The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Hakuna kitu kama hicho mahala popote, biashara ya hivyo labda ni madawa ya kulevya ama usafirishaji binadamu ama shughuli haramuKwa hili Lissu ni mshamba sana,
Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.
Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.
Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....
Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.
Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..
Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Biashara yenye ghots owners obvious ni biashara ya kimagendo.
Sasa mbowe anafanya biashara ya kimagendo? Anauza madawa ya kulevya? Makonda alikua sahihi kusema Mbowe anauza madawa ya kulevya?
Lissu anahoji biashara gani haina hata TIN, hiyo biashara ambayo haina hata TIN ni biashara ya namna gani?