana.

Kama customer care tuu inawashinda wataweza management zinazohitaji biashara kweli?

Hata sgr ikikamilika walete mtendaji kutoka kwenye sekta binafsi..

Pia serikali itazame atcl.
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
MIMI NASHAURI BADALA YA KUTEUA NAFASI HIZO ZITANGAZWE WATU WENYE SIFA WATAOMBA MCHUJO UTAFANYIKA ATAKAE KUWA NA VIGEZO NDIO ATEULIWE
 
Bro kati ya watumishi laki 5 wanakosa wanaenda private?
Inawezekana kabisa akakosekana

Nitakupa mfano Serikalini mtu hufaninyi kazi zote Unapewa kakipande kadogo tu.Mfano idara ya Bohari wako 200 nchi nzima kazi zao Bohari tu kufanya kazi Miaka 20 Bohari tu

Idara ingine uhasibu wako 100 kazi yao uhasibu tu Miaka 20

Idara nyingine manunuzi wako 100 kazi yao kununua tu uzoefu miaka 20

Private sector unakaa sehemu unapita kazi zote mwenyewe Inakupa uzoefu mkubwa tena mno kwenye level ya management.Serikalini.mgawanyo wa kazi uko shallow sana hampi.mtu uwezo na uzoefu overall wa ki Management kwa high lev


Kiongozi wa juu anatakiwa mwenye combination nyingi kwa mpigo key arrears zinazosumbua eneo husika

Pili. Mtu aweza toka nje kusaidia kutafuta changamoto sugu ambayo watu wa ndani hata wawe maelfu wameshindwa kuitatua pamoja na kupigwa kelele mno

Mfano Tanesco ilikuwa ina matatizo makubwa kifedha na huduma kwa wateja hazina kila siku ilikuwa kupeleka tu pesa Tanesco ruzuku Serikali ikamchukua mchumi toka private sekta Dr Idris Rashid akaenda atajisaidia shirika sana eneo la utendaji na ukusanyaji mapato .Tanesco walivyokuwa wenyewe na hao maelfu ya wafanyakazi wao wenye uzoefu Miaka kibao' umeme ulikuwa ukiomba unaupata baada ya miaka mitatu kupita na kwenda kulipia iwe billi ya umeme ilikuwa unatenga siku nzima kwenda kupanga foleni kulipia na mbili yenyewe ya kutambambikiwa na inakuja imechelewa kufungiwa umeme ukiomba ukibahatika unafungiwa baada ya Miaka mitatu.na hauingii.utapigwa porojo kuwa mita chache hadi uhonge nk

DR Idris ndiye alibadili utendaji kazi na kuleta Luku

Hao wa ndani uwezo wa kufikiri ulishafikia ukomo.wakawa tu wafanyaji kazi wa business as usual hamna jipya!!
 
Umezunguka sana kuwaponda watumishi wa umma lakini huelewi kuwa serikalini kazi nyingi zinafanywa kwa compliance ya either sheria ya bunge na kanuni zake au miongozo na nyaraka mbalimbali kutoka kwa wakubwa juu...
Hakuna mawazo binafsi serikalini
Hayo ni kwa Bakhresa na Mo huko ambao wakiamua asubuhi wanatoa maelekezo jinsi ya kufanya uhasibu...
Sawa lakini ubunifu ni zero huko Serikalini..

Nakupa mfano mdogo wa sekta ya barabara,hivi inakuaje Serikali ikitaka kujenga mradi mzuri wa barabara hadi wakakope WB au msaada wa wahisani?

Kwa mfano saizi Tarura amepewa zaidi ya bil.800,kusema tuu kwamba tutumie pesa walau bil.200 kwa kujenga barabara zetu za lami kwenye miji yetu japo kwa awamu hatuwezi hadi twende kwa mzungu?

Matokeo yake pesa zote hizo zinaishia kwenye mabaraba ya vumbi ambayo yanasombwa na maji kila siku..At the same time wanaenda Kukopa pesa kama hizo kujengea lami.Hizi ni akili au matope?
 
Sawa lakini ubunifu ni zero huko Serikalini..

Nakupa mfano mdogo wa sekta ya barabara,hivi inakuaje Serikali ikitaka kujenga mradi mzuri wa barabara hadi wakakope WB au msaada wa wahisani?

Kwa mfano saizi Tarura amepewa zaidi ya bil.800,kusema tuu kwamba tutumie pesa walau bil.200 kwa kujenga barabara zetu za lami kwenye miji yetu japo kwa awamu hatuwezi hadi twende kwa mzungu?

