Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Lissu ni muwazi sana sana.
Hapa amepuyanga kuhusu habar za biashara. Lissu kwa sasa anatapa tapa, atapoteza kuaminika na watu makini.

Nasisitiza auchunge mdomo wake. Naona hajawaelewa watanzania, ataonekana ana nongwa tu.

Yeye amekuwa anatuhumu kila kitu, si apeleke ushahidi TRA, Financial crime, pccb ili mbowe akamatwe yeye apite kirahisi tu.

Binafsi naanza kupata mashaka sana na Lissu hasa kwa namna anayoropoka ropoka. Mbona wagombea wengine hatuwasikii isipokuwa yeye tu na mambo ambayo yanasemwa kama sio mwanasheria.

Ni heri hata Msukuma ama yule jamaa wa mtera 😂
 
Kumbe Mbowe Hotels hazina TIN number? Yale mashamba aliyoharibu Byakanwa na zile biashara lissu alizowahi kiri Magufuli alimharibia Mbowe kumbe ilikua uongo?
Kwani Lisu kataja wapi jina la Mbowe?
Mbona mnaweweseka sana?
 
Mbowe angesoma alama za nyakati.
Angestaafu kama mwami.
 
Mbowe mjasiliamali wa siasa tu. Anaitumia cdm kujinufaisha na kujilipa ruzuku ndio maana hataki kuachia.
Awamu hii atatoka tu, chama sio mali yake binafsi
 
Wenje na mbowe onyesheni haraka TIN nambazenu lasivyo kimbilieni ugaibuni huko
 
Mbowe mjasiliamali wa siasa tu. Anaitumia cdm kujinufaisha na kujilipa ruzuku ndio maana hataki kuachia.
Awamu hii atatoka tu, chama sio mali yake binafsi
Maria Sarungi kawapa kazi ngumu sana
 
Ila mkuu we Mshamba na Mjuaji sana!
 
Mbowe safari hii kayakanyaga. Alijua lissu ni sawa na zitto kabwe
Mkuu LISu huyu warthog wa mjini Mr kasongo, Marais watatu walishamfanyi fitina wote walichemka
1)mkapa , juu ya migodi nyamongo huko ,ikabidi amfungulie KESI ya uhaini ,kotini serikali ikadondokea pua

2)kikwete , huyu alienda hadi kwao akawambia wananchi msimchague LISu kuwa mbunge ,akashindwa

3) magufuli akaona isiwe SHIDA ,akampigisha risasi nyingi mwamba kachomoa Yuko hai

Samia ,silaha yake ilikuwa mbowe ,ngoja tuone sasa
 
Ila mkuu we Mshamba na Mjuaji sana!
Ndio I know things..

Niulize maswali.

Nasema nipo hapa kuweka rekodi na kuzuia vishoka wa kuchangisha mpaka chakula cha mchana kwa jina la harakati.

Tafuteni kaz zinazowaingizia vipato mumchangie huyo bwana Mil 30 ya uchaguzi mkuu.

La Ushamba ni kweli mimi mshamba maana nimezaliwa Shamba and i have gone places and i know people
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…