Harris ka...I..piga mumemtenga?kwa makanisa ya kipentekoste hajawa na mafundisho ya ushoga ni kinyume na maandiko matakatifu, ikitokea kuna mchungaji yuko hivyo atafukuzwa kanisani akafie mbali. makanisa ya kiroho hayakai na washirika watenda dhambi kila mara. kutubu ni mara moja tu. mzinzi, muasherati na mlawiti hawawezi kustahimili kusali katika makanisa haya. wenyewe tu wanayaogopa kwa kuwa yanaanika dhambi hizo waziwazi na kuwafukuza watenda matendo hayo maovu
Aiseee Wazazi inatupasa tuwe close sana na mienendo ya Vijana wetu wa kiume hasa wale wa boarding school la sivyo tutapata hasara kubwa sanakadri mtoto wa kiume anavozidi kukua ndiyo pressure kwa wazazi inazidi kupanda! Mungu atunusuru!
Mbona wao wanasema wameubwa hivyohivyo!?Haijathibitika chanzo cha Ushoga ni Biological Or Environmental ie Nature vs Nurture Debate.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saying so doesn't make so.Mbona wao wanasema wameubwa hivyohivyo!?
Sasa cha kushangaza unakuta kuna mtoto US kuanzia ana miaka mitano alikataa kuvaa nguo za kike na mpaka sasa ni teenager ameanza hormones za kiume. Mwingine siweze sema maana wanangu wanaingia watajua nimewasemea. Kuna mwenzake na mwanangu jinsia naficha yeye hata jina kabadili. Tulipoishi wote ughaibuni hakuwahi vaa nguo ya kike. Aliporudi US toka huko tulipokuwa wote mzigoni kawaeleza wazazi kuwa yeye ameamua jinsia yake ni ME. Sasa anajitahidi kubeba vyuma ili aonekane vile.Haijathibitika chanzo cha Ushoga ni Biological Or Environmental ie Nature vs Nurture Debate.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi ni kutokana na kuwa abused kwa muda mrefu inakuwa tabia.Saying so doesn't make so.
Wengine wakiona wameshindwa kutoka wanasingizia walizaliwa hivyo ni Waongo.
Biological gays are very few population.
Hawa wengi ni nature imewafanya wawe hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliekwambia kuwa huwa wanaweka wazi, ngoja siku uje umkute unaeamini ni mchungaj wako akiserebuka ndio utaelewa maana ya msemo wa wahenga....wachungaji wa kipentekoste hawako hivyo, ikibainika yuko hivyo atafukuzwa uchungaji akafie mbali. makanisa ya kiroho hayalei na kuremba dhambi, ukionywa husikii unatengwa na hatimaye unafukuzwa kanisani
Wanaume wameisha saivi kimaumbo ni wanaume ila matendo ni wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa Dar kibiashara tangu Jumamosi (nimekuja kuuza vumbi la Kongo maana nimeona biashara ya majeneza peke yake ntakufa na njaa)
Sasa jana nikiwa ndani ya bar moja mitaa ya Makumbusho mida ya saa mbili hivi usiku niko na jamaa zangu tunakula tungi ghafla kuliibuka ubishani meza ya jirani kulikuwa na jamaa flani mmoja namjua huwa ni bongo movie sasa walikuwa wanabishana kuhusu watu maarufu wanaotafunwa (mashoga)
Ubishani huo uliibuka baada ya wadau hao kudai kuwa yule msanii kijana machachari wa muziki wa injili ambaye anafahamika
kama "Nzuri bahati" (nimetumia code)
Eti huyu kijana naye yumo kwenye skendo ya kubanduliwa.!
Ukweli hata mimi sikuamini kabisa maana binafsi nyimbo za huyu kijana huwa zinanibariki sana sasa leo mtu aseme eti huyu kijana naye ni "biriani"
Ukweli mpaka sasa siamini kabisa!
