Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Hata Mimi nakubali sana kuwa Mbowe anafaa sana kwenye uongozi wa juu na ndiyo sababu chama chake kimeweza ku survive hata katika nyakati ngumu wakati wote. Yupo resilient na anajua ku manage anger. Tatizo kubwa la hao ndugu zetu ni nepotism...Kwenye chama chake ameonyesha hili wazi wazi. Na sijui kwanini hao ndugu wa eneo Hilo wanashindwa kuficha hiyo tabia ya nepotism ya hali ya juu
 
Kwenye free & fair election CCM haijawahi shinda uchaguzi.." Mtoto wa Karume(2023)
 
Tatizo kubwa la hao ndugu zetu ni nepotism...Kwenye chama chake ameonyesha hili wazi wazi. Na sijui kwanini hao ndugu wa eneo Hilo wanashindwa kuficha hiyo tabia ya nepotism ya hali ya juu
Unaweza ukatupa mfano wa ukabila CHADEMA? Kila chama kina base yake na strongholds na CHADEMA base yake kubwa ilikua kaskazini.

But chama kimekuwa Sasa kilifika stage kikaongoza majiji yote makubwa Arusha, Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya imebakia Dodoma tu alafu bado unakazana kusema ni cha wachagga?

Toka huko kwenye ukabila, in fact siku hizi CHADEMA inakubalika zaidi nyanda za juu kusini kuliko hata huko Uchaggani.
 
Ukiuchukulia urais kama tasisi inayoongozwa na watu wenye uwezo na sifa tofauti tofauti, na siyo Mali ya mtu mmoja na familia yake,Lissu anazo sifa za kuwa Raisi.

Urais ukichukuliwa kama mali ya mtu ndio yanatokea kama ya yule jamaa yakutokushaurika na ukimshauri ndio umeharibu kabisaa.
 
Hisia za chuki zimetawala san hii reply yako!! Tunaheshim mawazo yako iwe ya kijinga ama ya msingi
 
Emotional resilience,hii ndio sifa kuu ya Kiongozi mzuri,hutokuja sikia akipatuka Wala kuropoka hovyo Wala ku act Kwa jazba.
Hujatoa jibu la msingi, kupayuka maan yake nn? Yawezekana mtu anaongea mamb ya kwel kbs na yeny mantiki but approaching ikatafsiriwa tofaut. Pia LISSU sio mropokaji tatizo lenu mnataka mtu akosoe huku anapata mafuta na kuwalambisha asali huku anawakosoa!! LISSU hawez mung'unya maneno penye ukwel anapiga mulemule bila kuremba maneno, kitu ambacho wanaccm hawapendi kbs!!
 
Hisia za chuki zimetawala san hii reply yako!! Tunaheshim mawazo yako iwe ya kijinga ama ya msingi
Yes!
na wewe si utulie tu na hisia zako za upendo kwa yeyote kulingana na hoja ya mtoa bandiko, whether ni wa kinafiki ama la, upendo wa kweli ama sio wa kweli na hakika nina uheshimu sana ujinga, upumbavu ama uwerevu wako, na kwakweli huo ni uhuru wako na haki yako kua hivyo ulivyo right?!🤓
 
Tunataka Rais mzalendo; mwenye uwezo wa kukemea mafisadi hadharani, atakayesimamia rasilimali za nchi Kwa wivu mkubwa na mwenye element za udikteta kiasi ili majizi yote yatapike pesa na kuzirejesha kwenye miundo mbinu uchumi urudi Kwa maskini. Huyo si mwingine Kwa sasa ni Mazalendo Tundu Lissu.
 
Kwenye kitabu changu kipya kiitwacho, 'Near Miss' nita explore jinsi ambavyo Mbarawa, Makamba na Mwigulu 'walikaribia kuupata uraisi, ila wakaukosa'...
 
Mara nyingi kama sio mara zote hakuna Rais asiyependa kupigiwa makofi na kusifiwa ndani na nje ya nchi yake. kwa maana nyingine hakuna Rais asiyependa kufanya vizuri. Shida zinazowapata viongozi wengi zinatokana na wale watu/taasisi/nchi/kabila/dini waliomzunguuka/wanaomsaidia , wale waliomsaidia kuipata nafasi na aina ya watu wanaomsifia na sababu zao za kumsifia.
 
Kama form four failure anaweza kuwa rais basi Lissu ni above next level

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi natamani potential candidate akipata nafasi hata ya dk 2 za kuzungumza na wananchi awaambie nini angefanya/atafanya kama angekuwa/atakuwa Rais wa nchi hii. Shida yetu kubwa kuliko zote sio uhaba wa demokrasia bali uchumi mdogo, huduma mbovu na ukosefu wa huduma kabisa. Kule nchi za Uarabuni na Uchina hakuna demokrasia pana lakini hali za maisha na uchumi ni kimbilio kwa watu wa nchi nyingine kutafuta huduma, ajira, mikopo, elimu, afya na starehe. Sitamani kumsikia mgombea anayehubiri demokrasia saaaana kama ya Magharibi na kuacha kutuambia atafanya nini juu ya wezi wa mali ya umma, maji, uchukuzi, elimu, ajira, umeme, gharama za maisha, chakula, hali ya hewa, masoko, mitaji, technolojia, nk. Nataka mtu aeleze polepole kwa kituo nimwelewe bila kunifokea au kulaumu na kubeza wengine.
 
Mkuu Lissu ana uwezo ambao Undisputable.
Tofauti yake na Magufuli Lissu ni mwenye uelewa mkubwa sana na anajali haki na utawala bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…