Matokeo yake pesa zote hizo zinaishia kwenye mabaraba ya vumbi ambayo yanasombwa na maji kila siku..At the same time wanaenda Kukopa pesa kama hizo kujengea lami.Hizi ni akili au matope?
Hako Tarura ni Majanga, wanajua taratibu zote za ujenzi WA barabara Bora ila wamekuwa ndio wajenzi WA barabara bila Weledi!! Ni kama hizo Hela zipo kwenye pakacha linalovuja!!
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
Tatizo ni teuzi kwà utashi wa anayeteua na hata pasina kuulizwa na yeyote.Huo mwanya unatumika kuchomekana kwingi na kufanyiana hiana kwingi pia.Hapa Tanzania hautakiwi kushangaa shangaa yanayotokea.Mifumo mingi imevurugwa kiasi kwamba wananchi hawana mamlaka yoyote juu ya yanayotokea au kuamuliwa na wanasiasa uchwara.Utaalam wa watumishi hauthaminiwi na hayo ndiyo matokeo yake.
Tunatakiwa kusisitiza na kuhimizana juu ya hitaji la Katiba Mpya itakayonyoosha na kujenga taasisi imara za kiuongozi kwa nchi yetu kwa kurudisha mamlaka ya wananchi.
Msingi wa yote lazima uwe wananchi.
 
Thread hii, inatokana na baadhi ya teuzi za wakurugenzi wa TANESCO na MSD kutoka nje ya mfumo. Nina declare interest kwamba sina shida na teuzi ya MSD. Ni mmoja wa colleagues tuliyekuwa tukifanya naye kazi nje ya mfumo. Ninaamini anastahili, na ataweza.

Tatizo linatokea hapa.

1. Hivi inakuwaje nchi yenye watumishi wa serikali zaidi ya 500,000 ikose mtu mmoja wa kuongoza taasisi kama MSD au TANESCO? Je, viongozi wa taasisi ndogo ambao wanaweza pata promotion ya kupewa nafasi kama hizo hawajiwezi? Kama hawajiwezi kuchukua nafasi kama hizo kwanini wasiwapishe watanzania wengine ili kuwaandaa watu wapya kwa nafasi kama hizo?

2. Katika hao watanzania 500,000 walioajiriwa na serikali, hakuna watu ambao mpaka sasa hawajapata nafasi za uongozi na bado wanaweza fanya vizuri? Kwani ili upewe nafasi ya uongozi lazima uoneshe uzoefu wa kuongoza? Watumishi hawa uzoefu waoneshee wapi? Kwani hakuna traits ambazo zinaweza tumika kuibua kiongozi mzuri?

3. Kama huu mfumo wa kuchukua watu toka nje ya mfumo unafaa na vyombo vyetu vya vetting vinaona ni mzuri kwanini huu huu mfumo tusiutumie na kwenye vyombo kama Majeshi ya Ulinzi na Usalama, TISS na PCCB? Kwani huko kuna kitu gani special wanachofanya hadi nafasi zao zilindwe ndani ya mfumo? Mtu akiwa vizuri apate nafasi na kumwingiza kwenye mfumo husika.

Sina shida na wateuliwa, wanastahili, ila ninahisi kuna shida mahala hasa katika kutafuta watumishi wa serikali wenye sifa na kuwafanyia vetting.

Kwanini hawa jamaa wa vetting wasiwe wanaadhibiwa kwa kutofanya vetting nzuri? Yaani katika watumishi laki tano ukose mtu wa kuongoza MSD au TANESCO?

HII NI AJABU.
Haki sawa kwa wote ngoja aje nae akutane na urasimu, maagizo, sheria, kanuni, taratibu na miongozo, ubabe na usaliti, unateuliwa lakini hupewi autonomous control na freedom ya kupractice uweledi. Tunamtakia heri kwenye upigaji
 
Sawa lakini ubunifu ni zero huko Serikalini..

Nakupa mfano mdogo wa sekta ya barabara,hivi inakuaje Serikali ikitaka kujenga mradi mzuri wa barabara hadi wakakope WB au msaada wa wahisani?

Kwa mfano saizi Tarura amepewa zaidi ya bil.800,kusema tuu kwamba tutumie pesa walau bil.200 kwa kujenga barabara zetu za lami kwenye miji yetu japo kwa awamu hatuwezi hadi twende kwa mzungu?

Matokeo yake pesa zote hizo zinaishia kwenye mabaraba ya vumbi ambayo yanasombwa na maji kila siku..At the same time wanaenda Kukopa pesa kama hizo kujengea lami.Hizi ni akili au matope?
Pia ndugu ujue kwenye vumbi huko hakuna value for money!! Mtu anakwambia tumeweka layer ya 150mm morram ila kipindi Cha audit unakuta Mvua ilishanyesha na kifusi hakipo Tena!! Full upigaji
 
Muarobaoni wa yote ni Katiba Mpya
Kunahirajika mawazo Mapya na uzoefu mpya

Serikalini wengi kelele tu utasikia toka Miaka hiyo toka enzi za Nyerere tunafanya hivi hivi utaniambia nini

Mfano mzuri ni kitengo cha Passport toka kianzisge enzo Nyerere kuipata lazima ulete barua sijui ya mwaliko 'uthibitisho wa safari nk
Hawajui kuwa Passport inatakiwa hata kufanya mitaani ya nje online na kuombea scholarship nk online