Sasa humu najua kuna watu tofauti na pengine wapo waliowahi kusikia hii kitu je ni kweli hizi habari? wazee wa codes na mji mzito..
Cc Warumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said!Wanaume wameisha saivi kimaumbo ni wanaume ila matendo ni wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuambia ulizamishe watu wakubaliane na ushetani wako wa kasagana.
Hayo mengine n kujaribu kunitoa on point.
Nyie wasagaji n kuwamaliza.
Kila post ya kupinga ushoga wewe na wasagaj wenzako mnatokwa na povu as if usenge n jambo jema.
Nitawasema popote.
Halafu suala la kukoncive watu wafate ushenzi wenu mkome, maana ipo siku mtasaga meno kwa kilio kisichokwisha
Ndio walewale mkuu 😀Huyo jamaa kweli sio wa kawaida mara nyingi anateteaga usenge humu jukwaani eti will be ze gud place watu wengine kweli laana
Sent using Jamii Forums mobile app
si ulipigwa ban da demi umetoka lini tena?Wanaume wameisha saivi kimaumbo ni wanaume ila matendo ni wanawake
Mkuu hata hizi shule za kutwa, kuna kesi moja niliishuhudia watoto wa form two walikutwa wanampiga mtungo mvulana mwenzao vichakani ni shule ya kata.Aiseee Wazazi inatupasa tuwe close sana na mienendo ya Vijana wetu wa kiume hasa wale wa boarding school la sivyo tutapata hasara kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maanisha ushoga wenyewe sio laana? naona kama sijakuelewa vile!Laana ni ile ya kufanya ufisadi kwa pesa za wanyonge au ile ya kunyanyasa yatima na wajane au ile ya mwenye nacho kutokumsaidia asiyekua nacho au pale unapompa mimba mwanamke kisha unamkataa au unamwambia akaitoe, au au au auuuu.
Kama wewe ulilazimishwa kua shoga basi pole yako pengine ni tamaa zako za kimwili na kifedha hadi ukatumbukia huko, nani alaumiwe??
Mimi ni lesbian yes lakini sijawahi kukaa chini na kuanza kumsema mtu asiyekua Lesby, sasa nawashangaa nyie kutwa kuwazungumzia wenzenu, umaskini wako unatafuta wa kumtulia hahahaha eti utatumaliza my ribs [emoji23][emoji23] hebu anza na mimi kwanza naona una hamu ya kuokota sabuni.
Sababu zipo nyingi wengine ni tamaa ya pesa na vitu vizuri.Wengi ni kutokana na kuwa abused kwa muda mrefu inakuwa tabia.
Hauwezi kushindana ooh kushindana na Wanadamu wenye kinywa.Niko hapa Dar kibiashara tangu Jumamosi (nimekuja kuuza vumbi la Kongo maana nimeona biashara ya majeneza peke yake ntakufa na njaa)
Sasa jana nikiwa ndani ya bar moja mitaa ya Makumbusho mida ya saa mbili hivi usiku niko na jamaa zangu tunakula tungi ghafla kuliibuka ubishani meza ya jirani kulikuwa na jamaa flani mmoja namjua huwa ni bongo movie sasa walikuwa wanabishana kuhusu watu maarufu wanaotafunwa (mashoga)
Ubishani huo uliibuka baada ya wadau hao kudai kuwa yule msanii kijana machachari wa muziki wa injili ambaye anafahamika
kama "Nzuri bahati" (nimetumia code)
Eti huyu kijana naye yumo kwenye skendo ya kubanduliwa.!
Ukweli hata mimi sikuamini kabisa maana binafsi nyimbo za huyu kijana huwa zinanibariki sana sasa leo mtu aseme eti huyu kijana naye ni "biriani"
Ukweli mpaka sasa siamini kabisa!
Sasa humu najua kuna watu tofauti na pengine wapo waliowahi kusikia hii kitu je ni kweli hizi habari? wazee wa codes na mji mzito..
Cc Warumi
Sent using Jamii Forums mobile app