masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
The enemy of your enemy is a friendthis is called snitchin'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The enemy of your enemy is a friendthis is called snitchin'
am not your enemy,am trying to free your enslaved mindThe enemy of your enemy is a friend
Hizi lawama au kilio?wee umekujaa huku bila kuni-tag?? Kwani Omary aliua kafir kwenye kuunga cha mitende maka, akaja anatamba kwa baba kassim kwa kuua kafir...baba kassim alisikitika na kumwambia kwamba Jana alisilimu hivyo umemuua muislamu mwenzako...tatizo ni lile lile Wa kukufundisha kajifia! Mwenzio hata mbuzi alisema Yesu ni Mwana Wa Mungu napiga HALELUYA AMEN! jifunze kuanzia Leo Angalia UJUMBE sio MTOA NENO! sema asante mgen kwa Fundisho [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
try again manam not your enemy,am trying to free your enslaved mind
them arabs corrupted your thinking from childhood...wake up
Vitabu vilivyotangulia ndio nini?Weka Ushahidi koloani ni maneno ya Mungu Mwenyezi! Tena kwa mujibu Wa Vitabu vilivyo tangulia kabla koloani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashangaa malaika kukaba vip Mungu wako alipopigana MIELEKE usiku kucha na yakobo mpaka Mungu wako akacheza rafu ndio kumshinda yakoboTupe mfano Mmoja Wa kabla ya muhammad! Malaika Anaye leta Ujumbe toka Mwenyezi Mungu alimkaba mtume yeyote hadi kakojo [emoji47] [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyezi Mungu kupitia malaika jibril
Umepanic..... Hiiiiiiiiiii kwa sauti ya jiweMapadri wana hekima sana, hawako hivi. Huyu anatafuta umaarufu humu JF.
Sent using my NOKIA torch
Injili inapatikana kwenye Quran eti.... Hiiiiiiiiii kwa sauti ya jiweIssa hakuja na kitabu kinachoitwa Biblia. Kwanza Biblia ni nini? Ni wapi katika hiyo biblia kitabu hicho kinajieleza kuwa kinaitwa biblia. Issa alitumwa na Injili. Injili ya Issa sio yale matapu tapu ya Paul na upuuzi mwingine kwenye hicho kitabu. Issa, Ibrahim wametajwa katika Quran ni lazima Muislam aamini. Quran haitegemei biblia. Period
Sent using my NOKIA torch
Mbona unajificha kwenye shamba la karanga.... Kusema tu Injili ya issa inapatikana wapi ni tatizo.... Hiiiiiiiiiiii kwa sauti ya jiweReference yangu na zako ni tofauti, hatuwezi kuongelea hili. Simple tu.
Sent using my NOKIA torch
We unajua inakopatikana Injili ya Issa?Mbona unajificha kwenye shamba la karanga.... Kusema tu Injili ya issa inapatikana wapi ni tatizo.... Hiiiiiiiiiiii kwa sauti ya jiwe
Jaza mwenyewe kama lawama au nimekuletea msiba [emoji38] [emoji38]Hizi lawama au kilio?
Hata hivyo huvijui eeh [emoji15] sasa humu unatupigia kelele unatetea nini?Vitabu vilivyotangulia ndio nini?
Huyo ni Mungu sawa!? Wapi Malaika Gabriel alimkaba mtu wakati akileta ujumbe Wa Mwenyezi [emoji47]Unashangaa malaika kukaba vip Mungu wako alipopigana MIELEKE usiku kucha na yakobo mpaka Mungu wako akacheza rafu ndio kumshinda yakobo
Wewe mpumbavu tu unayetafuta maarufu. Kuna mwenzio mgen mpaka leo hajafanikiwa lolote seuze wewe? Acheni upuuzi wenu.
Sent using my NOKIA torch
Tusi liko wapi?Mbona unatumia lugha ya matusi? Halafu si Lazima ujibu Kama Huna jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo akili yako inakubali kuwa Mungu anacheza MIELEKA lakini malaika kumkaba mtu haiwezekani . sasa kipi ni kichekesho Mungu kugeuka JOHN Cena au malaika kumkaba mtu?Huyo ni Mungu sawa!? Wapi Malaika Gabriel alimkaba mtu wakati akileta ujumbe Wa Mwenyezi [emoji47]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa ujibu swali hili tujue uwezo wako wa kufikiri, ili tiba iende ikamalize tatizo lako kabisaaaHata hivyo huvijui eeh [emoji15] sasa humu unatupigia kelele unatetea nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kwa kujaza malalamiko au kilio hapa sio mahali pake .hapa ni nondo juu ya nondoJaza mwenyewe kama lawama au nimekuletea msiba [emoji38] [emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app