Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?

Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.

Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?

Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.

Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.

Pia, soma:

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Kumbe Mbowe Hotels hazina TIN number? Yale mashamba aliyoharibu Byakanwa na zile biashara lissu alizowahi kiri Magufuli alimharibia Mbowe kumbe ilikua uongo?
 
Haiwezi kujua kila kitu mzee...

Lakini zaidi kuna kufichiana siri,

Hakuna serikali inayo ropoka tu kwenye kila kitu kama huyo bwana....

Kumbuka kosa la kukwepa kodi unazuiwa kushiriki siasa kwa muda mrefu sana... Na kashfa yake huchomoki kwa umma ..

Sasa jamaako kaamua kukaa kimangaa anadhani kila mtu lazima awe na Tin number ili afanye biashara...
Bado unatuuzia uongo. Serikali haiwezi kushindwa kujua biashara zako kwa mwanasiasa mkubwa. Huu uongo usiuhalalishe ili point yako ieleweke

Kosa la kukwepa kodi unazuiliwa kufanya siasa na huchomoki kwa umma? Nchi gani hiyo? Tanzania? Umma upi huu huu? Umma utakufanyaje? Zaidi utaandikwa tu mtandaoni baada ya muda wote watasahau.
 
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.

Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?

Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.

Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.

Pia, soma:

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Mbowe huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kujidai alikopesha chama sasa anarejesha mkopo ambao huwa ni hewa, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine ndiyo maana kang’ang’ania Uenyekiti akihofia kutoka siri zake madudu yake vitajulikana kwa haraka
 
TAL aliyemuweza ni JPM!
Sasa anatafuta kuisambaratisha chadema, msigwa kule ataisambaratisha CCM.

Lissu ni mchafuzi WA Hali ya hewa popote aliko.

Iwapo atakosa kura,ataanzisha kelele zingine
 
Mbowe huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kujidai alikopesha chama sasa anarejesha mkopo ambao huwa ni hewa, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine ndiyo maana kang’ang’ania Uenyekiti akihofia kutoka siri zake madudu yake vitajulikana kwa haraka
CCM sio wezi
 
Lissu amewahi kiri Magufuli kuharibu biashara za Mbowe!! Kumbe hata Bilicanas ilikua hewa!! Lissu ametupa wengi mashaka!!

Inawezekana labda Lissu kaambiwa kwamba Mbowe kalamba mpunga wa Abdul ndiyo maana anaanza kukwesheni biashara za mbowe! Anaona kwamba Mbowe yupo karibu sana na Wenje ambaye ni rafiki wa Abdul.

Mbowe ameanza kukamata fedha hata Abdul hajazaliwa.
 
Inawezekana labda Lissu kaambiwa kwamba Mbowe kalamba mpunga wa Abdul ndiyo maana anaanza kukwesheni biashara za mbowe! Anaona kwamba Mbowe yupo karibu sana na Wenje ambaye ni rafiki wa Abdul.

Mbowe ameanza kukamata fedha hata Abdul hajazaliwa.
Lissu hajaquestion biashara za mbowe, alichoquestion ni kipato akimaanisha ni biashara gani hizo halali zenye tin number zinazoweza kumfanya akatoa hayo mamilioni kila muda.
 
Lissu hajaquestion biashara za mbowe, alichoquestion ni kipato akimaanisha ni biashara gani hizo halali zenye tin number zinazoweza kumfanya akatoa hayo mamilioni kila muda.

Kila mtu ana biashara zake anazofanya ,nyingine zipo wazi na nyingine mtu hapendi kuziweka wazi ila zipo ,Mbowe ni hustler ,anajua kutafuta pesa.
 
Kwa hili Lissu ni mshamba sana,

Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.

Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.

Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.

Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....

Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.

Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..

Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Unahangaika sana na Lissu...kila kona upo...
Labda nikuambie Lissu anajua anaongea nini...nikushauri tu kaa kwa kutulia..fuatilia tu hii mbungi....
Huyo mpigaji wenu at last kanasa....
 
Point ya lissu sio kwamba mbowe hana biashara, Ila anauliza biashara gani anayo yenye tin number inayoweza kumfanya alipe mamilioni yote hayo kila wakati.
Mbowe ametengeneza madeni feki madeni hewa ambayo anaidai chadema kuwa alikoposha pesa zake toka kwenye biashara zake hewa, biashara zisizoendana na hicho kipato haramu, mbowe Nile mwizi mkubwa wa pesa za chadema na sasa kaunda kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na mdee Boniface wenje sugu kawapa pesa nyingi wagawe kwa wajumbe wamdhoofishe lisu, ndini ya chawa wa mbowe wapo waathirika wa uchoyo wa mbowe hao ndiyo humweleza Lisu kila kitu cha mbowe
 
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.

Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?

Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.

Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.

Pia, soma:

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Lissu amejimaliza. Kuropoka ni weakness kubwa sana ambayo inamfanya mtu asi QUALIFY kuwa kiongozi mkuu wa chochote. Mkiniambia kuwa risasi zimeathiri hadi ubongo wake nitawaelewa.

Kwanini anakwenda PERSONAL kwa Mbowe kisa UWENYEKITI wa CHADEMA tu. Anasahau hata namna Mbowe ALIVYONUSURU uhai wake baada ya kushambuliwa na risasi 16 na watu wa Magufuli pale Dodoma mwaka 2017??
Kweli KIKULACHO ki ............
 
Kila mtu ana biashara zake anazofanya ,nyingine zipo wazi na nyingine mtu hapendi kuziweka wazi ila zipo ,Mbowe ni hustler ,anajua kutafuta pesa.
Mbowe anajua kuiba pesa za chadema
Mbowe anajua kutafuta pesa zipi? Angekuwa anajua kutafuta pesa asingeng’ang’ania uenyekiti atawale kifalume angeenda kupambana mitaani, Mbowe ni mwizi wa pesa za chadema
 
Back
Top Bottom