handsome84
Member
- Aug 18, 2017
- 36
- 99
Toyota Alex haina tofauti sana na ist mkuu fuata maelekezo yaliyotolewa awali kuhusu ist utaelewa zaidi. Kama hujaelewa karibu kama una swali zaidi mkuuJe Toyota Alex Inafaa kwa safari ndefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toyota Alex haina tofauti sana na ist mkuu fuata maelekezo yaliyotolewa awali kuhusu ist utaelewa zaidi. Kama hujaelewa karibu kama una swali zaidi mkuuJe Toyota Alex Inafaa kwa safari ndefu
Nikufunhue macho ! Coolant no mbadala was maji, zamani maji yalikuwa yakitumika kwenye radiator ! Lakini yanasababisha kutu sana, mbadala wake ikaletwa coolant, yenyewe inachukua nafasi ya maji, na imewekewa chemicals ambazo zinachelewa kupata koto, na zinawai kupoa....uhalisia---sio kama hutafika lkn usalama wa gari yako kwa kwenda km /miles nyingi bila kupumzisha engine hilo ndo tatizo.nadhani hata vitu vyote vikiwa fine mfano coolant,water in radiator,oil nk nk baada ya distance dash board indicator ya heat itakuwa high
Hizo gari nikiziona udenda unatoka hasa gx 110 mwaka jana mwezi wa 11 nilienda nayo lakini alikuwa anaendesha bro kulikuwa kuna mtu anapelekewa tumetoka Dar saa 12 asubuhi saa 11 tupo Songea kupitia lindi ndugu sijajua kama kuna toyota hizi ndogo kama alteza,ti,spacio zinakimbia kama hiyo tulipumzika sehemu mbili tu kwa ajili ya kula nangurukuru na Masasi........gx 110 shida kama ndegeNakutumia msg PM haujibu mkuu, je MARK II GRAND kwa safari za mikoani vp ???
Acha kumtisha jamaa. IST gari nzuri sana mkuu, cha kuzingatia gari yeyote ndogo usiende moja kwa moja pumzika Singida kama ulivyoshauriwa.Jupange kuziona piston zikitokea kwenye bonet
ulitoboa bukoba hadi dar kwa IST bila kupumzika?? mm ntakua wa mwisho kuamini huu uongo[emoji12]Inafika kabisa bila tatizo lolote. Mimi nilitoka nayo Dar mpaka bukoba. Nilipumzika nyakanazi kwa kuwa ilikuwa usiku. Siku ya kurudi nilirudi moja kwa moja mpaka Dar bila tatizo lolote bila kupumzika
Ni kweli siyo uongo. Nilitoka bukoba saa kumi alfajiri nikaingia Dar saa tatu usiku. Sina haja ya kukudanganya ndugu yangu. Hizi gar zinajipooza zenyeweulitoboa bukoba hadi dar kwa IST bila kupumzika?? mm ntakua wa mwisho kuamini huu uongo[emoji12]
Cc has northing to do with performance ya vehicle..VW amarock ina cc 2000 lakini V8 yenye cc 4500 ikasome namba na kupitwa kama imesimama..Kusafiri na IST inawezekana ila utaona tofauti kibwa sana kati ya IST na Crown,Brevis, zitakazokua zinakupita huko njiani kama vile umesimama..usifanye mchezo 1290 - 1490 CC na 2490 CC
performance ni altezza, comfortability ni grande! ila chagua altezzaIvi wadau which to buy kati ya mark ii glande au altezza..for performance and confortability..
Hahah thanks for info..n Why altezza mkuu..performance ni altezza, comfortability ni grande! ila chagua altezza
Inbox nguvu za gizapanda kisbo mzee, utakuja jutia ukitaka kuamini nifuate inbox
Vp RV4 milango 5 Old model ulaji wake wafuta ukoje?Ist lita moja inakwenda kuanzia km 16 hadi km 22 kulingana na service ya gari au ukiwasha ac. Na pia kama unaikanyagia sana ili achanganye mapema. Mark II grand inatumia lita 1 kwa km 9 mpaka km11. Kulingana na maelezo niliyotoa hapo juu.
Mkuu nadhani itakua unajidanganya na hauzijui ligi za barabarani CC has everything to do with vehicles performance the lower the CC the less horsepower and torque the vehicle produces exception lies with after market modifications...huwezi fananisha 2000CC ya Amarok na 4500CC ya Land Cruiser V8Cc has northing to do with performance ya vehicle..VW amarock ina cc 2000 lakini V8 yenye cc 4500 ikasome namba na kupitwa kama imesimama..
Mkuu nadhani itakua unajidanganya na hauzijui ligi za barabarani CC has everything to do with vehicles performance the lower the CC the less horsepower and torque the vehicle produces exception lies with after market modifications...huwezi fananisha 2000CC ya Amarok na 4500CC ya Land Cruiser V8[/QUOTE
]
Lkn mkuu mbona mimi nilikua na mazda ya 2005 rx 8 cc 1300 na ni stock,horsepower inatoa zaidi ya 200 lkn hao altezza,forester,mark 2 grand,verossa nilikua nawakalisha barabarani vzr kabisaa.
Though pia kulinganisha Amarok na ma V8 ni kutozitendea haki V8.
Ata ww bas hujui..nadhani huna experience ya haya mambo..the lower the cc the lower the horse power?? Ilo umelipata wapi boss[emoji1] ..ingia kwenye madesa tena mkuu..alaf jaribu angalia cc za amarok na cc v8 ni kama nilivyotaja pale ila horsepower zinaendana..only horsepower has to do with performance n not cc..Mkuu nadhani itakua unajidanganya na hauzijui ligi za barabarani CC has everything to do with vehicles performance the lower the CC the less horsepower and torque the vehicle produces exception lies with after market modifications...huwezi fananisha 2000CC ya Amarok na 4500CC ya Land Cruiser V8