PIGA, UA, GARAGAZA ni lazima wakutane...
Siyo tu na Tundu Lissu bali na wakimbizi wa kisiasa wote i.e Godbless Lema, Roma Mkatoliki, nk walioko uhamishoni tokana na kukimbia utawala katili wa Mwendazake John Pombe Magufuli wanaweza kuwasili Ubelgiji wakati wowote kwa ajili hiyo...
Na mkutano huo utawezeshwa kuwepo na serikali ya Ubelgiji pamoja na mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za wakimbizi wa kisiasa...
Kumbukeni pia ombi la Tundu Lissu mwezi April, 2021 la kutaka kuongea na Rais Samia na kukubaliwa lakini tokana na figisu figisu fulani hapo katikati toka kwa wahuni walio ktk circle ya kumshauri Rais wakavuruga ile appointment. Sasa inakwenda kutokea....
Angalieni na kuisoma vyema Press Release ya Ikulu kupitia msemaji wake Zuhura Yunus, inatoa ujumbe fulani kwa wafikiriao vyema...
For instance, PR hiyo imesema kila kitu ambacho Rais atafanya akiwa Ufaransa. Lakini anakwenda kufanya nini Ubelgiji, PR iko kimya. Mpaka hapo, akili kumkichwa..!
Huyu mwanamke (Rais Samia) anaweza kuwa very intelligent. Ameshagundua kuwa kuna watu ndani ya inner circle yake ya ushauri wanamhujumu. Sasa ameamua sometimes ajiongeze mwenyewe...!