Hawaogopi kila kitu kina mipangilio yake.. Wakati ukitimia watarudi usihofusio ajabu wakuu,kila raia watanzania ni haki yake kikatiba kuomba au kutakwa kukutana na rais.lkn mm najiuliza kwa nn akina lisu,lema hawataki kurudi nyumbani!!?, shida Nini!!? Wanamuogopa hangaya au !!?
Inawezekana wakaonana kama atasahau na kuona Ile lugha aliyoitumia kwake ndugu TL kama maneno ya kisiasa tu....."huyu ni Magufuri mwanamke"
Kwa hiyo hili la Mbowe unaliona litaishaje? Mbowe aombe samahani au?Haogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani.
Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali.
Bad timing.
Akikutana naye au asikutane naye hakuna mwenye shida naye, rais ni taasisi kubwa sana kuliko Tundu Lissu!Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Mange je?Akikutana naye au asikutane naye hakuna mwenye shida naye, rais ni taasisi kubwa sana kuliko Tundu Lissu!
Ahaa, kwa hiyo ni kwamba swala la Mbowe ni maandamano na wala sio ugaidi, hapo nimekuelewa vizuri sana.Haogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani.
Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali.
Bad timing.
Ngoja tuone , naona ili kuepusha maswali mengi Magazeti kadhaa yamefunguliwa
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
aende ubelgiji kutoka wapi ?Swali zuri lingekuwa hivi; je Tundu atakwenda kuonana na Rais Samia huko Ubelgiji??
16 February 2022 Brussels, Belgium
Kama Maza atahitaji kukutana na Lissu sawa, lakini awe tayari kutoa majibu ya sintofahamu nyingiNi kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Lissu na chadema hawatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 uliochakachuliwa na yule mwehu, hivyo hawamtabui kama rais harali. Labda akiongea naye kama mtanzania au Mzanzibari wa kawaidaNi kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Hata hivyo, taarifa iliyotolewa na mkurugenzi wa mawasiliano ikulu imetanabaisha kwamba Mh Rais ataongea na watanzania wanaoishi nchi Ufaransa, kuhusu Ubelgiji taarifa hiyo haijasema chochote katika hili.Protocal huwa kwa kawaida Rais huitisha kikao na watanzania wanaoishi kwenye nchi husika.. Watanzania kupitia Balozi hupewa mwaliko..
Tahadhari: huo sio mkutano wa Siasa au kusutana na kutafuta political mileage au mdahalo wa Urais..... ni Rais anaongea na Watanzania kuwaeleza hali halisi ya nyumbani na kusikiliza maoni yao...
Acha udikteta wewe timu gaidiwe masikini bila Ban huwa hujisikii , sasa subiri .
Asante sanaHilo likiwezekana, basi litakuwa jambo jema sana kwa Tanzania . Na sioni ugumu maana katika siasa lolote linaweza kutokea na hii ni katika kujenga maridhiano ya kitaifa. Historia inaonesha kuwa hawa wawili yaani Tundu Lissu na Rais Samia Suluhu Hassan ni wazalendo wa kweli kunapokuja kuhusu kujenga taifa moja tofauti na uongozi wa CCM uliopita.
Toka maktaba:
28 November 2017
Nairobi, Kenya
Makamu wa Rais Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu .
17 Feb 2020
Samia Suluhu : "Napenda mawazo ya wapinzani, huwa wanajenga hoja vizuri, walini 'inspire' niingie siasa"
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefunguka kuhusiana na historia ya maisha yake ambapo ameeleza siri ya mafanikio na chanzo kilichomvutia kuingia kwenye siasa. Samia Suluhu anaona hoja za upinzani ni moto, zimejaa mantiki kuliko za mawaziri wa serikali ya CCM , hivyo walinivutia / inspire, mimi ni activist ... kuingia siasani baada ya kuona majibu na hoja za upande wetu (CCM) hazina uhalisia na hazijibu maswali ya wananchi ....