johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa..... Hakuna maskini CCM manka.Huyu bwana ni umaskini tu unamsumbua ndiyo maana anakuwa vile
Hebu waangalie David Silinde na JJ Mnyika, nani choka mbaya?!!!