Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Kwa hili Lissu ni mshamba sana,

Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.

Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.

Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.

Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....

Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.

Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..

Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Tupe mfano mmoja tu 😂
 
Sio kweli. Hata biashara chini ya trustees hujulikana ndio ziwe biashara za mtu binafsi?
Hizi ni hisia na maoni yako binafsi au ni Facts?
Kama ni facts nisaidie nani anamiliki hizi biashara

1.Blackrock
2.State street
3.Goldman Sachs.
4.HSBC Bank

Kwa NGOs, niambie kina nani wana own

1.PSI
2.Mariestopes
3.DKT.

Zipo nchi kibao duniani unafanya investment anonymously au unatumia flaship trusted individuals kama Wahindi na Philipines...

Zungukeni muijue dunia
 
Sio kweli. Hata biashara chini ya trustees hujulikana ndio ziwe biashara za mtu binafsi?
Nimetoa mifano hapo juu nitajie wamiliki.

Labda kama mgeni jijini... Biashara nyingi bongo za wanasiasa wajanja wanatumia wahindi na waarabuil kama owners .

Tanzania nzima wahindi ndio wanaendesha biashara anonymous za wanasiasa wa kibongo na wao ndio wamiliki.

Nimekusanua mkuu...
 
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.

Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.

Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?

Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.

Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.

Pia, soma:

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Lissu anapiga kwenye mshono
 
Nilidhani utanipa mfano wa Tanzania Kwa mfumo wetu wa Uchumi

Kwinguneko duniani inajulikana hata Wauza KITI Moto wa Dubai Majina hayawekwagi hadharani 😂😂😂

Happy New Year 🌹
😄😄😄

We mtu mzima bwana, hujui nani analeta wahindi na wachina bongo?

Unaanzisha consortium unaweka Wachina na wahindi wanapewa uraia fasta we unakula tu maisha...

Mbona hii ipo open sana?

Huyo mshamba ndio analeta blabla zake za Tin number kama ametoka Ikungi juzi
 
Kwa hili Lissu ni mshamba sana,

Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.

Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.

Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.

Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....

Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.

Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..

Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Serikali haiwezi kushindwa kujua biashara zako mtu uliye kwenye siasa kwa nafasi kubwa kama ya mbowe. Hata mbowe aweke jina la kitukuu bado serikali itajua. Point yako hii inakosa nguvu
 
😄😄😄

We mtu mzima bwana, hujui nani analeta wahindi na wachina bongo?

Unaanzisha consortium unaweka Wachina na wahindi wanapewa uraia fasta we unakula tu maisha...

Mbona hii ipo open sana?

Huyo mshamba ndio analeta blabla zake za Tin number kama ametoka Ikungi juzi
Unatuuzia uongo. Serikali inajua wanasiasa wote na biashara zao hata ufiche vipi majina. Labda uwe kidagaa
 
Nimetoa mifano hapo juu nitajie wamiliki.

Labda kama mgeni jijini... Biashara nyingi bongo za wanasiasa wajanja wanatumia wahindi na waarabuil kama owners .

Tanzania nzima wahindi ndio wanaendesha biashara anonymous za wanasiasa wa kibongo na wao ndio wamiliki.

Nimekusanua mkuu...
Hapana mkuu. Mbowe ni drug dealer
 
Larry Fink
Huyo ni CEO kaka .

Tanzania biashara za wanasiasa wanaweka wahindi kama investors...

Unakumbuka ile hotel ya Mkulima Ruangwa?..

Hizo ndio kaz sasa, wachana na huyo jamaa anaetaka kila anaegombana nae awe fisadi, mla rushwa na muwongo
 
Unatuuzia uongo. Serikali inajua wanasiasa wote na biashara zao hata ufiche vipi majina. Labda uwe kidagaa
Haiwezi kujua kila kitu mzee...

Lakini zaidi kuna kufichiana siri,

Hakuna serikali inayo ropoka tu kwenye kila kitu kama huyo bwana....

Kumbuka kosa la kukwepa kodi unazuiwa kushiriki siasa kwa muda mrefu sana... Na kashfa yake huchomoki kwa umma ..

Sasa jamaako kaamua kukaa kimangaa anadhani kila mtu lazima awe na Tin number ili afanye biashara...
 
Back
Top Bottom