Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duh mwamba tuvushe amekuwa drug dealer sasa?😁Hapana mkuu. Mbowe ni drug dealer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mwamba tuvushe amekuwa drug dealer sasa?😁Hapana mkuu. Mbowe ni drug dealer
ShareholdersHaya Rudi tena nani ana Own Vanguard...
Kumbe Mbowe Hotels hazina TIN number? Yale mashamba aliyoharibu Byakanwa na zile biashara lissu alizowahi kiri Magufuli alimharibia Mbowe kumbe ilikua uongo?Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.
Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?
Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.
Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.
Pia, soma:
Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Msikilize tena,amesema hapa Tanzania.Haya Rudi tena nani ana Own Vanguard...
Vanguard ana share ndogo sana Blackrock na State Street..
Huyu jamaa yenu ni mshamba bwana.
Lissu amewahi kiri Magufuli kuharibu biashara za Mbowe!! Kumbe hata Bilicanas ilikua hewa!! Lissu ametupa wengi mashaka!!Mbowe ameanza kumilika Apartment UK akiwa na miaka 19.
Bado unatuuzia uongo. Serikali haiwezi kushindwa kujua biashara zako kwa mwanasiasa mkubwa. Huu uongo usiuhalalishe ili point yako ielewekeHaiwezi kujua kila kitu mzee...
Lakini zaidi kuna kufichiana siri,
Hakuna serikali inayo ropoka tu kwenye kila kitu kama huyo bwana....
Kumbuka kosa la kukwepa kodi unazuiwa kushiriki siasa kwa muda mrefu sana... Na kashfa yake huchomoki kwa umma ..
Sasa jamaako kaamua kukaa kimangaa anadhani kila mtu lazima awe na Tin number ili afanye biashara...
Sasa Asali anayolambishwa ambayo ni RUSHWA huwa anaendaga kuitakatishia wapi?!Hapana mkuu. Mbowe ni drug dealer
Point ya lissu sio kwamba mbowe hana biashara, Ila anauliza biashara gani anayo yenye tin number inayoweza kumfanya alipe mamilioni yote hayo kila wakati.Lissu amewahi kiri Magufuli kuharibu biashara za Mbowe!! Kumbe hata Bilicanas ilikua hewa!! Lissu ametupa wengi mashaka!!
Mbowe huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kujidai alikopesha chama sasa anarejesha mkopo ambao huwa ni hewa, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine ndiyo maana kang’ang’ania Uenyekiti akihofia kutoka siri zake madudu yake vitajulikana kwa harakaWakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.
Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?
Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.
Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.
Pia, soma:
Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
CCM sio weziMbowe huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kujidai alikopesha chama sasa anarejesha mkopo ambao huwa ni hewa, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine ndiyo maana kang’ang’ania Uenyekiti akihofia kutoka siri zake madudu yake vitajulikana kwa haraka
Lissu amewahi kiri Magufuli kuharibu biashara za Mbowe!! Kumbe hata Bilicanas ilikua hewa!! Lissu ametupa wengi mashaka!!
Lissu hajaquestion biashara za mbowe, alichoquestion ni kipato akimaanisha ni biashara gani hizo halali zenye tin number zinazoweza kumfanya akatoa hayo mamilioni kila muda.Inawezekana labda Lissu kaambiwa kwamba Mbowe kalamba mpunga wa Abdul ndiyo maana anaanza kukwesheni biashara za mbowe! Anaona kwamba Mbowe yupo karibu sana na Wenje ambaye ni rafiki wa Abdul.
Mbowe ameanza kukamata fedha hata Abdul hajazaliwa.
Lissu hajaquestion biashara za mbowe, alichoquestion ni kipato akimaanisha ni biashara gani hizo halali zenye tin number zinazoweza kumfanya akatoa hayo mamilioni kila muda.
Unahangaika sana na Lissu...kila kona upo...Kwa hili Lissu ni mshamba sana,
Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.
Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.
Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....
Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.
Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..
Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Mbowe ametengeneza madeni feki madeni hewa ambayo anaidai chadema kuwa alikoposha pesa zake toka kwenye biashara zake hewa, biashara zisizoendana na hicho kipato haramu, mbowe Nile mwizi mkubwa wa pesa za chadema na sasa kaunda kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na mdee Boniface wenje sugu kawapa pesa nyingi wagawe kwa wajumbe wamdhoofishe lisu, ndini ya chawa wa mbowe wapo waathirika wa uchoyo wa mbowe hao ndiyo humweleza Lisu kila kitu cha mbowePoint ya lissu sio kwamba mbowe hana biashara, Ila anauliza biashara gani anayo yenye tin number inayoweza kumfanya alipe mamilioni yote hayo kila wakati.
Lissu amejimaliza. Kuropoka ni weakness kubwa sana ambayo inamfanya mtu asi QUALIFY kuwa kiongozi mkuu wa chochote. Mkiniambia kuwa risasi zimeathiri hadi ubongo wake nitawaelewa.Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.
Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?
Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.
Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.
Pia, soma:
Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Mbowe anajua kuiba pesa za chademaKila mtu ana biashara zake anazofanya ,nyingine zipo wazi na nyingine mtu hapendi kuziweka wazi ila zipo ,Mbowe ni hustler ,anajua kutafuta pesa.