Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Kwa hili Lissu ni mshamba sana,

Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.

Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.

Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.

Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....

Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.

Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..

Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Hakuna kitu kama hicho mahala popote, biashara ya hivyo labda ni madawa ya kulevya ama usafirishaji binadamu ama shughuli haramu

Biashara yenye ghots owners obvious ni biashara ya kimagendo.

Sasa mbowe anafanya biashara ya kimagendo? Anauza madawa ya kulevya? Makonda alikua sahihi kusema Mbowe anauza madawa ya kulevya?

Lissu anahoji biashara gani haina hata TIN, hiyo biashara ambayo haina hata TIN ni biashara ya namna gani?
 
😄😄😄

We mtu mzima bwana, hujui nani analeta wahindi na wachina bongo?

Unaanzisha consortium unaweka Wachina na wahindi wanapewa uraia fasta we unakula tu maisha...

Mbona hii ipo open sana?

Huyo mshamba ndio analeta blabla zake za Tin number kama ametoka Ikungi juzi
Umenikumbusha mhaya mmoja anaitwa Karamagi Adani 😂😂
 
Hizi ni hisia na maoni yako binafsi au ni Facts?
Kama ni facts nisaidie nani anamiliki hizi biashara

1.Blackrock
2.State street
3.Goldman Sachs.
4.HSBC Bank

Kwa NGOs, niambie kina nani wana own

1.PSI
2.Mariestopes
3.DKT.

Zipo nchi kibao duniani unafanya investment anonymously au unatumia flaship trusted individuals kama Wahindi na Philipines...

Zungukeni muijue dunia
1. Blackrock

Ni kampuni linalojihusisha na usimamizi wa mali, lilianzishwa mnamo mwaka 1988 na Lary Flinky akishirikiana na Robert Kapito pamoja na Philipp Hildebrand

Blackrock lina makao makuu yake Mjini Ney York, 50 Hudson Yards.

BlackRock imeandikishwa na kusajiliwa na Mamlaka ya Usalama na Ukusanyaji wa Mali ya Marekani (U.S. Securities and Exchange Commission - SEC).


Na hata kwa mujibu wa Wikipedia wamebainisha aina ya kampuni ni public na sio ya kificho kama ambavyo wewe unataka kutuaminisha
Screenshot_20250106-195831.png


Kwenye hoja ya Lissu hakuna sehemu ambayo umempinga kwa facts. Mifano yako yote inaonesha ni wewe tu ndio huna taarifa za kutosha kuhusu hizo biashara na sio kama wanaozifanya hawajulikani or some sort of confidentiality
 
Lissu amejimaliza. Kuropoka ni weakness kubwa sana ambayo inamfanya mtu asi QUALIFY kuwa kiongozi mkuu wa chochote. Mkiniambia kuwa risasi zimeathiri hadi ubongo wake nitawaelewa.

Kwanini anakwenda PERSONAL kwa Mbowe kisa UWENYEKITI wa CHADEMA tu. Anasahau hata namna Mbowe ALIVYONUSURU uhai wake baada ya kushambuliwa na risasi 16 na watu wa Magufuli pale Dodoma mwaka 2017??
Kweli KIKULACHO ki ............
Lisu haropoki chochote anaongea ukweli risasi hazijagusa ubongo anaongea ukweli kwa Akili yako ndogo ya uchawa kwa mbowe umekariri anaropoka, hakuna cha kuropoka hapo nali ukweli mmeugeuza eti ni kuropoka, hiki ni kipindi cha kampeni kila mmoja lazima aongee udhaifu wa mwenzie, sasa mapungufu udhaifu wa mbowe hamtaki ijulikane kwa kisingizio cha kijinga kuwa ni siri za chama?
 
Sio kweli. Hata biashara chini ya trustees hujulikana ndio ziwe biashara za mtu binafsi?
Duka kiwanda saccos ya mbowe ni chadema pesa zote za chadema huporwa na mbowe kwa kujilipa madeni hewa
 
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.

Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?

Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.

Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.

Pia, soma:

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Wacha wauane!
Wote wachumia tumbo! Raia hana maslahi chukuwachakomapema au kwa Mr F Mbowe co. Ltd!
 
Safari hii kayakanyaga
Mbowe hakuwa kazoea kampeni hakuzoea mtu kumkosoa hadharani alijua madhambi madudu yake hayajulikani, Mbowe alizoea kupita bila kupingwa, sasa kila anachosikia toka kwa Lisu kakariri kuwa Lisu anaropoka, kumbe watanzania wao wanaona siyo uropokaji ni ukweli, chawa wa mbowe wameishiwa mbinu huku wakiendelea kula pesa za mbowe na ndipo mbowe anazidi kuchanganyikiwa
 
Kauli za Lisu ni vyema ajitafakari,hata kama Mbowe kamtendea ubaya,asitake kuharibu mpaka maisha yake kisa uenyekiti wa Chadema.Sifa za leo sio za kesho hivi visasi vyake na yule mnyalu wajitafakari kuna kesho.Mbona Heche kaweka akiba ya maneno,unafkri Heche hajui mengi kuliko Lisu.Yaani utafkiri Mbowe aliku adui na Lisu tangu 2004 alipochukua Chama
Kwa hiyo hutaki kusikia ubovu wa Mbowe!!
 
1. Blackrock

Ni kampuni linalojihusisha na usimamizi wa mali, lilianzishwa mnamo mwaka 1988 na Lary Flinky akishirikiana na Robert Kapito pamoja na Philipp Hildebrand

Blackrock lina makao makuu yake Mjini Ney York, 50 Hudson Yards.

BlackRock imeandikishwa na kusajiliwa na Mamlaka ya Usalama na Ukusanyaji wa Mali ya Marekani (U.S. Securities and Exchange Commission - SEC).


Na hata kwa mujibu wa Wikipedia wamebainisha aina ya kampuni ni public na sio ya kificho kama ambavyo wewe unataka kutuaminishaView attachment 3194336

Kwenye hoja ya Lissu hakuna sehemu ambayo umempinga kwa facts. Mifano yako yote inaonesha ni wewe tu ndio huna taarifa za kutosha kuhusu hizo biashara na sio kama wanaozifanya hawajulikani or some sort of confidentiality
Narudia tena,

Tanzania Biashara za wanasiasa ni siri.. na kuweka TIN numbers zako kwenye biashara hasa ukiwa unaendesha siasa kama za FAM ni suicidal.

Waafrica wengi wanatumia wahindi, wachina na waarabu kuendesha biashara zao na wao kubak kama ghost owners.

Hizo complications za Backrock wala tusiziendeleze... Larry ni Cofounder na CEO, pamoja na partner wengine saba, lakini wao ni individual shareholders wanaoweza kuonekana, the largest shareholders ni complex.
 
Kwa hiyo hutaki kusikia ubovu wa Mbowe!!
Kwa hiyo hana TIN kwa vile Lisu ni TRA na zile AC za biashara zilifungwa ina maana zilikuwa hewani!!.Unajua maana ya kukosa TIN ambayo hata wewe unayo!!?Atafute vyeo kwa ustaarabu ndio lengo langu.Ina maana Lisu yeye akikuchukia kila anachosema ni sawa!!?
 
Back
Top Bottom