minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Chawa wa mbowe walizoea chaguzi zote mbowe mfalume hupita bila kupingwa na hakukuwa na kampeni kama sasa, maovu madudu ya mbowe rushwa za ngono kwa viti maalum hayakujulikans, Sasa kila baya la Mbowe lipo wazi, na hata kamati ya Roho mbaya aliyounda ikiongozwa na Mdee, Boniface, wenje kwa ajili ya kumdhoofisha Lisu imejulikana mapema tu,