Kuwaambia badilikeni hawasikii ohh kijana utatuambia mini mimi mwaka wa 30 huu anafanya hivi hivi Sehemu kama hizo kuweka mtu wa ndani hapo hapo ni majengo

Uelewa wa private sekta maeneo mengi mkubwa kuliko walioko serikalini

Ofisa biashara wa Serikali unakuta kafanya kazi Miaka 20 kazi yake kusaini leseni za biashara huwezi linganisha na mfanyabiashara aliyeko private sekta.Ukiteua Waziri au katibu mkuu wizara ya biashara kutoka private sekta unakuwa umefanya la maana kuliko kuteua huyo mtia sahihi kwenye leseni kushika hivyo vyeo hajui kitu hata ukimpa ubalozi sijui iwatafute wawekezaji anaanzia wapi kichwani kweupe.Yuko so narrow kichwani

Mabalozi tulionao wengi kichwani kweupe kutarajia sijui watasaidia diplomasia ya uchumi na biashara ni uongo

Teuzi Serikali iangalie na private sekta kuna watu wanajua mavitu hasa kuwazidi hao akina uzoefu Miaka kibao Serikali au taasisi za umma

Ku inject new things vizuri pia kuchukua private sector

Mfano humu tumepiga kelele PayPal iruhusiwe kwa watanzania kupokea pesa serikalini huko hakuna hata mtu anaelewa PayPal ni nini hata huko wizara ya fedha na biashara.Kwa hali hiyo bila kuchukua private sector hatufiki mbali
 
Na vitambulisho vya NIDA pia
Hivi sasa pasipoti ni kama anasa.
Sisi tulio huku mikoani na mbali na mkoa ni changamoto sana.
Nilipokuwa nashughulikia yangu niliambiwa hivyo hivyo kuwa wanahitaji barua ya mwaliko.
Hivi Dunia ya sasa bado watu wanaalikana kwa barua?
Hivi ndugu yangu aliyeko nje ya nchi akiugua ghafla nami nikahitajika kwenda kumuuguza, kumuongezea damu nk itakuwaje? Pasi itapatikana kwa dharula?
Hivi nikitaka kwenda kutalii nani atanipa barua ya mwaliko?

Ofisi ya PSSSF wanakwama wapi kufungua ofisi wilayani [kama NSSF] wakati ndiko waliko maelfu ya wateja wao?
Wakati umefika huduma na uhakiki ufanyike wilayani badala ya mkoani.
Kuna wastaafu walemavu au wagonjwa ambao kusafiri ni lazima wawe na gari MAALUM [binafsi] kwa kuwa hawezi kutembea.
Hawa wanatumia gharama kubwa ambapo hawana pesa.
Vile vile wanalazimika kugharamia watu wawili au zaidi wanaowasindikiza. Ongeza chakula na malazi.
 
Pia ndugu ujue kwenye vumbi huko hakuna value for money!! Mtu anakwambia tumeweka layer ya 150mm morram ila kipindi Cha audit unakuta Mvua ilishanyesha na kifusi hakipo Tena!! Full upigaji
Ndio maana napinga kutumia pesa nyingi kujenga mavumbi,hii hapana kwa sababu Kwa miaka 5 tutajikuta tumetumia matilioni ya pesa ila hakuna cha kuonyesha..

Serikali Ike upya iseme pesa ya tozo iwe kwa lami tuu hasa mijini
 
Tena sekta zote wakichukua watu wa nje itafaa Sana .
Watu wa serikalin ni watu wazembe wajivuni ,kibri ,rushwa Sana .

Unaenda ofisini boss wa sehem husika anakuona km kikalagosi tu ,umakini ziro kabisa mazoea yamezidi mno.
 
Tena sekta zote wakichukua watu wa nje itafaa Sana .
Watu wa serikalin ni watu wazembe wajivuni ,kibri ,rushwa Sana .

Unaenda ofisini boss wa sehem husika anakuona km kikalagosi tu ,umakini ziro kabisa mazoea yamezidi mno.
Naunga mkono hoja
 
Ndio maana napinga kutumia pesa nyingi kujenga mavumbi,hii hapana kwa sababu Kwa miaka 5 tutajikuta tumetumia matilioni ya pesa ila hakuna cha kuonyesha..

Serikali Ike upya iseme pesa ya tozo iwe kwa lami tuu hasa mijini
Hapo umenena!! Sitaki kuwasifia watu au kuwasema vibaya, mheshimiwa Lowassa alishaliona Hilo la loop Holes na alishawahi kupiga marufuku ujenzi WA hizi barabara za Vumbi!! Alishauri watu wajenge Lami nzuri kulingana na budget!! Kama una budget ya km 2 Bora ujenge hapo kuliko km 10 ambazo ni Vumbi na hazidumu hata miezi SITA!!
 
Back
Top Bottom