Je, Tundu Lissu ashitukia biashara za Freeman Mbowe? Ahoji biashara gani haina TIN Number?



Jamani tuache drama nchi yetu iko rehani kwasasa. Tofauti ya Mbowe na Lissu ni jinsi ya kuleta mageuzi lakini Lissu hajasema Mbowe ni mla rushwa . Mbowe na familia yake wana Hotel huko London ya mamilioni ya pound sasa ! Tusimuingize kwenye mambo ambayo si ya msingi mla rushwa ni Wenje sio Mbowe. Mbowe biashara zake na familia inasemekana ni $32M sasa jamaa aje kuhongwa na Abdul gari sio ukweli! .
 
Lissu nimekumbuka allvyokuwa akimwita Rais wa awamu fulani Dr Prof.......Mbowe awe mpole Lissu Ana slogan ya no retreat no surrender
 
Ya mungu mengi tar20 huenda asifike au usifike au nisifike mwenyezimungu ana siri nzito kuhusu ya mbele yetu
 
Usanii gani? Ni hivi akishinda Mbowe ndio chama kimekufa. Nani serious atapigia kura chadema tena?
 
🎯🙏
 
🤔🤔🤔💭
 
Biashara inayokulazimisha uwe ghost lazima uwe na uhalifu nyuma yake.
 
Biashara inayokulazimisha uwe ghost lazima uwe na uhalifu nyuma yake.
Sio lazima.
Inategemea na aspirations, plans and strategy.
Ghosting ni njia rahis ya kukwepa kupewa majina na wanasiasa wajinga wasiofikiri sawa sawa.

Lakini kuna issues za legal implications, sio kila owner anataka kuwa associated na mambo ya Kupambanishwa na serikali for anything whatsoever na hii imefanya wengine waogope kufanya biashara zao wenyewe badala yake wanawekeza kwenye kampuni kubwa zenye low returns .
 
Mbowe ni Dalali mkuu wa Siasa za nchi hii, akifuatiwa na yule dalali wa Zambarau 💖 aliemfukuza uanachama, akaanzisha saccos yake na yeye!
 
Chadema ni chama cha Kibepari.

Huyu jamaa hana chochote lakini anataka kutuaminisha kila mtu asieelewana nae ni fisadi na muwongo...

Tupo makini sana na watu wa namna hii.
Wampinge kwa hoja. Sisi tupo tunawasikiliza wote!
 
Mbowe anajua kuiba pesa za chadema
Mbowe anajua kutafuta pesa zipi? Angekuwa anajua kutafuta pesa asingeng’ang’ania uenyekiti atawale kifalume angeenda kupambana mitaani, Mbowe ni mwizi wa pesa za chadema
Katiba inamruhusu kugombea ,hakuna time limit ,Lissu ni mmoja wa waliotunga hiyo katiba.....Mbowe ameenza kusaidia chadema na lissu tangu akiwa ni mwanachama wa kawaida tu...Mbowe pesa anayo ,hatagemei CDM kusurvice ,Mbowe by nature ni mtu wa kupambania haki ,anaona viongozi aliowaamini wamemuangusha eg slaa ,zitto ,mashinji ,peter etc so kumuachia mtu chama ambaye no OYA OYA anaweza kukipiga BEI.
 
Biashara za siri za mbowe ni kuuza unga ndiyo maana makonda alimtaja kwenye list na biashara ya pili ya mbowe ni kuiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kisingizio cha kujilipa madeni hewa
Unadhalilisha vyombo ya ulinzi na usalama ,yaani mbowe auze unga halafu hakamatwi? Yaani unaconclude kisa makonda kataja? Kwahiyo Makonda alivyotangaza kwamba wenye magari Dar waondoe "TINTED"(Tint) alikuwa sawa?(Ulikuwa unajua motive behind ya lile tamko?)

Unamdhalilisha pia CAG maana hivyo vitu ulivyoviona wewe ina maanisha CAG alivyoenda kugagua CDM havioni? Kama wewe layman wa accountancy umeviona vipi kwa wabobevu/waandamizi washindwe kuona?
 
Na Mbowe alipotajwa na Makonda ni Mropokaji Lissu huyu huyu alikuwa mmoja wa waliomtetea Mbowe. Leo eti nae anashangaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…